Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anaenda kuimaliza CHADEMA

Wasilolijua viongozi wa Chadema, sii kila vita inapiganwa na bunduki.
 
sheiza,
Mkuu ilo linajulikana mbona ila hawa jamaa vichwa vya kunazi washajaa upepo si unawaona wanavyobweka.
 
Lissu hawezi kuongea ukweli ata mara moja mtu aleyeathirika kisaikolojia anaanzaje kuongea ukweli too much emotional like lily bih
 
sheiza,

Ukumgusa Magufuli umemgusa nani? Acheni ujinga bwana...
Labda umemgusa kwa ubaya na balaa alilolimeta!
Watanzania wote wanalia ugumu wa maisha kasoro walio katika ufalme wake tu...hata wewe unajipendekeza tu! Ukute ni mtumishi wa umma umekaa miaka 5 bila kuongezwa hata kumi ya mshahara wako, lkn waendelea kuimba pambio za sifa na kuabudu dhidi ya kiongozi mwovu na asie na uwezo kabisa!
 
Hokukosea yule aliewaita washamba
 
Unataka kutuambia taifa zima tunamkubali magu sio
 
Maliza kwanza kukata gogo kisha uje uandike hoja zako vizuri.
 
Kama
Sana Walimshindwa mahakim na majaji!
Kwa hoja alishindikana pia! Kwa kulogwa akashindikana kwa Sumu akashindikana!
Ndio wakabaki na wazo la risasi 38 ikashindikana!
Kama unawaza hivyo basi jua kunawatu wana amini Magufuli anaakili kuliko wanasiasa wote.
 
Hapa unatupa taarifa? Unasikitika CHADEMA inaenda kufa? Au unafurahia Lisu kutokutoboa urais?
 
Niishie tu kucheka maana kichaa co lazima aokote makopo barabarani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…