Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aliwahi kuisaidia nini Tanzania? Mwenye uelewa atuelezee

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aliwahi kuisaidia nini Tanzania? Mwenye uelewa atuelezee

Ardhi na mbingu zitatushangaa kwa kumchagua Lissu. Ni yeye akiwa mwanasheria wa chadema amekaa kimya wakati Khamis Kagenzi aliyekuwa mlinzi wa Dkt Slaa akitekwa, kufungiwa ndani na kupewa mateso makali katika jengo la kukodi la chadema ufipa wanalotumia kama makao makuu....

Ni yeye aliyekaa kimya alipotekwa aliyekuwa Mkt wa chadema wilaya ya TEMEKE bwana Joseph Yona aliyekuwa kambi ya Zitto Kabwe akatekwa na kutupwa ununio uzuri Yona aliwatambua wakamuacha lakini wangemuua....


Ni yeye Lissu kwa kushirikiana na Kubenea walisema Ben Saanane yupo na ipo siku atatokea baadae akaanza kugeuza kibao eti katekwa huku Mbowe ambaye muhusika alikuwa msaidizi wake binafsi yupo kimya anakula maisha. Ifahamike aliyemfanyia umafia Saanane ni mlinzi wa Mbowe aliyekutwa kafia gesti Kwa kujinyonga lakini ukweli chadema walimuua kupoteza ushahidi. Hii habari chadema hawakuipa uzito kabisaaa....

Ni yeye Lissu akiwa mwanasheria wa chadema alikaa kimya ilipovuja sauti za mazungumzo ya Kubenea na Komu wakipanga kumdhuru aliyekuwa meya wa Ubungo Boniface Jacob leo anatuongopea?

Ni yeye Lissu akiwa mwanasheria alikaa kimya pale vijana wa red brigade walipomteka Ndg John Marwa mmiliki wa mtandao wa blogu wa Dar Mpya na kumfungia kwenye nyumba moja eneo la Bagamoyo huku wakimtesa vibaya....

Ni yeye Lissu alikaa kimya pale wanachama waandamizi wa chadema walipomteka na kummwagia tindikali kada wa CCM Wilaya ya Igunga Bwana Musa Tesha ambaye sura yake iliharibika vibaya...

Ni yeye Lissu aliyeridhia kuwekwa kifungu kwenye katiba ya chadema kuzuia wanachama wake kutokwenda mahakamani pale itakapotokea hawajaridhika Na maamuzi ya chama chao hii ilikuja baada ya zitto kuwashinda mahakamani....

Kiufupi kabla Chadema hawajanyoosha kidole wasafishe nyumba yao.... Zitto kabwe amewahi kuzungumza hadharani kuwa alitaka kuwekewa sumu na chadema kupigia vijana wa bavicha waliokuwa karibu naye.

Hawa wahuni wakapumzike

Mtu wa aina hii muongo asiye na kumbukumbu atamuhadaa nani?
Serikali ya CCM ilivyokuwa haikioendi chadema iliwaacha na ushahidi wote huooo?? Ahahahhahah kichwa panzi wewe, kwa matukio hayo chadrma ingekwishafutwa be maana wangeitwa magaidi
 
Ndugu wana bodi! Habari zenu!

Nikiwa kijana mdogo ,mwaka 1995 ,baba wa Taifa mwalimu Nyerere ,wakati akitueleza umuhimu wa uchaguzi na kuchagua viongozi bora wa taifa hili,alituasa kuwa ,tuchague viongozi watakao lisaidia taifa letu.

Mwalimu alisema kwamba ,miongoni mwa
siasa za kiongozi anayefaa kuwa Rais wa nchi hii,ni yule ambaye amewahi kuisaidia au kuifanyia maendeleo nchi yake ya Tanzania.

Tunapotaka kuchagua
kiongozi wa nchi hii ya Tanzania lazima tujue kuwa amewahi kuisaidia au kuifanyia nini cha maana nchi yake ya Tanzania.Mwalimu alienda mbali kwa kutoa mfano wa Rais

John F.Kennedy wa Marekani ,mwaka 1963 ,aliwaambia wamerekani ,wanataka awafanyie nini na sio wao wamfanyie nin.

Ni wakati muafaka kwa watanzania,kumuuliza ndugu Lissu ,JE amewahi kuifanyia au kuisadia nini Tanzania mpaka agombea cheo kikubwa kama urais?
Maana mimi naona kama amekuwa mtu wa kashifa tu.Je tutaongozwa kwa kashifa na kufika uchumi wa juu?Tumchague sasa DR MAGUFULI ILI ATUPELEKE
UCHUMI WA JUU.

Naomba tujenge hoja.TUACHE MATUSI :
Unazeeka vibaya nyau wewe
 
Yeye kila siku Ana hesabu kesi tulizo shtakiwa watanzania yani Tundulisu siwez kumpa kura hata ccm angekua shetani mana hata tundulisu ni shetani mwenzake
 
Uzwazwa ulionao ndio utakaokufanya utukanwe mpaka uwakumbuke wazee wako kijijini, yaani mpaka leo hujajua umuhimu wa lissu? Kwanini hujiulizi kwanini walitaka kumuua mchana kweupe!?


Ungelist tu mkuu..

Kafanya..

1.
2.
3.
...
 
Yeye kila siku Ana hesabu kesi tulizo shtakiwa watanzania yani Tundulisu siwez kumpa kura hata ccm angekua shetani mana hata tundulisu ni shetani mwenzake
Na aliyetuingiza katika kesi hizo unamuachaje kwa mfano! Be rational bro
 
Ndugu wana bodi! Habari zenu!

Nikiwa kijana mdogo ,mwaka 1995 ,baba wa Taifa mwalimu Nyerere ,wakati akitueleza umuhimu wa uchaguzi na kuchagua viongozi bora wa taifa hili,alituasa kuwa ,tuchague viongozi watakao lisaidia taifa letu.

Mwalimu alisema kwamba ,miongoni mwa
siasa za kiongozi anayefaa kuwa Rais wa nchi hii,ni yule ambaye amewahi kuisaidia au kuifanyia maendeleo nchi yake ya Tanzania.

Tunapotaka kuchagua
kiongozi wa nchi hii ya Tanzania lazima tujue kuwa amewahi kuisaidia au kuifanyia nini cha maana nchi yake ya Tanzania.Mwalimu alienda mbali kwa kutoa mfano wa Rais

John F.Kennedy wa Marekani ,mwaka 1963 ,aliwaambia wamerekani ,wanataka awafanyie nini na sio wao wamfanyie nin.

Ni wakati muafaka kwa watanzania,kumuuliza ndugu Lissu ,JE amewahi kuifanyia au kuisadia nini Tanzania mpaka agombea cheo kikubwa kama urais?
Maana mimi naona kama amekuwa mtu wa kashifa tu.Je tutaongozwa kwa kashifa na kufika uchumi wa juu?Tumchague sasa DR MAGUFULI ILI ATUPELEKE
UCHUMI WA JUU.

Naomba tujenge hoja.TUACHE MATUSI :
Kwani huyo aliyepo madarakani ametusaidia nini. Ninachoona ni kutumia kodi zetu vibaya. Gharama za hayo Magari yanayomlinda kwa mwaka zinatosha kwa watanzania wote kusoma bure bila ya hata kununua kalamu. Na hayo unayosema anatufanyia kwa kodi zetu wenyewe. Sisi tunataka taasisi imara, ili kiongozi yoyote atakaekaa madarakari aweze kutuletea maendeleo kutokana na sheria zetu na sio Matamko ya mtu fulani
 
Jibu hoja.wanachadema shida sana.ndio mnataka kuchukua nchi ninyi.kama swali dogo kama ili unajibu kwa jazba utaweza wapi kuitetea nchi yako
Kuna watu kama wewe mpaka unashangaa ni ujinga au upumbavu ulionao. Hivi mpaka leo hujui mchango wa Lisu katika midani za siasa Tanzania. Hakika wewe ni mburula?
 
Ndugu wana bodi! Habari zenu!

Nikiwa kijana mdogo ,mwaka 1995 ,baba wa Taifa mwalimu Nyerere ,wakati akitueleza umuhimu wa uchaguzi na kuchagua viongozi bora wa taifa hili,alituasa kuwa ,tuchague viongozi watakao lisaidia taifa letu.

Mwalimu alisema kwamba ,miongoni mwa
siasa za kiongozi anayefaa kuwa Rais wa nchi hii,ni yule ambaye amewahi kuisaidia au kuifanyia maendeleo nchi yake ya Tanzania.

Tunapotaka kuchagua
kiongozi wa nchi hii ya Tanzania lazima tujue kuwa amewahi kuisaidia au kuifanyia nini cha maana nchi yake ya Tanzania.Mwalimu alienda mbali kwa kutoa mfano wa Rais

John F.Kennedy wa Marekani ,mwaka 1963 ,aliwaambia wamerekani ,wanataka awafanyie nini na sio wao wamfanyie nin.

Ni wakati muafaka kwa watanzania,kumuuliza ndugu Lissu ,JE amewahi kuifanyia au kuisadia nini Tanzania mpaka agombea cheo kikubwa kama urais?
Maana mimi naona kama amekuwa mtu wa kashifa tu.Je tutaongozwa kwa kashifa na kufika uchumi wa juu?Tumchague sasa DR MAGUFULI ILI ATUPELEKE
UCHUMI WA JUU.

Naomba tujenge hoja.TUACHE MATUSI :
I wonder ndio maana nchi yetu ni masikini kuanzia baba wa taifa mwenyewe na wewe binafsi kua na thinking wrong kiasi hiki...

Wewe,unaweza isaidia Tanzania kitu gani meaningful maana huna madaraka,huna hela,huna lolote ni mwananchi wa kawaida?

Mtu yeyote asie na madaraka yeyote,au pesa yeyote,au any position of mass change,then unaweza isaidia hii nchi kwa hali kubwa kwa baadhi ya kufanya haya:

1.Fanya kazi kwa bidii kazini kwako au biashara yako
2.Tunza familia yako kwa bidii
3.Usimuonee au kufanya crime kwa wananchi wenzako
4.Lipa kodi yako halali
5.Shiriki kwenye process za demokrasia kama kupiga kura,kuchagua au kuchaguliwa,etc

Jingine lipi unataka?

Kuisaidia Tanzania??????Kivipi yaani?

Kupika uji na kugawa barabarani?

Usikute unachanganya vitu viwili hapa,"charity" na "kusaidia nchi" which means kama ni kusaidia kama hivyo huna jeuri ya kusaidia nchi kipesa au kimaamuzi maana hakuna mwenye madaraka to effect that change needed....

Sijui unataka nini hasa?

Maana serikali ya Tanzania ni organization yenye madaraka kwa wananchi wa Tanzania above God,wanafanya lolote watakalo,wanakusanya hela watakayo,mwananchi ni powerless tiny being compared to the government,kuisaidia labda ufanye kazi bidii na kulipa kodi zako kihalali basi....

Charity ni mambo binafsi ya mtu
 
Umeshawahi kujiuliza wakati lisu akiwa mwanaharakati pesa alikuwa anazitoa wapi.muulize zito alichofanyiwa figisu na lisu.
Ukitaka kujua reputation ya Lissu kwenye hiii nchi, uliza watu anaotokea maeneo ya migodi kama Nyamongo, Bulanhulu, Geita Gold mines nk. Kule huyu mwamba anaheshimika sana. Makaburu, na mabeberu walipokuwa wanashirikiana na serikali kupora ardhi ya Watanzania ili wachimbe madini bila kuwalipa fidia Wasukuma na Wakurya Lissu alisimamia kesi zao mpaka wakalipwa fidia. Inawezekana ulikuwa hujazaliwa wakati hayo yanatendeka. Je huyo unayemtetea aliyeuza nyumba za umma ana track record kama hii?
Tuendelee na mjadala
 
Tuko watanzania 60m hatutakosa raisi wa kutuongoza hadi tukaongozwa na kilema. Kwa hiyo ukionekana unamshabikia lisu ninakuona kama una upunguani kidogo.

Lakini pia inatakiwa uelewe nchi zetu za afrika tunalazimishwa maksudi na wazungu kuingiza hilo dudu demokrasia. Sisi bado hatujafikia kiwango hicho. Hata tundu ikitokea ameshinda akiwapa watanzania uhuru sana hakuna kitakachoendelea.

Watanzania maofisini wanatumia mda mwingi kuchati zaidi ya kufanya kazi. Bila kusimamiwa kamwe hatufanyi kazi. Wenzetu ulaya kama umeishafika ofisi nyingi za serikali unakuwa unaangaliwa utendaji kazi wako ukiwa ofisini kwa kutumia vifaa maalum. Je technology hiyo ipo kwetu?

Huku kwetu tunaangalia tu mda wa kuingia kazini na kutoka kazini. Ukiwa kazini/ofiaini umefanya nini utaratibu huo sisi hatuna
Unachanganya mambo sana ndugu. Hatuongelei kufanya kazi wala masaa ya kazi. Haki ni kitu kinachoendana na wajibu.
Haki za watu kuvunjwa na kukiukwa ndio hoja mezani.
 
Je alipowatetea wazungu kwenye makinikia ilikuwaje tena
Hakuwatetea mabeberu, alikuwa anatoa tahadhari kwa serikali, kwamba, badala ya kutumia ubabe kwenye mikataba ambayo ni HALALI, ni vema ikatumia njia ya majadiliano. Kutumia NGUVU badala ya MIJADALA ni upungufu wa busara kwa upande wa serikali. Kumbuka kwamba ni huyuhuyu mwamba tunayemsifu ndio alituingiza hasara ya kulipa meli ya samaki ambayo aliikamata kinyume na utaratibu. Ili kuyaepuka hayo ndio hapo Tundu Lissu alikuwa anatoa tahadhari. Mwisho wa siku tumeruhusu mabeberu waondoe makinikia yao na zile Noah tulizoahidiwa hatujapewa 🤣 🤣 🤣
 
Ndugu wana bodi! Habari zenu!

Nikiwa kijana mdogo ,mwaka 1995 ,baba wa Taifa mwalimu Nyerere ,wakati akitueleza umuhimu wa uchaguzi na kuchagua viongozi bora wa taifa hili,alituasa kuwa ,tuchague viongozi watakao lisaidia taifa letu.

Mwalimu alisema kwamba ,miongoni mwa
siasa za kiongozi anayefaa kuwa Rais wa nchi hii,ni yule ambaye amewahi kuisaidia au kuifanyia maendeleo nchi yake ya Tanzania.

Tunapotaka kuchagua
kiongozi wa nchi hii ya Tanzania lazima tujue kuwa amewahi kuisaidia au kuifanyia nini cha maana nchi yake ya Tanzania.Mwalimu alienda mbali kwa kutoa mfano wa Rais

John F.Kennedy wa Marekani ,mwaka 1963 ,aliwaambia wamerekani ,wanataka awafanyie nini na sio wao wamfanyie nin.

Ni wakati muafaka kwa watanzania,kumuuliza ndugu Lissu ,JE amewahi kuifanyia au kuisadia nini Tanzania mpaka agombea cheo kikubwa kama urais?
Maana mimi naona kama amekuwa mtu wa kashifa tu.Je tutaongozwa kwa kashifa na kufika uchumi wa juu?Tumchague sasa DR MAGUFULI ILI ATUPELEKE
UCHUMI WA JUU.

Naomba tujenge hoja.TUACHE MATUSI :
Kwani Jiwe kaisaidia nini?
 
Back
Top Bottom