Pre GE2025 Tundu Lissu ameanza kupuuzwa, umaarufu wake umeshuka kwa kasi mno

Pre GE2025 Tundu Lissu ameanza kupuuzwa, umaarufu wake umeshuka kwa kasi mno

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Muungwana haaminiki tena,

Idadi ya waliokua wakifuatilia siasa zake imeshuka na hakuna mtu anae mtilia maanani tena.

Wanampuuza tu na kumuona kama mtu mwenye chuki moyoni alizokua nazo tangu siku nyingi dhidi ya viongoz wenzake Chadema. Ameonekana ni kama mtu manafiki mwenye makusudi ya kuficha ushauri na kuombea mambo yaende kombo kwa viongozi wengine.

Kukosekana kwa utulivu, hekima na busara katika mambo anayoyaibua na watu anao watuhumu na kuwasingizia mambo mbalimbali bila ushahidi, kumemfanya ushawishi wake ushuke na kuonekana ni kama uzushi na uongo wa kutunga dhidi ya wenye nguvu zaidi yake ndani ya chadema.

Lisu anaingia katika historia ya wanasiasa nchini waliopoteza umaarufu, ushawishi na mvuto wa kisiasa kwa kasi mno, sababu kuu zikiwa ni pamoja na papara, tamaa na uchu wa madaraka, kukosa utulivu, hekima, busara na upendo miongni mwa viongozi wenzake waandamizi ndani ya chadema.

Ni vigumu sana kuaminika kwa wananchi ikiwa unahubiri, chuki, migawanyiko na ubaya dhidi ya wanaokubalika zaidi yako ndani ya chama, unawasema na kuwasingizia wengine mambo mabaya eti kusudi wewe uonekane wa maana na msafi zaidi ya pamba, kumbe ni mnafiki tu ulierubuniwa kifikra na fedha na mabwenyenye ya magharibi.

Kibaraka Utashindana Lakini Hautashinda 🐒

Mungu Ibarki Tanzania.
 
Kitendo tu cha wewe kumuandika hapa, tayari dalili tosha bado anafwatiliwa 🐒
Gentleman,
ni muhimu kuweka kumbukumbu sawa, ili iwe dedication wakati wa mayowe na makelele ya kibaraka, kushindwa vibaya baada ya kukataliwa hadharini kwa kura za wajumbe wa mkutano mkuu wa Chadema Taifa 🐒
 
Hoja zenu bado hazijakomaa.

Mna uwezo mdogo Sana wa kujenga hoja.
Gentleman,
mategemeo ya kitaalamu na kibobevu ni kwamba,

mtu muerevu mwenye hoja zilizokomaa na mwenye uwezo mkubwa wa kujenga hoja ajieleze kwa umakini mkubwa huku akiibua mawazo mapya na fikra mbadala bora zaidi ya hoja mahususi mezani,

lakini hiki ulichoandika hata sijui kinaitwaje kitaalamu kwakweli 🤣

Infact,
umaarufu na ushawishi wa kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi umeshuka kwa kasi na kiwango cha juu mno 🐒
 
Gentleman,
mategemeo ya kitaalamu na kibobevu ni kwamba,

mtu muerevu mwenye hoja zilizokomaa na mwenye uwezo mkubwa wa kujenga hoja ajieleze kwa umakini mkubwa huku akiibua mawazo mapya na fikra mbadala bora zaidi ya hoja mahususi mezani,

lakini hiki ulichoandika hata sijui kinaitwaje kitaalamu kwakweli 🤣

Infact,
umaarufu na ushawishi wa kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi umeshuka kwa kasi na kiwango cha juu mno 🐒



Mambo unayoandika yaanshiria Una akili ndogo.

Kumuita MTU kibaraka na mambo Kama hayo inaonesha ni jinsi gani upo uncivilized .

Nadhani katika mambo huwa yanwaharibu akili waswahili ni Ccm simba yanga , mashabiki wa hivi vitu huwa wana upeo mdogo Sana wa kufikiri
 
Mtoa mada acha kutumika kama kondomu, kumbuka baada ya kazi unatupwa na hukumbukwi tena ...
gentleman,
ikiwa umefikia kiwango chako cha mwisho cha mawazo mapya na fikra mbadala ni muhimu hekima na busara vikakuelekeza kukaa kimya,

ni wazi,
kufilisika hoja kisiasa ni kitu mbaya sana, na ofcoz unajikuta badala ya kuchangia hoja unafanya mazoezi ya kuporomosha dhihaka na matusi,

Pole sana gentleman 🐒
 
Mambo unayoandika yaanshiria Una akili ndogo.

Kumuita MTU kibaraka na mambo Kama hayo inaonesha ni jinsi gani upo uncivilized .

Nadhani katika mambo huwa yanwaharibu akili waswahili ni Ccm simba yanga , mashabiki wa hivi vitu huwa wana upeo mdogo Sana wa kufikiri
ni muhimu zaidi kwa faida ya wadau wa JF ukaandika mambo ya akili kubwa dhidi ya kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi. Its very simple gentleman, kuliko kubabaika na kujimwambafai kwamba huenda una akili kubwa, wakati unabainisha makasiriko tu juu ya hoja mahususi mezani.

Infact,
Muungwana ni kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, na hilo liko wazi kabisa unless unajizuia kukataa ukweli kitu ambacho ni ngumu sana gentleman 🐒
 
ni muhimu zaidi kwa faida ya wadau wa JF ukaandika mambo ya akili kubwa dhidi ya kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi. Its very simple gentleman, kuliko kubabaika na kujimwambafai kwamba huenda una akili kubwa, wakati unabainisha makasiriko tu juu ya hoja mahususi mezani.

Infact,
Muungwana ni kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, na hilo liko wazi kabisa unless unajizuia kukataa ukweli kitu ambacho ni ngumu sana gentleman 🐒
Sawa Ila siasa zako na maandiko yako yakutambulisha hivyo
 
Jinga kabisa

Watu wenyewe ni watatu na wote ni maccm
muerevu relax bas bila makasiriko hata kama huna point,

kacheki mihogo kwanza huenda una njaa, si eti gentleman?🐒
 
Muungwana haaminiki tena,
Idadi ya waliokua wakifuatilia siasa zake imeshuka na hakuna mtu anae mtilia maanani tena.
Wanampuuza tu na kumuona kama mtu mwenye chuki moyoni alizokua nazo tangu siku nyingi dhidi ya viongoz wenzake Chadema. Ameonekana ni kama mtu manafiki mwenye makusudi ya kuficha ushauri na kuombea mambo yaende kombo kwa viongozi wengine.

Kukosekana kwa utulivu, hekima na busara katika mambo anayoyaibua na watu anao watuhumu na kuwasingizia mambo mbalimbali bila ushahidi, kumemfanya ushawishi wake ushuke na kuonekana ni kama uzushi na uongo wa kutunga dhidi ya wenye nguvu zaidi yake ndani ya chadema.

Lisu anaingia katika historia ya wanasiasa nchini waliopoteza umaarufu, ushawishi na mvuto wa kisiasa kwa kasi mno, sababu kuu zikiwa ni pamoja na papara, tamaa na uchu wa madaraka, kukosa utulivu, hekima, busara na upendo miongni mwa viongozi wenzake waandamizi ndani ya chadema.

Ni vigumu sana kuaminika kwa wananchi ikiwa unahubiri, chuki, migawanyiko na ubaya dhidi ya wanaokubalika zaidi yako ndani ya chama, unawasema na kuwasingizia wengine mambo mabaya eti kusudi wewe uonekane wa maana na msafi zaidi ya pamba, kumbe ni mnafiki tu ulierubuniwa kifikra na fedha na mabwenyenye ya magharibi.

Kibaraka Utashindana Lakini Hautashinda 🐒

Mungu Ibarki Tanzania.
Tunajua 10,000 imeingia kwa uzi huu.
 
Sawa Ila siasa zako na maandiko yako yakutambulisha hivyo
Gentleman,
ukifika ukomo wa fikra mpya na mawazo mbadala bora zaidi ya hoja you just relax, watch and learn itakusaiadia sana kuongeza ufahamu na uelewa wa mambo mbalimbali humu jukwaani na itapendeza zaidi

but the gentleman is pure puppet 🐒
 
Tundu Lissu na Mbowe wananyima sanaa watu usingizi!
Mtu yupo anakula zake Siku kuu na familia lakini kuna mwanaume anamuwaza.
 
Gentleman,
ukifika ukomo wa fikra mpya na mawazo mbadala bora zaidi ya hoja you just relax, watch and learn itakusaiadia sana kuongeza ufahamu na uelewa wa mambo mbalimbali humu jukwaani na itapendeza zaidi

but the gentleman is pure puppet 🐒
Weka ushahidi PUPPET ni wale wanauza Bandari hao ndo Puppets
 
Tunajua 10,000 imeingia kwa uzi huu.
Gentleman,
kile kidogo natozwa mimi na wewe kama waTanzania, kinaniwezesha kwa sehemu kubwa kujitolea kuwafanyia kazi vizuri na kwa weledi sana waTanzania wenzangu,

hata hivyo,
nafurahi kubadishana mawazo humu jukwaani, licha ya makasiriko na mihemko yenu.

Ni kwa Neema na Baraka za Mungu haya yote yanawezekana na si vinginevyo 🐒
 
Weka ushahidi PUPPET ni wale wanauza Bandari hao ndo Puppets
Relax my friend,
tutafanya hiyo kwenye uzi mwingine mahususi kwa wakati muafaka,

kwa sasa twende na dhana hiyo lakini kwa kuzingatia hoja mahususi mezani dhidi ya kushuka kwa umaarufu wa puppet ambae mpaka leo ameshindwa kabisa kuwasilisha ushahidi wa tuhuma za rushwa anazowatuhumu viongozi waandamizi wenzake ndani ya chama chake mwenyewe.

Ni wazi,
hilo nalo ni moja kati ya mambo yaliyofanya umaarufu wa huyo kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kushuka kwa kasi mno nchini 🐒
 
Tundu Lissu na Mbowe wananyima sanaa watu usingizi!
Mtu yupo anakula zake Siku kuu na familia lakini kuna mwanaume anamuwaza.
Itakua una stress gentleman, yaani hulali na huna usingizi?🤣.


au madeni ya kausha damu yamekuzonga sana?

Kwahiyo umekuja JF kusherehekea sikukuu ukakutana na jiwe la utosi?🤣

Pole gentleman,
but umaarufu wa puppet umeshuka ghafla sana aise 🐒
 
Muungwana haaminiki tena,
Idadi ya waliokua wakifuatilia siasa zake imeshuka na hakuna mtu anae mtilia maanani tena.
Wanampuuza tu na kumuona kama mtu mwenye chuki moyoni alizokua nazo tangu siku nyingi dhidi ya viongoz wenzake Chadema. Ameonekana ni kama mtu manafiki mwenye makusudi ya kuficha ushauri na kuombea mambo yaende kombo kwa viongozi wengine.

Kukosekana kwa utulivu, hekima na busara katika mambo anayoyaibua na watu anao watuhumu na kuwasingizia mambo mbalimbali bila ushahidi, kumemfanya ushawishi wake ushuke na kuonekana ni kama uzushi na uongo wa kutunga dhidi ya wenye nguvu zaidi yake ndani ya chadema.

Lisu anaingia katika historia ya wanasiasa nchini waliopoteza umaarufu, ushawishi na mvuto wa kisiasa kwa kasi mno, sababu kuu zikiwa ni pamoja na papara, tamaa na uchu wa madaraka, kukosa utulivu, hekima, busara na upendo miongni mwa viongozi wenzake waandamizi ndani ya chadema.

Ni vigumu sana kuaminika kwa wananchi ikiwa unahubiri, chuki, migawanyiko na ubaya dhidi ya wanaokubalika zaidi yako ndani ya chama, unawasema na kuwasingizia wengine mambo mabaya eti kusudi wewe uonekane wa maana na msafi zaidi ya pamba, kumbe ni mnafiki tu ulierubuniwa kifikra na fedha na mabwenyenye ya magharibi.

Kibaraka Utashindana Lakini Hautashinda 🐒

Mungu Ibarki Tanzania.
Chief Ongeza nguvu bado sana
 
Back
Top Bottom