Tundu Lissu amzushia kifo mlinzi huyu wa Rais Magufuli?

Kaulizwa Lisu akiwa kama mwanasheria anaweza prove kashindwa itakuwa wewe hapa! Nyie ndiyo mnajitoa ufahamu kama huna ushahidi kaa kimya,siyo kutuletea blah blah blah za “my sources”
Hapa alirusha upupu
 
Mkuu watu wengine ni unafiki tu. Kwanza ingekuwa ni wao waliopitia yote aliyopitia Lissu pengine wangefanya mambo ya ajabu kwa ajili ya furaha. Hebu jamani tufikirie mateso aliyopata kwa sababu tu ya kumkosoa mtu. Ndiyo watake kumuua tena kwa njia ya kinyama namna ile? Hebu wafikirie na wazazi wa Ben Saanane wako kwenye hali gani? Ben Saanane alifanya kosa gani mpaka astahili kuua? Mtu akihoji elimu yako kama unajiamini kweli utatingishika? Halafu kila Jumapili kwa unafiki anakwenda kupiga magoti mstari wa mbele kwa unyenyekevu huku akihadaa watu eti anamtanguliza Mungu mbele. Mungu ameonyesha hadhihakiwi na mnafiki kama yule.
 
Mkuu acha tu yaani wanataka kila mtu awe mnafiki tu Kama wao.
 

Na wewe yale yale tu kama Lisu,nimegundua swali la Shaka hakuna anaeweza kulijibu,kuanzia Lisu mwenyewe na nyinyi wafuasi wake. Narudia tena kukumbushia swal lenyewe hapa “Ukiwa kama Mwanasheria unaweza kuprove Rais alikufa kwa Corona?”. Naomba ujibu straight usilete blah blah,ndugu yako jana alichemka.
 
Naona hapa mmechemka hata watetezi wake,swali la Shaka halijajibiwa kuanzia kwa Lisu mwenyewe hadi kwa nyinyi wafuasi wake.
Hakuna aliyechemka hapa. Aliyeschemka ni huyo aliyekufa kwa covid kwa sababu ya ukaidi na unafiki wake. Ni watanzania wangapi wamekufa kwa covid tangu mwaka jana tena kwa mateso makali kabisa huku yeye akikataza kabisa wanaosema watu wanakufa! Mmesahau watu walikuwa wanazikwa usiku? Yeye kama kiongozi alichaguliwa wa nini? Hujui ni kuongoza watu kwenye majanga kama haya. Na Mungu alivyo mkubwa akaona bora aondoke kwani watu wasio na hatia wanateketea kwa kiburi chake.
 
Kafa kwa covid. Kw ajili ya kiburi na unafiki wake. watu walikuwa wanaangamia yeye anasema hakuna. Kama hakuna covid mbona imemwondoa sasa?
 

Naona blah blah blah tu hapa,acha nitikise kichwa kama Shaka Ssali jana. Mwanasheria unayejiita Nguli unaulizwa kuprove unachokiongea unaanza hadithi za Nairobi.
 
Hii mikwara mbuzi tu. Ndio maana mnaojaribu kuwaua wana-survive na ninyi wauaji mnatangulia. Eti if you are a man enough come back home" upuuzi tu.
 
Naona blah blah blah tu hapa,acha nitikise kichwa kama Shaka Ssali jana. Mwanasheria unayejiita Nguli unaulizwa kuprove unachokiongea unaanza hadithi za Nairobi.
Muuaji aliyetaka kuua katangulizwa ahera na covid. Shetwaaaani!
 
Mei mosi tunasusia matumizi yoooote ya huduma ya internet kutoka mitandao yote ya simu TZ mpaka washushe bei zao
 
Unambishia Lissu wakati mwenzio ana reliable source ambayo wewe huna ? Kama hujamjua huyo mlinzibaliyekufa na kuzikwa Morogoro useme sio mmoja wamekufa wawili ndugu .
 
Lissu kasema yule anaekaa nyuma yake mara zote ukiacha ADC, kawa specific na watu wanamjua kaonekana kabla na baada ya msiba. Je amefariki lini?
Fact: Magulifu aliacha kuonekana kwenye hadhara tangu tarehe 28.02
Fact: Lissu akahoji yuko wapi kwani ana habari za uhakika kuwa ana covid
Fact: Serikali ikiwemo washabiki maandazi kama wewe mkasema ni mzima na anachapa kazi.
Fact: Baadae ikajulikana ni kweli alikuwa mgonjwa kama alivyosema Lissu na amefariki dunia
Therefore: Tutaachaje kumwamini Lissu aliyesema ukweli tangu mwanzoni , tuamini serikali iliyosema uongo tangu mwanzoni?
 
Naona blah blah blah tu hapa,acha nitikise kichwa kama Shaka Ssali jana. Mwanasheria unayejiita Nguli unaulizwa kuprove unachokiongea unaanza hadithi za Nairobi.
Fact: Magulifu aliacha kuonekana kwenye hadhara tangu tarehe 28.02
Fact: Lissu akahoji yuko wapi kwani ana habari za uhakika kuwa ana covid
Fact: Serikali ikiwemo washabiki maandazi kama wewe mkasema ni mzima na anachapa kazi.
Fact: Baadae ikajulikana ni kweli alikuwa mgonjwa kama alivyosema Lissu na amefariki dunia
Therefore: Tutaachaje kumwamini Lissu aliyesema ukweli tangu mwanzoni , tuamini serikali iliyosema uongo tangu mwanzoni?
 
Wewe unaulizwa swali from the bottom of your heart unaleta hisia za chuki kwa Mwendazake...sijui ni utamaduni wa wapi.....TAL ameonesha alivyo mzandiki na mzushi.
 

Kamtaja jina au ni kiherehere cha Sukuma gang kinakusumbua.
 
Naona blah blah blah tu hapa,acha nitikise kichwa kama Shaka Ssali jana. Mwanasheria unayejiita Nguli unaulizwa kuprove unachokiongea unaanza hadithi za Nairobi.
Lisu mbona kajibu kwa kutumia ushahidi kwa kimazingira kuwa jamaa kafa covid19 au ulitaka aonyeshe pale vyeti vya jiwe kuonesha kuwa ni covid19 Positive?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…