Tundu Lissu alipowaambia kuhusu makinikia, walimdharau. Yako wapi sasa?

Tundu Lissu alipowaambia kuhusu makinikia, walimdharau. Yako wapi sasa?

The Palm Beach

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2015
Posts
1,967
Reaction score
4,267
Jamaa mara baada ya kuwachanachana CCM, saa saba za mchana siku hiyo ya tarehe 7/9/2017 akapigwa risasi mchana kweupe. Mungu Mwenyezi alimnusuru na kifo yu hai leo, bila shaka huyu ndiye Rais ajaye wa Tanganyika.

Pamoja na jaribio la serikali ya CCM chini ya Rais Magufuli kutaka kumuua mkosoaji wake mkuu, hata hivyo hiyo haikufuta ukweli kwamba, kilichokuwa kinafanywa na mwendazake John P. Magufuli yalikuwa na maigizo yasiyotumia maarifa na kukosa weledi ndani yake.



Ushahidi ni kuwa, mpaka leo zile Trilioni 197 tulizoambiwa ziliibiwa na kwamba tungelipwa kama nchi ili kila mwananchi mkubwa kwa mdogo anunue Noah yake, zimeyeyukia hewani na pengine zimemfuata mwenyewe "Hayati" huko huko aliko Chato!
 
Jamaa mara baada ya kuwachanachana CCM, saa saba za mchana siku hiyo ya tarehe 7/9/2017 akapigwa risasi mchana kweupe..

Mungu Mwenyezi alimnusuru na kifo. Yu hai leo bila shaka huyu ndiye Rais ajaye wa Tanganyika...

Pamoja na jaribio la serikali ya CCM chini ya Rais Magufuli kutaka kumuua mkosoaji wake mkuu, hata hivyohiyo haikufuta ukweli kwamba, kilichokuwa kinafanywa na Mwendazake John P. Magufuli yalikuwa na maigizo yasiyotumia maarifa na kukosa weledi ndani yake...

View attachment 2404538

Ushahidi ni kuwa, mpaka leo zile Trilioni 197 tulizoambiwa ziliibiwa na kwamba tungelipwa kama nchi ili kila mwananchi mkubwa kwa mdogo anunue Noah yake, zimeyeyukia hewani na pengine zimemfuata mwenyewe "hayati" huko huko aliko Chato...!!
Kibokora, Bukuku, Laurence Masha, Bomani na ....... report zote anazijua wakati kuna Mbunge pale hakujua hata na moja
 
Jamaa mara baada ya kuwachanachana CCM, saa saba za mchana siku hiyo ya tarehe 7/9/2017 akapigwa risasi mchana kweupe. Mungu Mwenyezi alimnusuru na kifo yu hai leo, bila shaka huyu ndiye Rais ajaye wa Tanganyika.

Pamoja na jaribio la serikali ya CCM chini ya Rais Magufuli kutaka kumuua mkosoaji wake mkuu, hata hivyo hiyo haikufuta ukweli kwamba, kilichokuwa kinafanywa na mwendazake John P. Magufuli yalikuwa na maigizo yasiyotumia maarifa na kukosa weledi ndani yake.

View attachment 2404538

Ushahidi ni kuwa, mpaka leo zile Trilioni 197 tulizoambiwa ziliibiwa na kwamba tungelipwa kama nchi ili kila mwananchi mkubwa kwa mdogo anunue Noah yake, zimeyeyukia hewani na pengine zimemfuata mwenyewe "Hayati" huko huko aliko Chato!
Ila huyu mwamba, kiboko, CCM hapa huwa hawajibu kitu, ni kutukana tu,
 
Jamaa mara baada ya kuwachanachana CCM, saa saba za mchana siku hiyo ya tarehe 7/9/2017 akapigwa risasi mchana kweupe. Mungu Mwenyezi alimnusuru na kifo yu hai leo, bila shaka huyu ndiye Rais ajaye wa Tanganyika.

Pamoja na jaribio la serikali ya CCM chini ya Rais Magufuli kutaka kumuua mkosoaji wake mkuu, hata hivyo hiyo haikufuta ukweli kwamba, kilichokuwa kinafanywa na mwendazake John P. Magufuli yalikuwa na maigizo yasiyotumia maarifa na kukosa weledi ndani yake.

View attachment 2404538

Ushahidi ni kuwa, mpaka leo zile Trilioni 197 tulizoambiwa ziliibiwa na kwamba tungelipwa kama nchi ili kila mwananchi mkubwa kwa mdogo anunue Noah yake, zimeyeyukia hewani na pengine zimemfuata mwenyewe "Hayati" huko huko aliko Chato!
Pamoja na jaribio la serikali ya CCM chini ya Rais Magufuli kutaka kumuua mkosoaji wake mkuu, hata hivyo hiyo haikufuta ukweli kwamba, kilichokuwa kinafanywa na mwendazake John P. Magufuli yalikuwa na maigizo yasiyotumia maarifa na kukosa weledi ndani yake.
 
Lisu kiboko yaoo maana alichambua vitambulisho fake vya ujasiriamali mzee mecco akashtuka akavificha Hapohapo
 
Kifupi Kabudi, Mruma na Osoro wakamatwe watuambie ukweli ziliko fedha au waseme kwa Nini walidanganya
Wametoa andiko jipya. Wanaomba neno "proffesorial rubbish" lifutwe kwenye "dikishenare" kwa sababu wakiliona wanawehuka!😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom