Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amekutana na Waandishi wa habari kuelezea mwenendo wa kampeni. Asema Jaribio la kuvuruga Uchaguzi litasababisha watu wapelekwe 'The Hague'


Hata taasisi za kimamlaka hapa nchini zinatumika na ccm kunyima haki.
 
Huyu jamaa na the hague yake bana.. Ndo sawa na wale watoto anakishajua hana haki ya kupata anachokitaka anaanza kujiliza ili mkubwa uliepo umuonee huruma usimamie apewe anachokitaka.. Lissu mbona vitisho vimekuwa vingi sana! Tulia upigwe spana dadek, utajuta kilichokuingiza kwenye huu mchakato
 
Katika orodha hiyo Lissu ni nambari wani
 
Sio kwa kura, hilo daftari la wapiga kura mmelichezea ili mpate ushindi wa wizi mmechemsha. Halafu Zec bila aibu wanasema eti watu hawajaenda kuhakiki taarifa!
 
Hi ni muhimu Sana ili wananchi na wapiga kura kwa ujumla wasipandwe kichwani na NECcm, policcm, nk
 
Dalili za mvua kwa yanayoendelea Mafeni amegoma kurudi kwao anataka kwenda the Hague nasi hatuna Cha kupingana na maamuzi yake maana asiyefunzwa na mama dunia bado haijawahi acha kufunza
 
Wewe kwa akili yako, Magufuli anaweza kusimama The Hague akajitetea kama akitakiwa hivyo mana kuongea point tu kwa kiswahili hawezi sembuse kule.

Kinuke tu!
Wewe ukipelekwa huko unaweza kujitetea? Very stupid..why should Magufuli be sent to The Hague and Not Lissu ? Stupid...Do you think by pointing out that Tanzanians will waver..? We are tired of this nonsense
 
Hakuna kipindi chama chakavu kimekamatika Kama this time tuliwaambia wekezeni kwenye mioyo ya watz mkatudharau mkawekeza kwenye dola badala ya watu. Tumieni hata paundi na euro kabisa lkn hamuwezi tena kuokolewa nazo. Haijawahi tokea mgombea wa ccm kuacha kwenda kusini kuomba kura ndo mjue kusini hawana chao.
Gharama za kuiba kura ni kubwa mno kuliko Kama mngewekeza kwenye kuboresha maisha ya watz. Mlisomesha watz namba why hamtaki kuzisoma kura zao?
 
True huu mwaka hatuna mchezo na uchaguzi
Mbinu zote tegemezi za wizi zimebuma,vituo hewa majina hewa zimebuma mapolisi wamehaha kusaka center za kudakia matokeo halisi ya upinzani wamebuma mara wamkamate mdee, mara Heche, mara lema, mara matiko hovyo kabisa, yameambulia patupu.
Eti yamelimit sms wakati njia za mawasiliano zipo zaidi ya mia Hawa ni zero kabisa na mbinu zao za stone age
 
Sirro at ajiuzulu kabla ya matokeo ya uchaguzi kutoka
Mbona Magufuli Kawa Rais na amedhihirisha kama urais tu hata binti wa chekechea anaweza kuwa Rais na mambo yakaenda
 
Lissu nae pumbavu tuu kila siku the Hague, ICC, Amsterdam! Hili jitu tumwa la mawazo linawaza kitumwa tumwa kila siku. Lunaabudu wazungu badala ya kuwaza utanzania na nchi yetu linawaza ulaya tuu.
Na hiyo Dec 18 aliyosema anaenda ubelgiji ifike aende zake haraka pumbafff.
 
Utoto huo, au siyo riziki?
Uchaguzi utashindwa vibaya, ukileta fujo unachapwa na machizi wenzako
Tanzania ukipata Uhuru 1961!
 
Hakuna maafa yeyote yatatokea hapa nchini kwenye huu uchaguzi!

Lisu atapigwa mbela na nyuma kisha anarudi zake ubelgiji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…