Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aliwahi kuisaidia nini Tanzania? Mwenye uelewa atuelezee

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aliwahi kuisaidia nini Tanzania? Mwenye uelewa atuelezee

Uzwazwa ulionao ndio utakaufanya utakanwe mpaka uwakumbuke wazee wako kijijini, yaani mpaka leo hujajua umuhimu wa lissu? Kwanini hujiulizi kwanini walitaka kumuua mchana kweupe!?
Wewe ndio zwazwa namba moja. Badala ya kuloloma ungeelezea angalau hata moja alilolifanya. Kama huwezi aidha ukae kimya au maana yake Lissu hajafanya kitu. Ila ukitaka, endelea kutukana. Wenye akili tutaelewa.

TUKUTANE OKTOBA 28!
 
Ndugu wana bodi! Habari zenu!

Nikiwa kijana mdogo ,mwaka 1995 ,baba wa Taifa mwalimu Nyerere ,wakati akitueleza umuhimu wa uchaguzi na kuchagua viongozi bora wa taifa hili,alituasa kuwa ,tuchague viongozi watakao lisaidia taifa letu.

Mwalimu alisema kwamba ,miongoni mwa
siasa za kiongozi anayefaa kuwa Rais wa nchi hii,ni yule ambaye amewahi kuisaidia au kuifanyia maendeleo nchi yake ya Tanzania.

Tunapotaka kuchagua
kiongozi wa nchi hii ya Tanzania lazima tujue kuwa amewahi kuisaidia au kuifanyia nini cha maana nchi yake ya Tanzania.Mwalimu alienda mbali kwa kutoa mfano wa Rais

John F.Kennedy wa Marekani ,mwaka 1963 ,aliwaambia wamerekani ,wanataka awafanyie nini na sio wao wamfanyie nin.

Ni wakati muafaka kwa watanzania,kumuuliza ndugu Lissu ,JE amewahi kuifanyia au kuisadia nini Tanzania mpaka agombea cheo kikubwa kama urais?
Maana mimi naona kama amekuwa mtu wa kashifa tu.Je tutaongozwa kwa kashifa na kufika uchumi wa juu?Tumchague sasa DR MAGUFULI ILI ATUPELEKE
UCHUMI WA JUU.

Naomba tujenge hoja.TUACHE MATUSI :
Moja kwa moja umeshajiondoa kwenye watu wenye sifa ya kujadili mambo ya siasa
 
Zaidi ya kuwatukana watanzania na kuwa mke wa mabeberu hakuna lingine.
Alipinga kuuzwa kwa Rufiji Delta ambayo leo tunajenga JNHPP ...
Alipinga watu wa Nyamongo kufukuzwa bila fidia...kumbuka apo bado alikua anachukua nafasi yoyote ya uongozi...
Mimi ni CCM kindaki ndaki...ila Lissu nampa kura kwakua ni kiongozi wa watanzania tu si mtawala .
 
Uzwazwa ulionao ndio utakaufanya utakanwe mpaka uwakumbuke wazee wako kijijini, yaani mpaka leo hujajua umuhimu wa lissu? Kwanini hujiulizi kwanini walitaka kumuua mchana kweupe!?
Hana msaada wowote, matusi hayauia, labda alimiminiwa risasi Sababu alipinga ununuzi wa ndege, akapinga acacia kuchukuliwa hatua, na akawa anajifanya kubonga bonga lugha kama dikteta uchwara, juma pondamali, mwana kulifind mwana kuliget
 
Ndugu wana bodi! Habari zenu!

Nikiwa kijana mdogo ,mwaka 1995 ,baba wa Taifa mwalimu Nyerere ,wakati akitueleza umuhimu wa uchaguzi na kuchagua viongozi bora wa taifa hili,alituasa kuwa ,tuchague viongozi watakao lisaidia taifa letu.

Mwalimu alisema kwamba ,miongoni mwa
siasa za kiongozi anayefaa kuwa Rais wa nchi hii,ni yule ambaye amewahi kuisaidia au kuifanyia maendeleo nchi yake ya Tanzania.

Tunapotaka kuchagua
kiongozi wa nchi hii ya Tanzania lazima tujue kuwa amewahi kuisaidia au kuifanyia nini cha maana nchi yake ya Tanzania.Mwalimu alienda mbali kwa kutoa mfano wa Rais

John F.Kennedy wa Marekani ,mwaka 1963 ,aliwaambia wamerekani ,wanataka awafanyie nini na sio wao wamfanyie nin.

Ni wakati muafaka kwa watanzania,kumuuliza ndugu Lissu ,JE amewahi kuifanyia au kuisadia nini Tanzania mpaka agombea cheo kikubwa kama urais?
Maana mimi naona kama amekuwa mtu wa kashifa tu.Je tutaongozwa kwa kashifa na kufika uchumi wa juu?Tumchague sasa DR MAGUFULI ILI ATUPELEKE
UCHUMI WA JUU.

Naomba tujenge hoja.TUACHE MATUSI :
Itoshe tu kusema "Zaburi 92 6
Mtu mjinga hayatambui hayo, Wala mpumbavu hayafahamu. "
 
Uliwahi kuona serikali inajaribu kuua mjinga? Wapi!!
 
Ndugu wana bodi! Habari zenu!

Nikiwa kijana mdogo ,mwaka 1995 ,baba wa Taifa mwalimu Nyerere ,wakati akitueleza umuhimu wa uchaguzi na kuchagua viongozi bora wa taifa hili,alituasa kuwa ,tuchague viongozi watakao lisaidia taifa letu.

Mwalimu alisema kwamba ,miongoni mwa
siasa za kiongozi anayefaa kuwa Rais wa nchi hii,ni yule ambaye amewahi kuisaidia au kuifanyia maendeleo nchi yake ya Tanzania.

Tunapotaka kuchagua
kiongozi wa nchi hii ya Tanzania lazima tujue kuwa amewahi kuisaidia au kuifanyia nini cha maana nchi yake ya Tanzania.Mwalimu alienda mbali kwa kutoa mfano wa Rais

John F.Kennedy wa Marekani ,mwaka 1963 ,aliwaambia wamerekani ,wanataka awafanyie nini na sio wao wamfanyie nin.

Ni wakati muafaka kwa watanzania,kumuuliza ndugu Lissu ,JE amewahi kuifanyia au kuisadia nini Tanzania mpaka agombea cheo kikubwa kama urais?
Maana mimi naona kama amekuwa mtu wa kashifa tu.Je tutaongozwa kwa kashifa na kufika uchumi wa juu?Tumchague sasa DR MAGUFULI ILI ATUPELEKE
UCHUMI WA JUU.

Naomba tujenge hoja.TUACHE MATUSI :
Wewe binafsi umeifanyia nini Tanzania? hz habari za "Mwalimu alisema" and so and so... ,uliambiwa Mwalimu ni katiba au Mungu kiasi kwamba kila anachosema lazima kiwe sheria au utaratibu?
 
Ubongo wako una makamasi kayasafishe kwanza theni urudi hapa
Kwa taaluma yake ya sheria aliwahi kutetea nini katika kesi amabayo ilipatia taifa ushindi?
Taja hata moja?
Zaidi ya kuwatetea mabeberu waendelee kutunyonya.
 
Kazi ipo! sasa imagine sasa hivi elimu ni bure sijui product zitakazotoka huko zitakuwaje
Elimu bure, je wewe unaipenda elimu bure? Watoto wa viongozi waandamizi wanasoma shule zinazotoa elimu bure?
Ukishajijibu utajua kuwa elimu bure ni kiinimacho.
 
Ukweli Mchungu n kwamba huyu jamaa n mwananadharia tu hana chochote huyu.
Sisi huku Singida tunajua.
 
Ndugu wana bodi! Habari zenu!

Nikiwa kijana mdogo ,mwaka 1995 ,baba wa Taifa mwalimu Nyerere ,wakati akitueleza umuhimu wa uchaguzi na kuchagua viongozi bora wa taifa hili,alituasa kuwa ,tuchague viongozi watakao lisaidia taifa letu.

Mwalimu alisema kwamba ,miongoni mwa
siasa za kiongozi anayefaa kuwa Rais wa nchi hii,ni yule ambaye amewahi kuisaidia au kuifanyia maendeleo nchi yake ya Tanzania.

Tunapotaka kuchagua
kiongozi wa nchi hii ya Tanzania lazima tujue kuwa amewahi kuisaidia au kuifanyia nini cha maana nchi yake ya Tanzania.Mwalimu alienda mbali kwa kutoa mfano wa Rais

John F.Kennedy wa Marekani ,mwaka 1963 ,aliwaambia wamerekani ,wanataka awafanyie nini na sio wao wamfanyie nin.

Ni wakati muafaka kwa watanzania,kumuuliza ndugu Lissu ,JE amewahi kuifanyia au kuisadia nini Tanzania mpaka agombea cheo kikubwa kama urais?
Maana mimi naona kama amekuwa mtu wa kashifa tu.Je tutaongozwa kwa kashifa na kufika uchumi wa juu?Tumchague sasa DR MAGUFULI ILI ATUPELEKE
UCHUMI WA JUU.

Naomba tujenge hoja.TUACHE MATUSI :
mbona Lissu alianza kupigania maslahi ya nchi hii miaka zaidi ya ishirini iliyopita?
kwa hiyo kiuzalendo wa maliasili za nchi, JPM ni kama kindergarten (kijukuu) tu kwa Lissu!
 
Umewlewa lakini, huyo mtu wenu hafai kabisa,
Kama angekuwa ana nia ya kuwa raisi angeepuka kutetea kesi zinzoibana nchi, lakini yeye akawa ananufaisha tumbo lake tu.
Sasa masuala ya kuongoza nchi awaachie wenye machungu na nchi
Kwako Magufuli ndo ana uchungu na nchi?
 
Mambo mengi sana Tundu amelisidia taifa

1. Aliyoa information kwa mkulima akakamate ndege yetu

2. Alimzuia JPM kuwa asizuie makinikia bandalini kwamba kama nchi tutashitakiwa na kufilisiwa.

3. Alimkataza JPM asiipitiie upya mikataba ya madini kwamba mikataba ikashafungwa haitenguliwi. Vinginevyo tutashitakiwa na kufilisiwa.

4. Amezunguka nchi mbalimbali wa ulaya na amelika uuzuia nchi yetu isipewe misaada.


5. Kuketa sera ya ushoga nchini.

Au hukumbuki mkuu
Niliposoma "amelika" nikaachia hapo hapo.
 
Kila mtu anaisaida Tanzania kwa nafasi yake. Hata mkulima aliyeko kule Nkasi pembezoni analima na kulisaidia Taifa kwa chakula chake anachovuna. Kulisaidia Taifa siyo lazima uonekane kwenye TV. Kama Lissu hajalisaidia Taifa, chagua akina Mtamwega Mgaywa na Rungwe ambao wamelisaidia Taifa.
 
Back
Top Bottom