Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Kama taifa kama bado tunapata viongozi kwa njia zisizo za Halali na Wazi bado tuna safari ndefu.
Kiukweli mstakabari wa Taifa wenye mamlaka hawajali kabisa.Kazii ipo na safariii n ndefuuu haswaaaa
Kama vile nchi inaongozwa na wasioitakaa yaan ,na hawajali Wala nnKiukweli mstakabari wa Taifa wenye mamlaka hawajali kabisa.
Wale wenye nguvu ya kufanya mageuzi hawako tayari.Kama vile nchi inaongozwa na wasioitakaa yaan ,na hawajali Wala nn
Ttzo nalo ndio hlo mkuu๐๐๐Wale wenye nguvu ya kufanya mageuzi hawako tayari.
Lakini wanavyohubiri uzalendo sasa utadhani ni Malaika.
Huzuni kubwa sanaTtzo nalo ndio hlo mkuu๐๐๐
Yaan n huzunii
Kumbuka Crown ni kotuo kipya na hapo anamhoji TL apate views tu nothing else.Pamoja na mengine yote, sikubaliani na huo ukongwe anaopewa Kikeke kama yuko biased kiasi hiki!
Ni wazi hataki chama chake au serikali yake isemwe kwa namna yoyote....
Ovyo kabisa
HahahaPamoja na mengine yote, sikubaliani na huo ukongwe anaopewa Kikeke kama yuko biased kiasi hiki!
Ni wazi hataki chama chake au serikali yake isemwe kwa namna yoyote....
Ovyo kabisa