Tundu Lissu aibukia Ivory Coast kwenye Kambi ya Taifa Stars

Tundu Lissu aibukia Ivory Coast kwenye Kambi ya Taifa Stars

Mwenye picha ya video yake akitabainisha kuwa atakuwa huko na timu kwa mechi 2 dhidi ya Morocco na DRC na baadae kuweka nao kambi nchi ya jirani anaweza kutuwekea.

=======

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu ni miongoni mwa Watanzania waliosafiri hadi Ivory Coast kushuhudia ufunguzi wa mashindano ya Kombe la Mataifa ya Africa la TotalEnergies (AFCON) ambapo amerekodi video hii fupi akiwa nje ya Uwanja wa Quattara Jijini Abidjan na kusema Timu ya Tanzania Taifa Stars itarudi na kombe hilo nyumbani.

“Tumepuuzwa kiasi cha kutosha, tumedharauliwa kiasi cha kutosha, unyonge wetu ndio uliotufanya tupuuzwe na kudharauliwa, Vijana wetu wamesema sasa basi, wamekataa kuendelea kupuuzwa na kudharauliwa…. huu ni wakati wa kuwaunga mkono uwanjani wanakochezea, tuko hapa kwa ajili hiyo

sisiemu walivyo wajinga na wapumbavu wataingia gharama kutuma machawa ili waende ivory coast sio kwenda kutoa hamasa kwa timu ya taifa, bali kumkabili tundu lissu
 
LIssu ana mkosi wa kushindwa hiyo timu ashaitia nuksi haiwezi shinda!
Watu mna roho mbaya kumzidi hata shetani!! Yaani kiongozi kuwasindikiza na kuwatia moyo vijana tayari nongwa! Loo!

Nilifikiri hiyo ni hatua nzuri kwa nchi yetu kuungana pamoja kwenya maswala ya kijamii na michezo ili utanzania wetu udumu.

Au unaendekeza ubaguzi wa Magufuli??
 
Watu mna roho mbaya kumzidi hata shetani!! Yaani kiongozi kuwasindikiza na kuwatia moyo vijana tayari nongwa! Loo!

Nilifikiri hiyo ni hatua nzuri kwa nchi yetu kuungana pamoja kwenya maswala ya kijamii na michezo ili utanzania wetu udumu.

Au unaendekeza ubaguzi wa Magufuli??
Tangu lini lissu aliitakia mema nchi!
 
sisiemu walivyo wajinga na wapumbavu wataingia gharama kutuma machawa ili waende ivory coast sio kwenda kutoa hamasa kwa timu ya taifa, bali kumkabili tundu lissu
Si umeona yule mwehu anataka mdaharo na Lissu. Kwa hili la Kumpuuzia, CDM wamecheza kama Pele.
 
Mwenye picha ya video yake akitabainisha kuwa atakuwa huko na timu kwa mechi 2 dhidi ya Morocco na DRC na baadae kuweka nao kambi nchi ya jirani anaweza kutuwekea.

=======

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu ni miongoni mwa Watanzania waliosafiri hadi Ivory Coast kushuhudia ufunguzi wa mashindano ya Kombe la Mataifa ya Africa la TotalEnergies (AFCON) ambapo amerekodi video hii fupi akiwa nje ya Uwanja wa Quattara Jijini Abidjan na kusema Timu ya Tanzania Taifa Stars itarudi na kombe hilo nyumbani.

“Tumepuuzwa kiasi cha kutosha, tumedharauliwa kiasi cha kutosha, unyonge wetu ndio uliotufanya tupuuzwe na kudharauliwa, Vijana wetu wamesema sasa basi, wamekataa kuendelea kupuuzwa na kudharauliwa…. huu ni wakati wa kuwaunga mkono uwanjani wanakochezea, tuko hapa kwa ajili hiyo

aje kwenye mdahalo
 
Ujumbe mzito sana.......

Akili ndogo watajisomba wotekwenda huko
 
Mwenye picha ya video yake akitabainisha kuwa atakuwa huko na timu kwa mechi 2 dhidi ya Morocco na DRC na baadae kuweka nao kambi nchi ya jirani anaweza kutuwekea.

=======

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu ni miongoni mwa Watanzania waliosafiri hadi Ivory Coast kushuhudia ufunguzi wa mashindano ya Kombe la Mataifa ya Africa la TotalEnergies (AFCON) ambapo amerekodi video hii fupi akiwa nje ya Uwanja wa Quattara Jijini Abidjan na kusema Timu ya Tanzania Taifa Stars itarudi na kombe hilo nyumbani.

“Tumepuuzwa kiasi cha kutosha, tumedharauliwa kiasi cha kutosha, unyonge wetu ndio uliotufanya tupuuzwe na kudharauliwa, Vijana wetu wamesema sasa basi, wamekataa kuendelea kupuuzwa na kudharauliwa…. huu ni wakati wa kuwaunga mkono uwanjani wanakochezea, tuko hapa kwa ajili hiyo

Misisiyemu imemtuma Joti na Mwijaku, wakawachekeshe wachezaji?
 
Kama hilo ni kweli, Sasa hivi utatumwa ujumbe mkali wa kutoruhusu Lisu kukanyaga kwenye timu hiyo. Na atakachoambiwa Lisu ni maagizo toka juu asiitembelee hiyo team. Hiyo ni team ya ccm, na wanaitumia kujitangaza kisiasa hasa kuelekea uchaguzi, Sasa mpinzani makini kama Lisu itakuwa kama anataka kupora kete Yao.
Hiyo timu haina matayarisho ya kutosha na pia hatuna wachezaji mahili kama ,Mohamed Bakari Kajole, Juma Pondamali Mensa, Abdala Kibadeni, Jela Mtwagwa, Malota soma, Ezekiel Greson Jujuman, Juma Mgunda, Pita Tino,, Ledga Tenga, Sembuli, Zamoyoni Mogela, Lunyamila, Sunday Manara na wengine wengi wa enzi hizo. hii timu ya wala chips na Mo energy haifui Dafu kws wala magimbi na pilipili yote kwa yote Zetu dua.
 
Hivi Mbowe atakubali Lisu agombee Urais 2025??

Au atanadi hiyo nafasi kwa mtu mwingine kama kawaida maana kwa Lisu biashara haikulipa ni kama walipata hasara.
 
Back
Top Bottom