LGE2024 Tundu Lissu amjibu Amos Makalla kutojiandikisha kwake "Nashangaa wanapewaje vyeo vikubwa na hawana uelewa"

LGE2024 Tundu Lissu amjibu Amos Makalla kutojiandikisha kwake "Nashangaa wanapewaje vyeo vikubwa na hawana uelewa"

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bara Tundu Lissu amezungumza sababu ambazo zimemfanya kutoshiriki kujiandikisha kupiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa huku akieleza kuwa kutojiandikisha kupiga kura hakumuondolei mtu yeyote kuzungumzia uchaguzi husika "Nashangaa ha watu wanapewaje vyeo vikubwa na hawana uelewa"

Pia, Soma: Amos Makalla: Tundu Lissu hana haki ya kupiga Kura katika nchi hii

Lissu ameyasema hayo akizungumza kutoka nchini Ubelgiji, kwenye kipindi cha Medani za Siasa cha kituo cha habari cha Star TV kinachoendeshwa na mtangazaji Edwin Odemba.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bara Tundu Lissu amezungumza sababu ambazo zimemfanya kutoshiriki kujiandikisha kupiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa huku akieleza kuwa kutojiandikisha kupiga kura hakumuondolei mtu yeyote kuzungumzia uchaguzi husika "Nashangaa ha watu wanapewaje vyeo vikubwa na hawana uelewa"

Pia, Soma: Amos Makalla: Tundu Lissu hana haki ya kupiga Kura katika nchi hii

Lissu ameyasema hayo akizungumza kutoka nchini Ubelgiji, kwenye kipindi cha Medani za Siasa cha kituo cha habari cha Star TV kinachoendeshwa na mtangazaji Edwin Odemba.
LISSU ANATETEA UJINGA WAKE YAANI HAJAJIANDIKISHA BADO ANAONA NI SAWA? BAADAE AJE ASEME AMEIBIWA KURA YAANI MPUMBAVU KATIKA UBORA WAKE WA KUTETEA UJINGA WAKE
 
Nampongeza Lissu kwa kutojiandikisha. Natumaini wafuasi wake nao hawajajiandikisha.
 
Mtu kama huyu eti bado ni makamu mwenyekiti wa chama chadema haiwezi chukua dola hujajiandikisha hupigi kura unategemea nini bado kuna misekure itajitokeza kumtetea!
Kwo nawewe unakipigania chama?? Hivi chama chenu kina watu wa aina Gani??
 
LISSU ANATETEA UJINGA WAKE YAANI HAJAJIANDIKISHA BADO ANAONA NI SAWA? BAADAE AJE ASEME AMEIBIWA KURA YAANI MPUMBAVU KATIKA UBORA WAKE WA KUTETEA UJINGA WAKE
Chuki zisikutoe akili, hivi wewe ni wa kumuita Lissu mpumbavu na mjinga?? Jiangalieee!
 
Hivi kulikuwa na sababu gani za msingi za kuikataa rulling ya mahakama kuu iliyosema si halali uchaguzi kusimamiwa na Tamisemi kwa sababu kuna mgongano wa kimaslahi kwani viongozi wa tamisemi ni wateule wa mwenyekiti wa chama cha siasa?Na ikapendekezwa uchaguzi wa serikali za mitaa usimamiwe na tume huru ya uchaguzi kwa bahati mbaya kuna watu wakakwamisha hiyo sheria kutungwa na kanuni zake
 
Hivi kulikuwa na sababu gani za msingi za kuikataa rulling ya mahakama kuu iliyosema si halali uchaguzi kusimamiwa na Tamisemi kwa sababu kuna mgongano wa kimaslahi kwani viongozi wa tamisemi ni wateule wa mwenyekiti wa chama cha siasa?Na ikapendekezwa uchaguzi wa serikali za mitaa usimamiwe na tume huru ya uchaguzi kwa bahati mbaya kuna watu wakakwamisha hiyo sheria kutungwa na kanuni zake
Maccm ni mashetani makubwa sana!
 
Amos Makalla kila akishika kipaza sauti sera yake ni Tundu Lissu tu.
MAkala ni mtu mwenye akili na upeo mdogo sana. Haelewi afanye na aseme nini, kila mara kitu pekee anachokumbukani Tundu Lisu.

CCM inapendwa na kuungwa mkono zaidi na watu wajinga, ndiyo maana CCM ikawatafutia Makala awasemee wajinga.
 
Back
Top Bottom