Tetesi: Tundu Lissu amefanya kazi kubwa huko Ulaya, Mdee na wenzake wakalia kuti kavu Chadema kupeleka orodha mpya NEC ili tuendelee kufaidika!

Tetesi: Tundu Lissu amefanya kazi kubwa huko Ulaya, Mdee na wenzake wakalia kuti kavu Chadema kupeleka orodha mpya NEC ili tuendelee kufaidika!

Chadema walisema ule uchaguzi hawautambui, sasa wewe umeamka na hangover ya bia za jana unatupoteza tu.
CDM itashindwaje kutambua uchaguzi ambao ilishiriki pia? Kituo ambacho hawatambui ni matokeo ya uchaguzi ule.
 
Mdee na wenzie watadunda bungeni mpaka 2025 kwa sababu viongozi wa CHADEMA kwa sababu wanazozijua wao, wamegoma/wanaogopa kuitisha baraza kuu
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Utaelewa baadae.

Tatizo mmejikita kwenye siasa za matopeni mnasahau kuwa Wanaoendesha dunia wako huko aliko Tundu Lisu.

Kama unabisha waulize DRC.

..na fedha walizotafuna kina Mdee zitarudishwa?

..sidhani kina Halima watatoka kwasababu waliowapeleka bungeni ni watu wa ccm na serikali.
 
Inawezekana John Baptist ana maanisha kutakua na maridhiano ya kitaifa, Mbowe anaachiwa, CHADEMA wamtambue Mazaa! Hapo ndo lije suala la wabunge 19! Maoni yangu, kama kutakua maridhiano ya kitaifa, hata ndani ya CHADEMA, yawepo!
CCM iridhiane na Polepole, achana na CDM.
 
Inasemekana kuchelewa kurejea nchini kwa makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu kulipangwa kimkakati zaidi ili aendelee kuwasiliana na wafadhili wa Ulaya akiwa karibu nao.

Kazi yake inasemekana imezaa matunda kwa 65% na kwa kuanzia Chadema itapeleka wabunge halali 19 wakaungane na yule mmoja wa Nkasi.

Mengine yatawajia.

Hii ni pati gazeti.

Mrangi unakumbuka Drive in Cenema!
Ungetulia ungeandika kitu cha kueleweka. Unafukuzwa na upepo?
 
T
Tunataka kuona mabadiliko kuelekea kwenye uchaguzi wa 2025 kwa hii tume ya ccm kuondoka na kuwekwa tume huru itakayoridhiwa na wadau wote bila ya hilo kutokea basi Chadema wajitoe kwenye uchaguzi ili ccm washiriki na vyama vyao pandikizi.

Pia sheria zile za kipumbavu za kuwaengua wagombea wa vyama vya upinzani zifutwe mara moja.

Tume huru ya uchaguzi iajiri watendaji wake baada ya "intensive and extensive vetting" na kwa ajira ya mkataba na wasiwe kabisa watumishi wa serikali.

Watu wa Tiss wadhibitiwe wasiisogelee hiyo tume maanake wenyewe ni taasisi inayotumiwa na ccm kuendelea kung'ang'ania madarakani.
TISS wadhibitiwe?
Kamulize mzee wa Kaperanaumu alivyokuwa anajigamba ndani ya joho.Leo yuko wapi.
 
Hii inaitwa prophecy ya karne
Inawezekana maana ndio imezaa hili
IMG-20220216-WA0021.jpg
 
Inasemekana kuchelewa kurejea nchini kwa makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu kulipangwa kimkakati zaidi ili aendelee kuwasiliana na wafadhili wa Ulaya akiwa karibu nao.

Kazi yake inasemekana imezaa matunda kwa 65% na kwa kuanzia Chadema itapeleka wabunge halali 19 wakaungane na yule mmoja wa Nkasi.

Mengine yatawajia.

Hii ni pati gazeti.

Mrangi unakumbuka Drive in Cenema!
Ahaàa ni kweri kwa mtazamo wako na ni wazo binafsi
 
Back
Top Bottom