Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Kuhusu kuendeea kusalia ndani ya Chama endapo atashndwa Uchaguzi Januari 21, 2025
"Nitakua Mwanachama, nitaendelea na mapambano kama Mwanachama (kwanini atabaki Chadema)...kwasababu najua mamilioni ya Wanachama na Wafuasi wa CHADEMA wanataka mabadiliko kwahiyo nitaendelea mapambano ndani ya Chama ahami mtu hapa labda kitokee kifo au kufukuzwa maana yake naona wanatoa (Mbowe) kauli kauli hivi kwamba ngoja tumalize, tukishinda tutamshughulikia, lakini kwamba mimi nitaenda CCM, mimi? "
Soma, Pia:
- Mbowe: Ilikuwa ghafla sana Lissu kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa
"Nitakua Mwanachama, nitaendelea na mapambano kama Mwanachama (kwanini atabaki Chadema)...kwasababu najua mamilioni ya Wanachama na Wafuasi wa CHADEMA wanataka mabadiliko kwahiyo nitaendelea mapambano ndani ya Chama ahami mtu hapa labda kitokee kifo au kufukuzwa maana yake naona wanatoa (Mbowe) kauli kauli hivi kwamba ngoja tumalize, tukishinda tutamshughulikia, lakini kwamba mimi nitaenda CCM, mimi? "
- Mbowe: Ilikuwa ghafla sana Lissu kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa