Tetesi: Tundu Lissu amefanya kazi kubwa huko Ulaya, Mdee na wenzake wakalia kuti kavu Chadema kupeleka orodha mpya NEC ili tuendelee kufaidika!

Sijaelewa Kuna uhusiano gani kati ya tundu kukaa ulaya na chadema kupeleka orodha ya viti maalum?
Anaandika 2in1 story kama zile ziandikwazo na udaku medias habari mbili kwa mpigo, yaani heading na body havina uhusiano.

Uhandishi huu ni kwa ajili ya magazine na social media za udaku ili kuvutia wasomaji, ukifungua tu umeliwa na jamaa anakuwa kapata dollars zake 🀣, bahati mbaya JF hakuna malipo πŸ˜‚.
 
Endelea kukariri.

Wewe unaamini kweli Mbowe na makomandoo hawajala kwa miezi 5?

Siasa ni zaidi ya kuchagua na kuchaguliwa meku!
 

Nilitaka kushangaa nyie si mlisema uchaguzi haukuwa huru so hamtaki zile nafasi

Kumbe ni because wake zenu na madem wa viongozi hawakuwepo so now ndio mmeamka usingizini
 
Chadema walisema ule uchaguzi hawautambui, sasa wewe umeamka na hangover ya bia za jana unatupoteza tu.
Hakuna uadui, Wala kuzira kwa kudumu katika SII hasaπŸ‹οΈ
 
Nilitaka kushangaa nyie si mlisema uchaguzi haukuwa huru so hamtaki zile nafasi

Kumbe ni because wake zenu na madem wa viongozi hawakuwepo so now ndio mmeamka usingizini
Haukuwa huru ndio
 
Nilitaka kushangaa nyie si mlisema uchaguzi haukuwa huru so hamtaki zile nafasi

Kumbe ni because wake zenu na madem wa viongozi hawakuwepo so now ndio mmeamka usingizini
Hii iko kimataifa zaidi.

Hata akina Halima ni mademu wa watu vile vile na ndio maana vimewekwa viti maalumu!
 
Hii iko kimataifa zaidi.

Hata akina Halima ni mademu wa watu vile vile na ndio maana vimewekwa viti maalumu!

Hao EU si ndio walisema kwenye Bunge Lao mbowe atoke. ? Huyo mbowe Yuko wapi now?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…