Tila-lila2
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 652
- 1,058
- Thread starter
-
- #101
Nimechoka tu kaka. Mimi ni MwanaCCM haswa!Kwa mwenye Akili timamu kabisa na zinazomtosha Kichwani akiyasoma haya Maelezo yako itakuwa ni ngumu Kuamini Wewe ni mwana CCM hasa.
Mdanganyeni kama mlivyomdanganya kimambi mpaka leo kimambi kaamua kuwasusa maana ni wazee wa keyboard....Kila siku najisema wazi mimi ni MwanaCCM na sidanganyi lakini. Pia nakubali JPM anafanya vizuri ndiyoooooo (lakini ni kwenye jambo moja tu may be macro economics) lakini kuna mambo ameharibu sana (kuminya demokrasia, nepotism, rushwa kwa wapendwa wake imekithiri, wafanyakazi ndiyo nyang'anyng'a usiseme kabisa, kulinda uovu fulani, ubabe, kutozuia au hata kukemea tu mauaji yanayofanywa na wasiojulikana, kutotia neno TL alipopigwa risasi, kufunga gerezani wapinzani, kuharibu uchaguzi wa Serikali za Mitaa, n.k). Kwa hakika ameharibu sana sana hapo.
Sasa jana Mnyika kanikosha, tena kanikosha sana. Iwapo Tundu Lisu atatia nia mara moja atabadilisha upepo wa kisiasa nchini ingawa najua fika atakapofika tu watamkamata. Wakimkamata hapo sasa ndiyo mzimu George Floyd utaanza Tanzania. Ni MCCM lkn sitaogopa kitu, nitaomba Mungu TL awe ndani mpaka siku ya kura. Tutampigia Kampeni akiwa ndani. Hatutaogopa Mapolisi - hatutaogopa virungu vyao na wala risasi zao.
Moja ya slogan ya Kampeni itakuwa ni kumwachia Rais wetu awe huru. Najua uongozi wa sasa hautakuwa tayari kumwachia Lisu kwa namana yeyote ile na hapo itakuwa ni kama Mungu katusikia maombi yetu kwa sababu hilo watakalofanya ndilo litakalowapotezea kura.
Serikali hii sio tu kuwa ni ya kibabe lakini pia haina hata upendo na watu wake kwa sababu sikio lao linataka nyimbo tamu tu na hawataki kukosolewa. Juzi nimeacha kubeaba kadi yangu ya CCM lkn sasa kama Tundu Lisu akija na akawekewa vikwazo ndipo nitaichoma kabisa kadi hiyo.
Agosti sio mbali - imebaki miezi miwili tu. CHADEMA nawaomba pls pls watia nia waruhusiwe wajiseme hadharani na mfuate utaratibu kama mlivyoweka. Jitahidi msitoe Mgombea nje ya Chama this time. Tunamtaka Tundu Lissu. Hata huku huku CCM baadhi tunanyanyasika. Tena tunanyanyasika sana. Tumewachoka hawa wagawana Tausi wa Ikulu.
Tunataka mabadiliko ili wananchi na wafanyakazi wa kawaida mafurahie uhuru wa nchi yao. Midege na mitreni ya mwendo kasi sio ugali. Mi fly ova ya Ubungo sio pembejeo za kilimo za Idukilo. Mivyeo inayotolewa kwa wanajeshi sio nyongeza ya mishahara kwa wafanyazi wengine.
Tunamtaka Tundu Lissu nchi hii ibadilike. Tumechoka kunyimwa hewa ya kukosa demokrasia. We can't breath!
Wewe ni yule Polisi wa Goti nini?Mdanganyeni kama mlivyomdanganya kimambi mpaka leo kimambi kaamua kuwasusa maana ni wazee wa keyboard....
Kuzizima labda kwenye social media..
Ndio mimi.Wewe ni yule Polisi wa Goti nini?
Umetisha Mkuu... Una uwezo wa kubadilisha na kushawishi mamia ya watu in 5 minutes..Kila siku najisema wazi mimi ni MwanaCCM na sidanganyi lakini. Pia nakubali JPM anafanya vizuri ndiyoooooo (lakini ni kwenye jambo moja tu may be macro economics) lakini kuna mambo ameharibu sana (kuminya demokrasia, nepotism, rushwa kwa wapendwa wake imekithiri, wafanyakazi ndiyo nyang'anyng'a usiseme kabisa, kulinda uovu fulani, ubabe, kutozuia au hata kukemea tu mauaji yanayofanywa na wasiojulikana, kutotia neno TL alipopigwa risasi, kufunga gerezani wapinzani, kuharibu uchaguzi wa Serikali za Mitaa, n.k). Kwa hakika ameharibu sana sana hapo.
Sasa jana Mnyika kanikosha, tena kanikosha sana. Iwapo Tundu Lisu atatia nia mara moja atabadilisha upepo wa kisiasa nchini ingawa najua fika atakapofika tu watamkamata. Wakimkamata hapo sasa ndiyo mzimu George Floyd utaanza Tanzania. Ni MCCM lkn sitaogopa kitu, nitaomba Mungu TL awe ndani mpaka siku ya kura. Tutampigia Kampeni akiwa ndani. Hatutaogopa Mapolisi - hatutaogopa virungu vyao na wala risasi zao.
Moja ya slogan ya Kampeni itakuwa ni kumwachia Rais wetu awe huru. Najua uongozi wa sasa hautakuwa tayari kumwachia Lisu kwa namana yeyote ile na hapo itakuwa ni kama Mungu katusikia maombi yetu kwa sababu hilo watakalofanya ndilo litakalowapotezea kura.
Serikali hii sio tu kuwa ni ya kibabe lakini pia haina hata upendo na watu wake kwa sababu sikio lao linataka nyimbo tamu tu na hawataki kukosolewa. Juzi nimeacha kubeaba kadi yangu ya CCM lkn sasa kama Tundu Lisu akija na akawekewa vikwazo ndipo nitaichoma kabisa kadi hiyo.
Agosti sio mbali - imebaki miezi miwili tu. CHADEMA nawaomba pls pls watia nia waruhusiwe wajiseme hadharani na mfuate utaratibu kama mlivyoweka. Jitahidi msitoe Mgombea nje ya Chama this time. Tunamtaka Tundu Lissu. Hata huku huku CCM baadhi tunanyanyasika. Tena tunanyanyasika sana. Tumewachoka hawa wagawana Tausi wa Ikulu.
Tunataka mabadiliko ili wananchi na wafanyakazi wa kawaida mafurahie uhuru wa nchi yao. Midege na mitreni ya mwendo kasi sio ugali. Mi fly ova ya Ubungo sio pembejeo za kilimo za Idukilo. Mivyeo inayotolewa kwa wanajeshi sio nyongeza ya mishahara kwa wafanyazi wengine.
Tunamtaka Tundu Lissu nchi hii ibadilike. Tumechoka kunyimwa hewa ya kukosa demokrasia. We can't breath!
Mdanganyeni kama mlivyomdanganya kimambi mpaka leo kimambi kaamua kuwasusa maana ni wazee wa keyboard....
Kuzizima labda kwenye social media..
Vijana walioko kwenye majeshi wengi mno wanamkubali lisu mkimesiup mtayagawa majeshi.Aje apite Tazara pale inter change na yeye afaidi matunda ya Rais Magufuli.Ananyooka moja kwa moja mpaka sentro akajibu tuhuma zake kwa vyombo vya ulinzi
Unatuamshia hasira. Utatubadilishia Tanzania come August 2020Ndio mimi.
Safi Mkuu.Nimechoka tu kaka. Mimi ni MwanaCCM haswa!
Sijawahi kumuamini Mtanzania hata siku moja. Mtanzanlia nimpiga kelele akiwa nyuma ya keyboard, anaweza kukujaza upepo ukajihisi tayari ushashinda uraisi, anaweza kukujaza upepo ukahisi tayari kitanuka maandamano ambayo hayajapata kutokea toka Mkoloni aondoke, anaweza kukujaza upepo ukahisi nchi haitotawalika. Sasa ngoja aone FFU wanafanya jogging, utajikuta uko peke yako.Kila siku najisema wazi mimi ni MwanaCCM na sidanganyi lakini. Pia nakubali JPM anafanya vizuri ndiyoooooo (lakini ni kwenye jambo moja tu may be macro economics) lakini kuna mambo ameharibu sana (kuminya demokrasia, nepotism, rushwa kwa wapendwa wake imekithiri, wafanyakazi ndiyo nyang'anyng'a usiseme kabisa, kulinda uovu fulani, ubabe, kutozuia au hata kukemea tu mauaji yanayofanywa na wasiojulikana, kutotia neno TL alipopigwa risasi, kufunga gerezani wapinzani, kuharibu uchaguzi wa Serikali za Mitaa, n.k). Kwa hakika ameharibu sana sana hapo.
Sasa jana Mnyika kanikosha, tena kanikosha sana. Iwapo Tundu Lisu atatia nia mara moja atabadilisha upepo wa kisiasa nchini ingawa najua fika atakapofika tu watamkamata. Wakimkamata hapo sasa ndiyo mzimu George Floyd utaanza Tanzania. Ni MCCM lkn sitaogopa kitu, nitaomba Mungu TL awe ndani mpaka siku ya kura. Tutampigia Kampeni akiwa ndani. Hatutaogopa Mapolisi - hatutaogopa virungu vyao na wala risasi zao.
Moja ya slogan ya Kampeni itakuwa ni kumwachia Rais wetu awe huru. Najua uongozi wa sasa hautakuwa tayari kumwachia Lisu kwa namana yeyote ile na hapo itakuwa ni kama Mungu katusikia maombi yetu kwa sababu hilo watakalofanya ndilo litakalowapotezea kura.
Serikali hii sio tu kuwa ni ya kibabe lakini pia haina hata upendo na watu wake kwa sababu sikio lao linataka nyimbo tamu tu na hawataki kukosolewa. Juzi nimeacha kubeaba kadi yangu ya CCM lkn sasa kama Tundu Lisu akija na akawekewa vikwazo ndipo nitaichoma kabisa kadi hiyo.
Agosti sio mbali - imebaki miezi miwili tu. CHADEMA nawaomba pls pls watia nia waruhusiwe wajiseme hadharani na mfuate utaratibu kama mlivyoweka. Jitahidi msitoe Mgombea nje ya Chama this time. Tunamtaka Tundu Lissu. Hata huku huku CCM baadhi tunanyanyasika. Tena tunanyanyasika sana. Tumewachoka hawa wagawana Tausi wa Ikulu.
Tunataka mabadiliko ili wananchi na wafanyakazi wa kawaida mafurahie uhuru wa nchi yao. Midege na mitreni ya mwendo kasi sio ugali. Mi fly ova ya Ubungo sio pembejeo za kilimo za Idukilo. Mivyeo inayotolewa kwa wanajeshi sio nyongeza ya mishahara kwa wafanyazi wengine.
Tunamtaka Tundu Lissu nchi hii ibadilike. Tumechoka kunyimwa hewa ya kukosa demokrasia. We can't breath!
Umejuaje? Umeongea na wangapi?Vijana walioko kwenye majeshi wengi mno wanamkubali lisu mkimesiup mtayagawa majeshi.
Majeshi yepi hayo?Vijana walioko kwenye majeshi wengi mno wanamkubali lisu mkimesiup mtayagawa majeshi.
Na hizo ndiyo dua za watanzaniaWala hawatakiwi watu wengi kwenda kumpokea. Kinachotakiwa ni maneno yake ya kuondosha ukandamizaji wa demokrasia wakati wa Kampeni zake
Hongera sana kwa kujitambuaNimechoka tu kaka. Mimi ni MwanaCCM haswa!
Huyo ni lumumba mwenzako ambaye ameamua kujitambua siyo kama wewe ndumilakuwiliMdanganyeni kama mlivyomdanganya kimambi mpaka leo kimambi kaamua kuwasusa maana ni wazee wa keyboard....
Kuzizima labda kwenye social media..
Ndio mimi.
Wakibweka sauti yao huwa inakuwa ina kawaoga fulani hivi!mbwa koko ni mbwa wa aina gani 🙄 ?