Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amepewa uhuru uliopitiliza

Taja matusi angalau matatu tuu...
 
Kwa ujumla huu ni mfano wa baadhi ya watanzania walivyo na roho mbaya na ya kikatili, yaani hapa roho yake ingefurahi sana kama angesikia Lissu alivyotua airport kadakwa na kavunjwa mikono kama ilivyokuwa kwa akina Halima na Bulaya. Hajali kwamba sheria ina vunjwa wala nini, yeye angetamani hata kampeni Lissu apigwe mabomu au asweke lupango, hapo roho yake rahaaa, hata kama hapati chochote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…