Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amekutana na Waandishi wa habari kuelezea mwenendo wa kampeni. Asema Jaribio la kuvuruga Uchaguzi litasababisha watu wapelekwe 'The Hague'

inaitwa kuruka kimanga!
 
Hahaha Kenge ameshanza kutoa dam masikioni Kwisha habari yako Tundu. Ameongopa pakubwa kuhusu idadi ya mikutano mwongo Sana kijana huyu, eti amefanya mikutano mingi zaidi ya waliofanya Majaliwa Samia na Magufuli big layer.
 
Fatu Bensuda mwendesha mashtaka wa the Haggue ni mzungu?yamkini wewe Doto James Acha umbumbu basi?Kuwa na wakili mzungu hata Nyerere alikuwa na wakili mzungu.Ni wewe tu na Jiwe ndio mnaogopa wazungu maana lugha haipandi!
 
Mkuu Dada yangu mrembo beth , Uchaguzi unaendeshwa na Tume yetu huru ya Uchaguzi, NEC, Rais wa JMT ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu, ametoa hakikisho la uchaguzi utakuwa huru na wa haki, haya mambo ya kutishiana 'The Hague' ya nini?, haya sio mambo!..
Mchakato wa uchaguzi huru na haki tayari umesha vurugwa na NEC pamoja na vyombo vya dola. Kilichobaki ni Mungu saidia.
 
uzuri wa TAL anakubalika ndani ya nchi na nje ya nchi...siyo huyo mzee hata kwenye famila yake ya dam unaona kabisa kuna mushkeli wa kukubalika. Mama mwenye nyumba anaonekana suspecious kila wakati haamini huyu jamaa kupewa nafas kubwa kama urais wa nchi
 
Fatu Bensuda mwendesha mashtaka wa the Haggue ni mzungu?yamkini wewe Doto James Acha umbumbu basi?Kuwa na wakili mzungu hata Nyerere alikuwa na wakili mzungu.Ni wewe tu na Jiwe ndio mnaogopa wazungu maana lugha haipandi!
Tayari ICC The Hague wameandaa majarada ya Polisiccm na NECCCM Tumeccm wote walioshiriki uonevu na kuhatarisha Amani
 
Kama mtu mpenda visasi muonevu mnyanyasaji mpenda kuwabambikia kesi kesi watu kama mtukufu magufuli kaweza kuwa Rais sembuse mpenda haki kama Lisu?
 
Hahaha Kenge ameshanza kutoa dam masikioni Kwisha habari yako Tundu. Ameongopa pakubwa kuhusu idadi ya mikutano mwongo Sana kijana huyu, eti amefanya mikutano mingi zaidi ya waliofanya Majaliwa Samia na Magufuli big layer.
Wewe ndiyo muongo unajishebedua kisa unavizia uteuzi
 
Inasikitisha sana. Tumekuwa taifa la Kimafia. Kura za walala hoi haziheshimiki
 
bless up
 
Ni kweli CCM bila wasanii na hasa Diamond hakuna watu watajaa kwenye mkutano wa CCM
Acha uongo ndugu. Wananchi wengi wanaojitokeza kwenye mikutano ya Rais Magufuli ni kutokana na yeye mwenyewe Raisi. Simba walileta msanii maarufu uwanja wa Taifa lakini walishindwa kujaza uwanja wa Taifa.

Kwataarifa yako Rais Magufuli amejizolea umarufu mkubwa Sana katika kipindi kifupi cha utawala wake. Kabla ya kampeni kuanza Magufuli alikuwa anajaza mikutano yake ya kiserikali.

Anapendwa Sana acheni kujidanganya ndugu zangu. 28/10/2020 mtaelewa nilichokiandika najua wengine mtabadilisha ID zenu kwa aibu.
 
Kajekudya ni mla makande tu kama wenzake. Hawa watu wanavyojikakamua humu huwezi amini kuwa ndio wanaoshindia na kulalia makande.
Uko sahihi mkuu. Mla Makande hasaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kauli ya mdomoni si utekelezaji. Unaweza kutamka neno lakini lisifanyiwe kazi. Tayari figusu imeshaanza kuwaapisha mawakala wa upinzani. Je huo ndo uchaguzi wa haki na huru?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…