Hayo yote uliyo yataja yamefanywa na kodi za watanzania, hakuna kiongozi wa ccm aliye toa fedha zake mfukoni kuyafanya hayo.Kwa kuwa hujavaa magome ya miti, watoto wetu wanaenda shule pasipo kuwalipia ada, mama na dada zetu wanajifungua salama kwenye vituo cya afya vilivyo karibu, wananchi wanakwenda kwenye shughuli zao za kimaisha kupitia njia za usafiri zilizoimarishwa, nk, bila shaka ni hatua nzuri ya maendeleo.
Kwanza nasikitika hujajibu maswali yangu ila umekimbilia kuhamisha goli!!
Are sana!!
3. Lissu ana pambana na Magufuli ambaye ndo kiongozi wa nchi na serikali kwenye uchaguzi, ambayo mbaya zaidi kwa miaka 5ameongoza nchi kwa matamko yake akitaka kusifiwa binafsi kama Magufuli kajenga reli, bwawa la umeme, hospitali na mengineyo mengi!!
Sasa kuna shidag gani kama Lissu nae akimsema na kumkomalia magufuli binafsi???
Wakati Mkapa akiwaambia mseme serikali ya CCM Kwa nini hamkumsikiliza??? Nyie kila siku mkawa mnasema magufuli ndo amefanya???! Sasa shida iko wapi nae Lissu akimsema Magufuli tu???
Ni vizuri unatambua na kukiri kuwa kodi za watanzania zinatumika inavyopaswa. Hivyo basi, wa kudanganywa ni wale wasiojua kuwa mnaogopa kuhoji viongozi wa CHADEMA kuhusu matumizi ya Ruzuku, kodi ya wananchi.Hayo yote uliyo yataja yamefanywa na kodi za watanzania, hakuna kiongozi wa ccm aliye toa fedha zake mfukoni kuyafanya hayo.
Kawadanganye mazuzu wenzako
Hapo ndipo uongozi wa CHADEMA, nanyi wafuasi, msipojitambua kwa kumshamgmbulia Magufuli binafsi. Laiti mngejua yeye hafanyi yatokayo kichwani mwake bali anatekeleza Ilani ya CCM, 2015, vivyo hivyo, Lissu, mgombea wa CHADEMA, angerejea kueleza Ilani ya chama (kama ipo) imetekelezwa kwa kiwango gani.
Lissu, hapo alipo hana kipimo chochote cha uongozi, kama mtu binafsi wala kichama. Kibinafsi anatetea kupigwa kwake risasi, kichama hathubutu kueleza ruzuku imetumikaje ili wananchi wakiamini chama kupitia viongozu wake.
Shutuma na tuhuma za matumizi mabaya ya fedha za chama dhidi ya Mbowe, M/kiti bado ni mbichi kabisa, anapaswa kumsafisha kwanza, ili awe na uhalali wa kumshambulia Magufuli. Nafasi anayogombea inamtaka afanye hivyo, ili jamii iamini akipewa madaraka ya kuongoza nchi hii siyo tu atakemea ubadhirifu wa mali ya umma bali pia atachukua hatua kali dhidi ya wahusika.
Hakuna haki isiyo na wajibu au uhuru usio na mipaka, kama ilivyo kwenye Katiba ya JMT (1977), Ibara ya 30.-(1) Haki na uhuru wa binadamu ambavyo misingi yake imeorodheshwa katika Katiba hii havitatumiwa na mtu mmoja kwa maana ambayo itasababisha kuingiliwa kati au kukatizwa kwa haki na uhuru wa watu wengine au maslahi ya umma.
Machizi mmejazana lumumba hadi wengine wamejitangaza kabisa
Msaliti ni yule anayewabambikia kesi wapinzani kuwaziba midomo wasiongelee ujenzi wa cheto airport kafanya usaliti kachukua pesa za viwanda kwenda kujenga chato kutengeneza mbugaSielewi mnaongea ninyi bavichaa?
Kwamba Lisu keshamshinda Magufuli au?
Kwa akili yenu mlifiiri Magufuli atapoteza muda wake aje kujibishana na huyo msaliti?
Lisu na chadema wote nyie ni hopeless!
Lisu alifikiri akija kuna mtu atamsumbuasumbua kumkamata,
Baadae mkasema atakatwa,
Hakatwi mtu ila atakatwa na watz kwenye sanduku la kura.
Mwambieni tutamnyoa kiduku kile
Wewe mwenyewe ni msukukule upo uvunguni mwa cyprian Musiba unakesha ukivuta Bangi unawezaje kujua chochote?Ni bora hashimu mzee wa ubwabwa anaweza kuongoza nchi kuliko huyo msukule wenu
Wewe mwenyewe ni msukukule upo uvunguni mwa cyprian Musiba unakesha ukivuta Bangi unawezaje kujua chochote?
Matumizi ya Ruzuku ni mabaya kuliko ruzuku zote siku CAG akipita huko lazima CCM yote itayumba mpaka akina kinana, makamba na akina polepole watakwenda jelaDeni la Taifa limetumikaje, hilo ndilo liwe swali la msingi, kama ambavyo WaTz, wanachama na wafuasii wa CHADEMA wanavyotaka waelezwe kuhusu matumizi ya ruzuku.
Uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho? Kipimo cha umbumbumbu juha zuzu fala hapa jf huwa ni kuisengenya ID ya JF ambayo haitokani na ubatizo msikitini wala kanisani, mbona ID yako ni ya kishamba lakini hakuna wa kuhangaika nayo? Hapa hoja si ID au jina mtu, wapo wenye majina mazuri lakini hawana hoja na wapo wenye vimajina vya kingereza kama wewe lakini wana Akili zao siyo kama wewe mvuta Bangi.Kwel wewe ni monyooo tena ya nguruwe
Uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho? Kipimo cha umbumbumbu juha zuzu fala hapa jf huwa ni kuisengenya ID ya JF ambayo haitokani na ubatizo msikitini wala kanisani, mbona ID yako ni ya kishamba lakini hakuna wa kuhangaika nayo? Hapa hoja si ID au jina mtu, wapo wenye majina mazuri lakini hawana hoja na wapo wenye vimajina vya kingereza kama wewe lakini wana Akili zao siyo kama wewe mvuta Bangi.
Kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuwapora form wapinzani vinavyofanywa na CCM ndivyo vitaleta machafuko CCM wametumwa toka chato kuleta vurugu? CCM wakienda ulaya kuomba misaada huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa upumbavu wa CCM hukimbilia kuwaita wanaume wenzao mabeberu utazani CCM ni mbuzi jike.Mabeberu ni wiomtuma kuleta machafuko ili watumie nafasi hiyo kutawala nchi kiuchumi. Yeye anaamini bila hao nchi haiwezi kuendelea, lakini katika miaka 5 ya utawala wa Serikali iliyoko madarakani imethibitisha kwa vitendo maana ya kujitegemea.
Bangi zimkukolea nikiendelea kuhangaika nq mvuta Bangi msukule uliyepewa mimba huko gheto ni matumizi mabaya ya jukwaa la JF endelea kuvuta Bangi nakuacha mie najikita na Hoja.Povu limekutoka,wacha nikukereeeeee minyoo ,nakukeraaaaaa minyooòo ya nguruwe,sisi tuko amani telee maana ushindi wetu upende usipende ,wewe baki na msukule wako kibaraka wa mabeberu,hii nchi ataisikia kwa redio tu namna ya kuitawala ila sio yy kuchukua dola,NAKUKERAAAAAA WACHA NIMUKEREEEE MINYOO YA NGURUWE
Bangi zimkukolea nikiendelea kuhangaika nq mvuta Bangi msukule uliyepewa mimba huko gheto ni matumizi mabaya ya jukwaa la JF endelea kuvuta Bangi nakuacha mie najikita na Hoja.