Hiyo kazi ya utabiri wa nyota alikuwa nayo marehemu shehe yahyaTundu Lisu na viongozi wa Chadema wanajua kabisa uchaguzi huu wanakwenda kushindwa kwa aibu kubwa na ndiomaana viongozi wengi wa juu wa Chadema Dalili zote zinaonyesha wamesha kata tamaa.
Uzuri unajijua kila upande unaohamia lazima pashindwe. Sijui huonagi mbele wala hunusi uhalisia. Wee ushakuwa legend hivi vitu vya hovyohovyo waachie juniorsKwanini nyinyi mnao muogopa mh Lissu msiitwe ndiyo ma zombie?
Hakika mkuu, kama baba mwenye nyumba unawakimbia wageni ni aibu sanaHistoria itamkumbuka sana. Huyu mwamba kwa ujasiri alioonyesha naamin kabisa anaweza kupambana na mabeberu kwa vitendo sio Jiwe hata vikao vya international community anakimbia kisa tu hajiamini na hawezi kujieleza, wote tumemshuhudia miaka hii mitano akikimbia vikao vya kimataifa, matokeo yake nchi yetu imepoteza nguvu na ushawishi iliyokua nayo
Tundu Lissu ni mtu sahihi wa kuirudisha Tanzania kama nchi kiongozi.
Hiyo Marekani inayo wajazia bakuli lenu?Huyu ni kibaraka wa mabeberu, kaulize Angola , libya, Congo, etc jinsi vibaraka wenzake wa huko walivyoharibu nchi, Tundu lissu Kuna watu wa ulaya na marekani wapo nyuma yake kwa maslai yao na rasilimali zetu
Ujinga ni pale unapo muita mfadhili wako kisa kakukosoa unavyotumia msaada anao kupatia
Endelea kupuyangaHuna sifa ya kunishauri
Huyu ni kibaraka wa mabeberu, kaulize Angola , libya, Congo, etc jinsi vibaraka wenzake wa huko walivyoharibu nchi, Tundu lissu Kuna watu wa ulaya na marekani wapo nyuma yake kwa maslai yao na rasilimali zetu
Mataga kwa sasa mmebakia kutiana moyo wakati mgonjwa wenu yupo icu na gesi imekata. View attachment 1549260
Ongelea nafsi yako na wanachadema wenzio usijumuishe wote ni uropokaji huo,mtashika nafasi ya nneNdiye rais tayari maana watanzania wamesha amua kumchagua