Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muungwana haaminiki tena,
Idadi ya waliokua wakifuatilia siasa zake imeshuka na hakuna mtu anae mtilia maanani tena.
Wanampuuza tu na kumuona kama mtu mwenye chuki moyoni alizokua nazo tangu siku nyingi dhidi ya viongoz wenzake Chadema. Ameonekana ni kama mtu manafiki mwenye makusudi ya kuficha ushauri na kuombea mambo yaende kombo kwa viongozi wengine.
Kukosekana kwa utulivu, hekima na busara katika mambo anayoyaibua na watu anao watuhumu na kuwasingizia mambo mbalimbali bila ushahidi, kumemfanya ushawishi wake ushuke na kuonekana ni kama uzushi na uongo wa kutunga dhidi ya wenye nguvu zaidi yake ndani ya chadema.
Lisu anaingia katika historia ya wanasiasa nchini waliopoteza umaarufu, ushawishi na mvuto wa kisiasa kwa kasi mno, sababu kuu zikiwa ni pamoja na papara, tamaa na uchu wa madaraka, kukosa utulivu, hekima, busara na upendo miongni mwa viongozi wenzake waandamizi ndani ya chadema.
Ni vigumu sana kuaminika kwa wananchi ikiwa unahubiri, chuki, migawanyiko na ubaya dhidi ya wanaokubalika zaidi yako ndani ya chama, unawasema na kuwasingizia wengine mambo mabaya eti kusudi wewe uonekane wa maana na msafi zaidi ya pamba, kumbe ni mnafiki tu ulierubuniwa kifikra na fedha na mabwenyenye ya magharibi.
Kibaraka Utashindana Lakini Hautashinda 🐒
Mungu Ibarki Tanzania.
sasa muerevu ,Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo mno hata jinsi ya kujenga hoja mbele za watu ni finyu sanaa...Una safari ndefu Sana ya kuelimika
wanaompuuza Lisu ni wanachama wa Chadema, hususani wajumbe wa mkutano mkuu Taifa ambao ndio haswa wapiga kura kumchagua mwenyekiti wa Chadema Taifa January 22, 2025.Nani kampuuza wewe? Kila siku unaanzisha nyuzi kila baada ya lisaa ndio kumpuuza? Hapa tu umeamka kabla hata ya kupiga mswaki tayari una uzi wa simba? Waliompuuza ni kina nani weka list tuconfirm, vinginevyo unaendelea kuyaoga tu boss!
Hhahaha labda yeriko tuwanaompuuza Lisu ni wanachama wa Chadema, hususani wajumbe wa mkutano mkuu Taifa ambao ndio haswa wapiga kura kumchagua mwenyekiti wa Chadema Taifa January 22, 2025.
wengine wanadai hana mipango ispokua ana makasiriko na chuki tu dhidi ya viongozi waandamizi wenzake wa Chadema.
walikosea kumuamini awali 🐒
kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi mpaka kufikia January 25, 2025 atakua hana cheo wala nafasi yoyote ya uongozi Chadema,Wakina Abdul na Mbowe Wana safari kubwa mno Sababu plan zao zipo nje ya mda na uhalisia
Hii tune ilishakosa mvuto na alienda nayo mwendazake akazikwa nayo, mabwanyenye ndo hao wanalipia budget support kwa mama pia kule wana jina linginekibaraka wa mabwenyenye ya magharibi mpaka kufikia January 25, 2025 atakua hana cheo wala nafasi yoyote ya uongozi Chadema,
hiyo itaashiria giza totoro Oct 2025🐒
Hao mabwenyenye ndo wanayo ikopesha serikali ya matapeli. This ukweli na haki vitaongea.kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi mpaka kufikia January 25, 2025 atakua hana cheo wala nafasi yoyote ya uongozi Chadema,
hiyo itaashiria giza totoro Oct 2025🐒
Lakini hawafadhili mtu moja kuja kuvuruga amani, umoja na mshikamano miongoni mwa waTanzania kama alivyo kwa huyu puppet wao 🐒Hii tune ilishakosa mvuto na alienda nayo mwendazake akazikwa nayo, mabwanyenye ndo hao wanalipia budget support kwa mama pia kule wana jina lingine
Hahaha mkuu jibu hoja zake achana na vitu vya kufikirika, unajiita mbobevu na msomi wa siasa prove basi usomi wako kwa vitu tangible na vyenye reference au proof, unaweza kumtaja bwanyeye mmoja anayemfadhili na ni kiasi gani na alimpa lini na kwa malengo gani? Otherwise this is a piece of shit kama magazeti ya mwashamba na wengine ya kujaza server za bure za jf!Lakini hawafadhili mtu moja kuja kuvuruga amani, umoja na mshikamano miongoni mwa waTanzania kama alivyo kwa huyu puppet wao 🐒
Ccm mapumbavu mlishapuuzwa Hadi na watoto kama alivyopuuzwa mamayenu ombaomba Kwa mabeberu 🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛.Muungwana haaminiki tena,
Idadi ya waliokua wakifuatilia siasa zake imeshuka na hakuna mtu anae mtilia maanani tena.
Wanampuuza tu na kumuona kama mtu mwenye chuki moyoni alizokua nazo tangu siku nyingi dhidi ya viongoz wenzake Chadema. Ameonekana ni kama mtu manafiki mwenye makusudi ya kuficha ushauri na kuombea mambo yaende kombo kwa viongozi wengine.
Kukosekana kwa utulivu, hekima na busara katika mambo anayoyaibua na watu anao watuhumu na kuwasingizia mambo mbalimbali bila ushahidi, kumemfanya ushawishi wake ushuke na kuonekana ni kama uzushi na uongo wa kutunga dhidi ya wenye nguvu zaidi yake ndani ya chadema.
Lisu anaingia katika historia ya wanasiasa nchini waliopoteza umaarufu, ushawishi na mvuto wa kisiasa kwa kasi mno, sababu kuu zikiwa ni pamoja na papara, tamaa na uchu wa madaraka, kukosa utulivu, hekima, busara na upendo miongni mwa viongozi wenzake waandamizi ndani ya chadema.
Ni vigumu sana kuaminika kwa wananchi ikiwa unahubiri, chuki, migawanyiko na ubaya dhidi ya wanaokubalika zaidi yako ndani ya chama, unawasema na kuwasingizia wengine mambo mabaya eti kusudi wewe uonekane wa maana na msafi zaidi ya pamba, kumbe ni mnafiki tu ulierubuniwa kifikra na fedha na mabwenyenye ya magharibi.
Kibaraka Utashindana Lakini Hautashinda 🐒
Mungu Ibarki Tanzania.
Kondom ya ombaomba Kwa mabeberu kila siku safari🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛.Gentleman,
kile kidogo natozwa mimi na wewe kama waTanzania, kinaniwezesha kwa sehemu kubwa kujitolea kuwafanyia kazi vizuri na kwa weledi sana waTanzania wenzangu,
hata hivyo,
nafurahi kubadishana mawazo humu jukwaani, licha ya makasiriko na mihemko yenu.
Ni kwa Neema na Baraka za Mungu haya yote yanawezekana na si vinginevyo 🐒
unababaika nini sasa na sijui umekurupuka kutoka wapi, huku ukimnanga kiaina kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi ambae pia ni ombaomba kuchangiwa mashuhuri humu nchini 🐒Ccm mapumbavu mlishapuuzwa Hadi na watoto kama alivyopuuzwa mamayenu ombaomba Kwa mabeberu 🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛.
Yu Nah kitu!so,
wamemkopesha huyo muungwana pekeyake kuja kuivuruga Chadema na pengine badae Tanzania, right?🤣