Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amjibu Magufuli: Kama kweli anampenda aseme wakina nani walimpiga risasi, na kwanini alimnyima pesa ya matibabu

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amjibu Magufuli: Kama kweli anampenda aseme wakina nani walimpiga risasi, na kwanini alimnyima pesa ya matibabu

Ndo tukutane Sasa barabarani, kwani unafikiri Gadaffi, Al Bashiru, Blaise Compaoure na Idi Amin hawakuwa na watu wa kuingia barabarani kuwapambania? Mwisho wa siku Upande wa Haki hushinda, hakuna Jeshi duniani wala bunduki iliyowahi kushinda Nguvu ya Umma Mzee tulia
Uzuri Ni kwamba, hatujawahi kusubiri mambo yafike huko 😂, kazi yetu Ni kuchambua kimykmy kima mmojammoja anaejipendekeza.CCM itatoka Ila sio kwa huu upuuzi wenu wa kitoto
 
Lissu nae asitake kufanya tukio lake la kupigwa risasi za plastics kuwa la kitaifa. Risasi ndo imekuwa risasi kwani yeye ndo Mtu wa kwanza dunian kula shaba.

Wapo kina jf Kennedy na kina linkolin walikula za Moto kweli Achana na maigizo haya ya mkenya lakini mbona siyo mijadala ya taifa la USA japo walipigwa risasi wakiwa madarakani.

Nilitegemea Tundu Lissu kumpuuza Magufuli kwa kile alichomusemea Ila kitu uvumilivu kwa TL ndo hakuna kabisa.
 
Tatizo la mgombea wa CCM hana sera wala hoja nzito za kuweza kuwavutia wananchi, siku zote yeye huongea mambo rahisi rahisi tu ambayo yanaonekana ni yenye tija kwa watu wenye akili duni na upofu wa kufikiria. Viongozi makini duniani huwa hazungumzii vitu vyepesi ktk nyakati za kampeni za uraisi, bali hushusha nondo zilizojaa madini tupu.

Haya ndiyo mapungufu ya kiongozi wa nchi kukwepa kuongea ama kushauriana na viongozi wengine mashuhuri hapa duniani kwa kificho cha kubana matumizi. Kwa kuwa anajikuta hawezi kuongelea mambo muhimu yenye kugusa maslahi mapana ya Watanzania wenye fikra pana.
JPM yuko vizuri kulingana na wananchi anaotawala. Hii ni kwa asilimia kubwa.
 
Uzuri Ni kwamba, hatujawahi kusubiri mambo yafike huko 😂, kazi yetu Ni kuchambua kimykmy kima mmojammoja anaejipendekeza.CCM itatoka Ila sio kwa huu upuuzi wenu wa kitoto
Anhaa, kumbe wauaji wakubwa nyie, nilitaka ufike mahali ukiri

Mmeua watu kwa Miaka 5 mnafikiri you Can carry that on,eh? Ueni sasa tuone
 
“Kwakuwa amesema ananipenda kama alivyodai akiwa Ikungi, Singida aseme ni akina nani walionipiga risasi 16,

Kwakuwa ananipenda aseme ni kwanini alininyima pesa za matibabu baada ya kupigwa risasi.." Mhe. @TunduALissu...
Taratibu za fedha za serekali. Kulipwa ni taratibu aukufutwa. Nani aliyekuwa Rufaa. Je? Kiongozi wako aliandika barua kueipoti kutumia kwake? Kosa ni la Mh Mbowe
 
Lissu atauza nchi kwa mabeberu, hata ningewekewa yeye na Mbuzi kura yangu ningempa Mbuzi.
 
TUNDU LISSU AMJIBU #MAGUFULI

“Wanaopewa vikazi vidogo vidogo ni wale wanaookotwa majalalani"

✓Kwakuwa ananipenda kama alivyodai akiwa Ikungi, aseme ni akina nani walionipiga risasi 16...
Swali gumu sana hadi kiama hilo mccm yeyeto kulijibu
 
Meko amejikoroga sana kuongea vile na wanasngda!
Bila shaka hayo majibu (ambayo ni maswali pia) aliyotoa TAL alikuwa anatafuta mahali na muda wa kuyatoa, sasa meko kajichanganya huko na TAL akapiga nyundo! Sidhani kama ataweza kuyajibu na kueleweka zaidi mataga na chakubanga wanadesa tu huko na kubwabwaja bwabwaja hovyo!!
 
Lissu nae asitake kufanya tukio lake la kupigwa risasi za plastics kuwa la kitaifa. Risasi ndo imekuwa risasi kwani yeye ndo Mtu wa kwanza dunian kula shaba.

Wapo kina jf Kennedy na kina linkolin walikula za Moto kweli Achana na maigizo haya ya mkenya lakini mbona siyo mijadala ya taifa la USA japo walipigwa risasi wakiwa madarakani..

Nilitegemea Tundu Lissu kumpuuza Magufuli kwa kile alichomusemea Ila kitu uvumilivu kwa TL ndo hakuna kabisa.
Ukimjeruhi mbogo usitegemee amani
 
Lissu nae asitake kufanya tukio lake la kupigwa risasi za plastics kuwa la kitaifa. Risasi ndo imekuwa risasi kwani yeye ndo Mtu wa kwanza dunian kula shaba.

Wapo kina jf Kennedy na kina linkolin walikula za Moto kweli Achana na maigizo haya ya mkenya lakini mbona siyo mijadala ya taifa la USA japo walipigwa risasi wakiwa madarakani..

Nilitegemea Tundu Lissu kumpuuza Magufuli kwa kile alichomusemea Ila kitu uvumilivu kwa TL ndo hakuna kabisa.
JF Kennedy alipigwa risasi ngapi hadi ulinganishe na risasi 16 za Tundu na ni huyo anadunda.
 
Back
Top Bottom