Pre GE2025 Tundu Lissu akifanyiwa figisu ahamie ACT Wazalendo tutamfuata huko huko

Pre GE2025 Tundu Lissu akifanyiwa figisu ahamie ACT Wazalendo tutamfuata huko huko

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Dabil

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2021
Posts
6,823
Reaction score
15,293
Uchaguzi wa Chadema unatakiwa uwe fair kama jina la chama lilivyo,chama inahubiri demokrasia lakini Mbowe amekuwa mwenyekiti wa kudumu hata CCM sio hivo,chama imekuwa chama cha ukoo,kila mwenye wazo tofauti na Mbowe anaonekana msaliti, Mbowe na machawa wake kama kina Yericko ndo wanaonekana wazalendo.

Kama Lissu akifanyiwa figisu ahamie ACT Wazalendo zaidi ya nusu ya wanachama wa Chadema tutamfuata maana tunajua ni mpigania haki, Chadema haina maendeleo yoyote chini ya mbowe kwa zaidi ya miaka 20 kimedumaa tu.
 
Uchaguzi wa Chadema unatakiwa uwe fair kama jina la chama lilivyo,chama inahubiri demokrasia lakini Mbowe amekuwa mwenyekiti wa kudumu hata CCM sio hivo,chama imekuwa chama cha ukoo,kila mwenye wazo tofauti na Mbowe anaonekana msaliti, Mbowe na machawa wake kama kina Yericko ndo wanaonekana wazalendo.
Kama Lissu akifanyiwa figisu ahamie ACT Wazalendo zaidi ya nusu ya wanachama wa Chadema tutamfuata maana tunajua ni mpigania haki,Chadema haina maendeleo yoyote chini ya mbowe kwa zaidi ya miaka 20 kimedumaa tu.
Mtamfuata wapi nyie kizazi cha starehe? Muache kushabikia mpira na kunyonya chuchu za wapenzi wenu mumfuate lissu ACT? Abduli na mchengerwa wamewakanyaga watakavyo kwenye chaguzi mmefanya nini? Shwaini!!
 
Sawa sawa kabisa tutamfuata alipo Lissu tupo. Mbowe mroho wa madaraka
 
Uchaguzi wa Chadema unatakiwa uwe fair kama jina la chama lilivyo,chama inahubiri demokrasia lakini Mbowe amekuwa mwenyekiti wa kudumu hata CCM sio hivo,chama imekuwa chama cha ukoo,kila mwenye wazo tofauti na Mbowe anaonekana msaliti, Mbowe na machawa wake kama kina Yericko ndo wanaonekana wazalendo.
Kama Lissu akifanyiwa figisu ahamie ACT Wazalendo zaidi ya nusu ya wanachama wa Chadema tutamfuata maana tunajua ni mpigania haki,Chadema haina maendeleo yoyote chini ya mbowe kwa zaidi ya miaka 20 kimedumaa tu.
Mlimponza Zitto eti ulipo tupo yuko wapi na ATC yake.
 
Jibu hoja!! Kizazi cha laana nyinyi. Mpira na zinaa ndo vitu pekee mnaweza vipigania. Shwaini!
We ambacho si kizazi cha laana umefanyia nini nchi hii zaidi ya kuwa chawa wa Mbowe
 
Uchaguzi wa Chadema unatakiwa uwe fair kama jina la chama lilivyo,chama inahubiri demokrasia lakini Mbowe amekuwa mwenyekiti wa kudumu hata CCM sio hivo,chama imekuwa chama cha ukoo,kila mwenye wazo tofauti na Mbowe anaonekana msaliti, Mbowe na machawa wake kama kina Yericko ndo wanaonekana wazalendo.
Kama Lissu akifanyiwa figisu ahamie ACT Wazalendo zaidi ya nusu ya wanachama wa Chadema tutamfuata maana tunajua ni mpigania haki,Chadema haina maendeleo yoyote chini ya mbowe kwa zaidi ya miaka 20 kimedumaa tu.
ACT na ccm ni mtu na mtoto wake.so kuliko kuhamia kwa mtoto bora ahamie kwa mama mtu kabisa .
 
Uchaguzi wa Chadema unatakiwa uwe fair kama jina la chama lilivyo,chama inahubiri demokrasia lakini Mbowe amekuwa mwenyekiti wa kudumu hata CCM sio hivo,chama imekuwa chama cha ukoo,kila mwenye wazo tofauti na Mbowe anaonekana msaliti, Mbowe na machawa wake kama kina Yericko ndo wanaonekana wazalendo.
Kama Lissu akifanyiwa figisu ahamie ACT Wazalendo zaidi ya nusu ya wanachama wa Chadema tutamfuata maana tunajua ni mpigania haki,Chadema haina maendeleo yoyote chini ya mbowe kwa zaidi ya miaka 20 kimedumaa tu.
Duh....
Sitaki ahame, abaki hapohapo asubiri ngwe nyingine, ndiyo ukomavu wa kisiasa
 
Uchaguzi wa Chadema unatakiwa uwe fair kama jina la chama lilivyo,chama inahubiri demokrasia lakini Mbowe amekuwa mwenyekiti wa kudumu hata CCM sio hivo,chama imekuwa chama cha ukoo,kila mwenye wazo tofauti na Mbowe anaonekana msaliti, Mbowe na machawa wake kama kina Yericko ndo wanaonekana wazalendo.
Kama Lissu akifanyiwa figisu ahamie ACT Wazalendo zaidi ya nusu ya wanachama wa Chadema tutamfuata maana tunajua ni mpigania haki,Chadema haina maendeleo yoyote chini ya mbowe kwa zaidi ya miaka 20 kimedumaa tu.
Hujui Dunia, kitendo cha lissu kuama chama ,au Mbowe kuama chama , graph ya kisiasa inashuka kama upepo,msimdanganye wengi wataanza kukuona tapeli, Mdee yuko wapi, zitto yuko wapi, Dr slaa yupo wapi ,anajitahidi kujikongoja ila wapi, msimdanganye , chadema ni chama ukiwa na nyota ya kisiasa basi chama huifanya nyota yako kungaaa zaidi, .

We unafikili zito leo angekua chadema kisiasa angekua wapi ?
 
Sasa kwa mtindo huu wa mbowe kuwa mwenyekiti wa kudumu tutafika wapi wakati chama kinapoteza credibility kila kukicha
Mbona Rail Odinga ni Mkt tangu enzi za Moi na Wakenya wanaona ni sawa? Utalingamisha Democrasia ya KEnya na Tanzania? nyie ni Chui w Mabox na mjificha kwenye keybord kujifanya na ma Fighters kumbe bure
 
Uchaguzi wa Chadema unatakiwa uwe fair kama jina la chama lilivyo,chama inahubiri demokrasia lakini Mbowe amekuwa mwenyekiti wa kudumu hata CCM sio hivo,chama imekuwa chama cha ukoo,kila mwenye wazo tofauti na Mbowe anaonekana msaliti, Mbowe na machawa wake kama kina Yericko ndo wanaonekana wazalendo.
Kama Lissu akifanyiwa figisu ahamie ACT Wazalendo zaidi ya nusu ya wanachama wa Chadema tutamfuata maana tunajua ni mpigania haki,Chadema haina maendeleo yoyote chini ya mbowe kwa zaidi ya miaka 20 kimedumaa tu.
Ameshasrma hana mpango wa kuhama!
 
Dawa ni hakuna kuhama, abanane hapohapo. Mpaka tutajua ukweli. Chadema ni Chama cha siasa kweli au kanyaboya? Kitaeleweka tu, tunaenda na Lissu.

#Ila mimi ushabiki tu, sina hata chama 😅😅😅😅😅😅😅
 
Sasa kwa mtindo huu wa mbowe kuwa mwenyekiti wa kudumu tutafika wapi wakati chama kinapoteza credibility kila kukicha
Umeshawahi ona bisi inaruka ruka kwenye kikaangio? Chama sio chako, we unawashwa na nini? Kwani hakuna kazi zingine za kufanya. Kila muda ACT, mara zito, mara sijui Mboye, mara kimeenda mara kikarudi.
 
Back
Top Bottom