Pre GE2025 Tundu Lissu akifanyiwa figisu ahamie ACT Wazalendo tutamfuata huko huko

Pre GE2025 Tundu Lissu akifanyiwa figisu ahamie ACT Wazalendo tutamfuata huko huko

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Umeshawahi ona bisi inaruka ruka kwenye kikaangio? Chama sio chako, we unawashwa na nini? Kwani hakuna kazi zingine za kufanya. Kila muda ACT, mara zito, mara sijui Mboye, mara kimeenda mara kikarudi.
Tuliza shudu hilo we dada
 
Dawa ni hakuna kuhama, abanane hapohapo. Mpaka tutajua ukweli. Chadema ni Chama cha siasa kweli au kanyaboya? Kitaeleweka tu, tunaenda na Lissu.

#Ila mimi ushabiki tu, sina hata chama 😅😅😅😅😅😅😅
Lakini wanachokifanya ni uhuni,chama kinafia mikononi mwa Mbowe,watu wenye mawazo tofauti na Mbowe wataendelea kuhama na chama kudhoofika maana watu wanaaminishwa wenye mawazo tofauti ni wasaliti wa chama.
 
Mbona Rail Odinga ni Mkt tangu enzi za Moi na Wakenya wanaona ni sawa? Utalingamisha Democrasia ya KEnya na Tanzania? nyie ni Chui w Mabox na mjificha kwenye keybord kujifanya na ma Fighters kumbe bure
Huwezi kufananisha siasa za Kenya na Tanzania,Kenya chama cha siasa kinaweza kuundwa leo na kuwa tishio
 
Bora kuanzisha chama
Mkuu kuanzisha chama ni kuanza moja,hata Zitto alihama baada ya kutaka uenyekiti,hata viongozi wengi wa kanda wengi wanaopita ni wale wenye ukaribu na mwenyekiti
 
Back
Top Bottom