Viewers wengi wa seduce me ni funs wa mange kimange,......... Nadhan bila mange hiyo nyimbo ingeishia magomeni tuUmeangalia tofauti ya views lkn? Naona gape lipo vile vile tu.
Hiyo ni screenshot imepostiwa instaFake account halafu huyo mwenyewe mwenye hiyo account ni zuzu+, account name @Tundulissu, aliyecoment @Tundulissutz kisha anajidefend kwa kusema sina account Twitter wala Facebook na wakati huohuo katumia account ya Twitter kureply.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fake account halafu huyo mwenyewe mwenye hiyo account ni zuzu+, account name @Tundulissu, aliyecoment @Tundulissutz kisha anajidefend kwa kusema sina account Twitter wala Facebook na wakati huohuo katumia account ya Twitter kureply.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lilipo hapo ni ule msemo wa wahenga una apply yaani "maskini akipata, m..t...ko hulia mbwata (hata anaeongoza darasani kuna masomo mengine hakuongoza ila walichukua wastani akaibuka kidedea)Umeangalia tofauti ya views lkn? Naona gape lipo vile vile tu.
Yeye anasema hana account twitter wala facebook.. inamaana hata aliyekanusha siyo LissuHii ndio tweet iliyozua kizazaa mtandaoni kiasi cha mheshimiwa Lissu kuweka hadharani kuwa hio account iliyotumika sio ya kwake
View attachment 577465
Hii ndio tweet ya Lissu kukanusha uzushi wa kumshabikia kiba
View attachment 577466
Cha ajabu hiyo account anayoikataa leo ndiyo ambayo mpaka waheshimiwa wenzake wa CDM wanaijua kuwa ndiyo yakeKwakweli hata mimi nashindwa kumuelewa..maana siku moja alitumia account ya Twitter kuikana mojawapo ya account iliyojifanya kama yake..
Leo ile iliyotumika kuikana mojawapo, na yenyewe imekanwa na ya huko instagram..
Kiongozi mkubwa kama Lissu kushindwa kuverify accounts zake katika mitandao ya kijamii ni jambo la kushangaza mno!!
Sure mi nlipo ni zilipendwa huku kiba anakimbiza kwa mangeNamanisha ndo wimbo unaosikika sana kitaani kuliko huu wimbo uliofanyiwa kampeni na mange.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri hata wenzake watakuwa wanamshangaa!Cha ajabu hiyo account anayoikataa leo ndiyo ambayo mpaka waheshimiwa wenzake wa CDM wanaijua kuwa ndiyo yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Lkn bado tofauti inazidi tu mpaka sasa,maana sasa hivi imeshafika kwenye laki 8! Tuthibitishie kuwa viewers wengi ni funs wa mange?Viewers wengi wa seduce me ni funs wa mange kimange,......... Nadhan bila mange hiyo nyimbo ingeishia magomeni tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijamuelewa hapa aliposema kuwa hana account yeyote Facebook au tweeter na wakati huo ametumia tweeter kujibu tuhumaHii ndio tweet iliyozua kizazaa mtandaoni kiasi cha mheshimiwa Lissu kuweka hadharani kuwa hio account iliyotumika sio ya kwake
View attachment 577465
Hii ndio tweet ya Lissu kukanusha uzushi wa kumshabikia kiba
View attachment 577466
MASIKINI haters TEAM KIBA....TEAM MANGE ..... mnatapa tapa sana.... SIMBA hamumuwezi.... I was in NIGERIA recently...Population ya kule ni 5 times ya bongo na jamaa huko pia ana base fulani....Hii ndio tweet iliyozua kizazaa mtandaoni kiasi cha mheshimiwa Lissu kuweka hadharani kuwa hio account iliyotumika sio ya kwake
View attachment 577465
Hii ndio tweet ya Lissu kukanusha uzushi wa kumshabikia kiba
View attachment 577466