TANZANIAN NINJA
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 456
- 534
Ndo keshaingia Chaka hivyo, bado Mbowe sijui ataibukia chaka gani.Hatakuwepo kwenye maandamano?
Acheni utoto, Lissu kakimbia maandamano.miaka yote timu ya taifa inafanya vibaya kimataifa ni gundu la nani?.
'huko nyuma' ulishawahi kumuona lissu akijihusisha na taifa stars?.
msitafute kisingizio maana tunajua mmeenda huko kusindikiza wengine.
Jiandae kumwakilisha Lissu na familia yake kwenye maandamano.Hii nimeipenda, CDM wameamua kukiwasha kila kona wameishika 😄 👏
Nitakuwakilisha na wewe usijali.Jiandae kumwakilisha Lissu na familia yake kwenye maandamano.
Tangu lini lissu alijihusisha na mchezo wowote hata netball hajawahi hudhuria!Kwa hii nchi ilivyo kama Lissu ana mkosi na hana mkosi sasa?! Eti we Kiparangoto?!
Safi sana TL.....umetuwakilisha kama Taifa.Mwenye picha ya video yake akitabainisha kuwa atakuwa huko na timu kwa mechi 2 dhidi ya Morocco na DRC na baadae kuweka nao kambi nchi ya jirani anaweza kutuwekea.
=======
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu ni miongoni mwa Watanzania waliosafiri hadi Ivory Coast kushuhudia ufunguzi wa mashindano ya Kombe la Mataifa ya Africa la TotalEnergies (AFCON) ambapo amerekodi video hii fupi akiwa nje ya Uwanja wa Quattara Jijini Abidjan na kusema Timu ya Tanzania Taifa Stars itarudi na kombe hilo nyumbani.
“Tumepuuzwa kiasi cha kutosha, tumedharauliwa kiasi cha kutosha, unyonge wetu ndio uliotufanya tupuuzwe na kudharauliwa, Vijana wetu wamesema sasa basi, wamekataa kuendelea kupuuzwa na kudharauliwa…. huu ni wakati wa kuwaunga mkono uwanjani wanakochezea, tuko hapa kwa ajili hiyo
Ccm watanuna utadhani sio Timu ya Taifa.Hatakuwepo kwenye maandamano?
Kwa tukio hili na ubunifu huu wa Lissu tutarajie mwakani Crew yote ya ccm itaambatana na Taifa StarsMwenye picha ya video yake akitabainisha kuwa atakuwa huko na timu kwa mechi 2 dhidi ya Morocco na DRC na baadae kuweka nao kambi nchi ya jirani anaweza kutuwekea.
=======
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu ni miongoni mwa Watanzania waliosafiri hadi Ivory Coast kushuhudia ufunguzi wa mashindano ya Kombe la Mataifa ya Africa la TotalEnergies (AFCON) ambapo amerekodi video hii fupi akiwa nje ya Uwanja wa Quattara Jijini Abidjan na kusema Timu ya Tanzania Taifa Stars itarudi na kombe hilo nyumbani.
“Tumepuuzwa kiasi cha kutosha, tumedharauliwa kiasi cha kutosha, unyonge wetu ndio uliotufanya tupuuzwe na kudharauliwa, Vijana wetu wamesema sasa basi, wamekataa kuendelea kupuuzwa na kudharauliwa…. huu ni wakati wa kuwaunga mkono uwanjani wanakochezea, tuko hapa kwa ajili hiyo
Kipara bila akiri nisawa tako la maviLIssu ana mkosi wa kushindwa hiyo timu ashaitia nuksi haiwezi shinda!
Simple and useless mind.LIssu ana mkosi wa kushindwa hiyo timu ashaitia nuksi haiwezi shinda!
Tunataka awepo. Bila yeye hatuandamaniCcm watanuna utadhani sio Timu ya Taifa.
Kipara kipya kapata uhai baada ya Makonda kurudi 😆😆LIssu ana mkosi wa kushindwa hiyo timu ashaitia nuksi haiwezi shinda!
Makonda ananitegemea mimi!Kipara kipya kapata uhai baada ya Makonda kurudi 😆😆
Vidonda vya tumbo vikizidi koroga pilipili unywe kuondoa maumivu!Simple and useless mind.