Tundu Lissu aibukia Ivory Coast kwenye Kambi ya Taifa Stars

Tundu Lissu aibukia Ivory Coast kwenye Kambi ya Taifa Stars

miaka yote timu ya taifa inafanya vibaya kimataifa ni gundu la nani?.

'huko nyuma' ulishawahi kumuona lissu akijihusisha na taifa stars?.

msitafute kisingizio maana tunajua mmeenda huko kusindikiza wengine.
Acheni utoto, Lissu kakimbia maandamano.
 
Ni habari njema .
Taifa stars ni mali ya kila mtanzania, mtu kama Tundu Lisu moja ya viongozi wakubwa kisiasa Tanzania amefanya vema kwenda kuwatia moyo vijana wetu.
 
Mwenye picha ya video yake akitabainisha kuwa atakuwa huko na timu kwa mechi 2 dhidi ya Morocco na DRC na baadae kuweka nao kambi nchi ya jirani anaweza kutuwekea.

=======

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu ni miongoni mwa Watanzania waliosafiri hadi Ivory Coast kushuhudia ufunguzi wa mashindano ya Kombe la Mataifa ya Africa la TotalEnergies (AFCON) ambapo amerekodi video hii fupi akiwa nje ya Uwanja wa Quattara Jijini Abidjan na kusema Timu ya Tanzania Taifa Stars itarudi na kombe hilo nyumbani.

“Tumepuuzwa kiasi cha kutosha, tumedharauliwa kiasi cha kutosha, unyonge wetu ndio uliotufanya tupuuzwe na kudharauliwa, Vijana wetu wamesema sasa basi, wamekataa kuendelea kupuuzwa na kudharauliwa…. huu ni wakati wa kuwaunga mkono uwanjani wanakochezea, tuko hapa kwa ajili hiyo

Safi sana TL.....umetuwakilisha kama Taifa.


Nimeipenda hii
 
Mwenye picha ya video yake akitabainisha kuwa atakuwa huko na timu kwa mechi 2 dhidi ya Morocco na DRC na baadae kuweka nao kambi nchi ya jirani anaweza kutuwekea.

=======

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu ni miongoni mwa Watanzania waliosafiri hadi Ivory Coast kushuhudia ufunguzi wa mashindano ya Kombe la Mataifa ya Africa la TotalEnergies (AFCON) ambapo amerekodi video hii fupi akiwa nje ya Uwanja wa Quattara Jijini Abidjan na kusema Timu ya Tanzania Taifa Stars itarudi na kombe hilo nyumbani.

“Tumepuuzwa kiasi cha kutosha, tumedharauliwa kiasi cha kutosha, unyonge wetu ndio uliotufanya tupuuzwe na kudharauliwa, Vijana wetu wamesema sasa basi, wamekataa kuendelea kupuuzwa na kudharauliwa…. huu ni wakati wa kuwaunga mkono uwanjani wanakochezea, tuko hapa kwa ajili hiyo

Kwa tukio hili na ubunifu huu wa Lissu tutarajie mwakani Crew yote ya ccm itaambatana na Taifa Stars
 
Nimeipenda sana hii,
Mwenyezi Mungu Ibariki Taifa stars, mbariki na Lissu
 
Back
Top Bottom