Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Wewe ndio zwazwa namba moja. Badala ya kuloloma ungeelezea angalau hata moja alilolifanya. Kama huwezi aidha ukae kimya au maana yake Lissu hajafanya kitu. Ila ukitaka, endelea kutukana. Wenye akili tutaelewa.Uzwazwa ulionao ndio utakaufanya utakanwe mpaka uwakumbuke wazee wako kijijini, yaani mpaka leo hujajua umuhimu wa lissu? Kwanini hujiulizi kwanini walitaka kumuua mchana kweupe!?
Moja kwa moja umeshajiondoa kwenye watu wenye sifa ya kujadili mambo ya siasaNdugu wana bodi! Habari zenu!
Nikiwa kijana mdogo ,mwaka 1995 ,baba wa Taifa mwalimu Nyerere ,wakati akitueleza umuhimu wa uchaguzi na kuchagua viongozi bora wa taifa hili,alituasa kuwa ,tuchague viongozi watakao lisaidia taifa letu.
Mwalimu alisema kwamba ,miongoni mwa
siasa za kiongozi anayefaa kuwa Rais wa nchi hii,ni yule ambaye amewahi kuisaidia au kuifanyia maendeleo nchi yake ya Tanzania.
Tunapotaka kuchagua
kiongozi wa nchi hii ya Tanzania lazima tujue kuwa amewahi kuisaidia au kuifanyia nini cha maana nchi yake ya Tanzania.Mwalimu alienda mbali kwa kutoa mfano wa Rais
John F.Kennedy wa Marekani ,mwaka 1963 ,aliwaambia wamerekani ,wanataka awafanyie nini na sio wao wamfanyie nin.
Ni wakati muafaka kwa watanzania,kumuuliza ndugu Lissu ,JE amewahi kuifanyia au kuisadia nini Tanzania mpaka agombea cheo kikubwa kama urais?
Maana mimi naona kama amekuwa mtu wa kashifa tu.Je tutaongozwa kwa kashifa na kufika uchumi wa juu?Tumchague sasa DR MAGUFULI ILI ATUPELEKE
UCHUMI WA JUU.
Naomba tujenge hoja.TUACHE MATUSI :
Alipinga kuuzwa kwa Rufiji Delta ambayo leo tunajenga JNHPP ...Zaidi ya kuwatukana watanzania na kuwa mke wa mabeberu hakuna lingine.
Hana msaada wowote, matusi hayauia, labda alimiminiwa risasi Sababu alipinga ununuzi wa ndege, akapinga acacia kuchukuliwa hatua, na akawa anajifanya kubonga bonga lugha kama dikteta uchwara, juma pondamali, mwana kulifind mwana kuligetUzwazwa ulionao ndio utakaufanya utakanwe mpaka uwakumbuke wazee wako kijijini, yaani mpaka leo hujajua umuhimu wa lissu? Kwanini hujiulizi kwanini walitaka kumuua mchana kweupe!?
Itoshe tu kusema "Zaburi 92 6Ndugu wana bodi! Habari zenu!
Nikiwa kijana mdogo ,mwaka 1995 ,baba wa Taifa mwalimu Nyerere ,wakati akitueleza umuhimu wa uchaguzi na kuchagua viongozi bora wa taifa hili,alituasa kuwa ,tuchague viongozi watakao lisaidia taifa letu.
Mwalimu alisema kwamba ,miongoni mwa
siasa za kiongozi anayefaa kuwa Rais wa nchi hii,ni yule ambaye amewahi kuisaidia au kuifanyia maendeleo nchi yake ya Tanzania.
Tunapotaka kuchagua
kiongozi wa nchi hii ya Tanzania lazima tujue kuwa amewahi kuisaidia au kuifanyia nini cha maana nchi yake ya Tanzania.Mwalimu alienda mbali kwa kutoa mfano wa Rais
John F.Kennedy wa Marekani ,mwaka 1963 ,aliwaambia wamerekani ,wanataka awafanyie nini na sio wao wamfanyie nin.
Ni wakati muafaka kwa watanzania,kumuuliza ndugu Lissu ,JE amewahi kuifanyia au kuisadia nini Tanzania mpaka agombea cheo kikubwa kama urais?
Maana mimi naona kama amekuwa mtu wa kashifa tu.Je tutaongozwa kwa kashifa na kufika uchumi wa juu?Tumchague sasa DR MAGUFULI ILI ATUPELEKE
UCHUMI WA JUU.
Naomba tujenge hoja.TUACHE MATUSI :
Wewe binafsi umeifanyia nini Tanzania? hz habari za "Mwalimu alisema" and so and so... ,uliambiwa Mwalimu ni katiba au Mungu kiasi kwamba kila anachosema lazima kiwe sheria au utaratibu?Ndugu wana bodi! Habari zenu!
Nikiwa kijana mdogo ,mwaka 1995 ,baba wa Taifa mwalimu Nyerere ,wakati akitueleza umuhimu wa uchaguzi na kuchagua viongozi bora wa taifa hili,alituasa kuwa ,tuchague viongozi watakao lisaidia taifa letu.
Mwalimu alisema kwamba ,miongoni mwa
siasa za kiongozi anayefaa kuwa Rais wa nchi hii,ni yule ambaye amewahi kuisaidia au kuifanyia maendeleo nchi yake ya Tanzania.
Tunapotaka kuchagua
kiongozi wa nchi hii ya Tanzania lazima tujue kuwa amewahi kuisaidia au kuifanyia nini cha maana nchi yake ya Tanzania.Mwalimu alienda mbali kwa kutoa mfano wa Rais
John F.Kennedy wa Marekani ,mwaka 1963 ,aliwaambia wamerekani ,wanataka awafanyie nini na sio wao wamfanyie nin.
Ni wakati muafaka kwa watanzania,kumuuliza ndugu Lissu ,JE amewahi kuifanyia au kuisadia nini Tanzania mpaka agombea cheo kikubwa kama urais?
Maana mimi naona kama amekuwa mtu wa kashifa tu.Je tutaongozwa kwa kashifa na kufika uchumi wa juu?Tumchague sasa DR MAGUFULI ILI ATUPELEKE
UCHUMI WA JUU.
Naomba tujenge hoja.TUACHE MATUSI :
Kwa taaluma yake ya sheria aliwahi kutetea nini katika kesi amabayo ilipatia taifa ushindi?
Taja hata moja?
Zaidi ya kuwatetea mabeberu waendelee kutunyonya.
Elimu bure, je wewe unaipenda elimu bure? Watoto wa viongozi waandamizi wanasoma shule zinazotoa elimu bure?Kazi ipo! sasa imagine sasa hivi elimu ni bure sijui product zitakazotoka huko zitakuwaje
mbona Lissu alianza kupigania maslahi ya nchi hii miaka zaidi ya ishirini iliyopita?Ndugu wana bodi! Habari zenu!
Nikiwa kijana mdogo ,mwaka 1995 ,baba wa Taifa mwalimu Nyerere ,wakati akitueleza umuhimu wa uchaguzi na kuchagua viongozi bora wa taifa hili,alituasa kuwa ,tuchague viongozi watakao lisaidia taifa letu.
Mwalimu alisema kwamba ,miongoni mwa
siasa za kiongozi anayefaa kuwa Rais wa nchi hii,ni yule ambaye amewahi kuisaidia au kuifanyia maendeleo nchi yake ya Tanzania.
Tunapotaka kuchagua
kiongozi wa nchi hii ya Tanzania lazima tujue kuwa amewahi kuisaidia au kuifanyia nini cha maana nchi yake ya Tanzania.Mwalimu alienda mbali kwa kutoa mfano wa Rais
John F.Kennedy wa Marekani ,mwaka 1963 ,aliwaambia wamerekani ,wanataka awafanyie nini na sio wao wamfanyie nin.
Ni wakati muafaka kwa watanzania,kumuuliza ndugu Lissu ,JE amewahi kuifanyia au kuisadia nini Tanzania mpaka agombea cheo kikubwa kama urais?
Maana mimi naona kama amekuwa mtu wa kashifa tu.Je tutaongozwa kwa kashifa na kufika uchumi wa juu?Tumchague sasa DR MAGUFULI ILI ATUPELEKE
UCHUMI WA JUU.
Naomba tujenge hoja.TUACHE MATUSI :
Alikuwa ameifanyia nini tanganyika?Alikuwa kapigania uhuru wake
Wameokotezwa majalalani na Polepole kuletwa JF kuanzisha vithread wasivyiweza kuvitetea. Ni Mazuzu Fulani wasiojitambua.Hivi nyie shuleni mlienda kujifunza ujinga? Ndio nini hii umeandika? Shubamitii walah.!
Maana ni wakoloni tu enzi hizo ndio walikuwa wameifanyia kitu tanganyika tena vitu vingi tu, lakini hatukujali walichotufanyia watanganyika tuliwafukuza na kumpa mwl ambaye kwa wakati huo hakuifanyia chochote tanganyika.Alikuwa kapigania uhuru wake
Kwako Magufuli ndo ana uchungu na nchi?Umewlewa lakini, huyo mtu wenu hafai kabisa,
Kama angekuwa ana nia ya kuwa raisi angeepuka kutetea kesi zinzoibana nchi, lakini yeye akawa ananufaisha tumbo lake tu.
Sasa masuala ya kuongoza nchi awaachie wenye machungu na nchi
Nyerere alipigania haki na uhuru wa watu.Alikuwa kapigania uhuru wake
Niliposoma "amelika" nikaachia hapo hapo.Mambo mengi sana Tundu amelisidia taifa
1. Aliyoa information kwa mkulima akakamate ndege yetu
2. Alimzuia JPM kuwa asizuie makinikia bandalini kwamba kama nchi tutashitakiwa na kufilisiwa.
3. Alimkataza JPM asiipitiie upya mikataba ya madini kwamba mikataba ikashafungwa haitenguliwi. Vinginevyo tutashitakiwa na kufilisiwa.
4. Amezunguka nchi mbalimbali wa ulaya na amelika uuzuia nchi yetu isipewe misaada.
5. Kuketa sera ya ushoga nchini.
Au hukumbuki mkuu