Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anaenda kuimaliza CHADEMA

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anaenda kuimaliza CHADEMA

Ieleweke tu kuwa Lissu hagombei urais ili awe kiongozi, maana anajua wazi hatapenya na hata heka heka za kampeni kwa hali yake hatoweza.

Anachotafuta Lissu ni platform ya kumshambulia Magufuli na serikali kwa kigezo cha kampeni.

Alipotangaza nia alianza kwa mashambulizi binafsi na moja ya kauli yake ni kuwa hatakuwa rais wa kukimbia matatizo na kwenda kijijini kwao kujificha (kwa akili yake anataka kuaminisha wafuasi wake kuwa Magufuli alikimbia na hakujihusisha na chochote kwenye sakata la corona kama ambavyo walikuwa wanasema)

Lissu ni mtu wa kuendeshwa na mihemko zaidi kuliko utulivu wa akili. Si mtu wa kusoma alama za nyakati au majira au mazingira. Atakachofanya atakuwa anamshambulia Magufuli kisha anawaombea wabunge kura.

Kwa hali ya sasa ukimgusa Magufuli umegusa mwananchi mmoja mmoja. Kama sio mama lishe basi bodaboda, kama sio mama mjamzito au mzazi basi mkulima, kama sio mfugaji basi mwenye kiwanda.

Kitendo cha kumshambulia Magufuli ni dhahiri atakuwa amewatoa watu kwenye reli na hivyo kuwapotezea watu shauku ya kumsikiliza na zaidi kumpuuza.

Muda utasema.
Ujinga wenu na ccm unaonekana wazi wazi najua mnachumia matumboni kutoka ccm bila kujali mustakabali wa nchi unakuaje, haya tusubiri matumbo yenu pengine siku moja yatapasuka.
 
Ieleweke tu kuwa Lissu hagombei urais ili awe kiongozi, maana anajua wazi hatapenya na hata heka heka za kampeni kwa hali yake hatoweza.

Anachotafuta Lissu ni platform ya kumshambulia Magufuli na serikali kwa kigezo cha kampeni.

Alipotangaza nia alianza kwa mashambulizi binafsi na moja ya kauli yake ni kuwa hatakuwa rais wa kukimbia matatizo na kwenda kijijini kwao kujificha (kwa akili yake anataka kuaminisha wafuasi wake kuwa Magufuli alikimbia na hakujihusisha na chochote kwenye sakata la corona kama ambavyo walikuwa wanasema)

Lissu ni mtu wa kuendeshwa na mihemko zaidi kuliko utulivu wa akili. Si mtu wa kusoma alama za nyakati au majira au mazingira. Atakachofanya atakuwa anamshambulia Magufuli kisha anawaombea wabunge kura.

Kwa hali ya sasa ukimgusa Magufuli umegusa mwananchi mmoja mmoja. Kama sio mama lishe basi bodaboda, kama sio mama mjamzito au mzazi basi mkulima, kama sio mfugaji basi mwenye kiwanda.

Kitendo cha kumshambulia Magufuli ni dhahiri atakuwa amewatoa watu kwenye reli na hivyo kuwapotezea watu shauku ya kumsikiliza na zaidi kumpuuza.

Muda utasema.

Hivi unawaona watanzania bado wajinga kiasi kile?
Uchambuzi wa kishabiki, kimhemuko na hauna credibility hata kidogo.

Kwa bahati mbaya, Magufuli siyo maarufu kama unavyodhani kwa sehemu kubwa ya population ya nchi.

Hilo hata usalama wanajua na wamwemambia. Mnao sensetionalize umaarufu wake ni nyie wachumia tumbo msio na haya wala huruma kwa mustakabali wa nchi hii.
 
Ieleweke tu kuwa Lissu hagombei urais ili awe kiongozi, maana anajua wazi hatapenya na hata heka heka za kampeni kwa hali yake hatoweza.

Anachotafuta Lissu ni platform ya kumshambulia Magufuli na serikali kwa kigezo cha kampeni.

Alipotangaza nia alianza kwa mashambulizi binafsi na moja ya kauli yake ni kuwa hatakuwa rais wa kukimbia matatizo na kwenda kijijini kwao kujificha (kwa akili yake anataka kuaminisha wafuasi wake kuwa Magufuli alikimbia na hakujihusisha na chochote kwenye sakata la corona kama ambavyo walikuwa wanasema)

Lissu ni mtu wa kuendeshwa na mihemko zaidi kuliko utulivu wa akili. Si mtu wa kusoma alama za nyakati au majira au mazingira. Atakachofanya atakuwa anamshambulia Magufuli kisha anawaombea wabunge kura.

Kwa hali ya sasa ukimgusa Magufuli umegusa mwananchi mmoja mmoja. Kama sio mama lishe basi bodaboda, kama sio mama mjamzito au mzazi basi mkulima, kama sio mfugaji basi mwenye kiwanda.

Kitendo cha kumshambulia Magufuli ni dhahiri atakuwa amewatoa watu kwenye reli na hivyo kuwapotezea watu shauku ya kumsikiliza na zaidi kumpuuza.

Muda utasema.
Tulia acha kupaniki, Mbona hata jukwaani hajapanda ndo kwanza anapasha misuli moto
 
Ieleweke tu kuwa Lissu hagombei urais ili awe kiongozi, maana anajua wazi hatapenya na hata heka heka za kampeni kwa hali yake hatoweza.

Anachotafuta Lissu ni platform ya kumshambulia Magufuli na serikali kwa kigezo cha kampeni.

Alipotangaza nia alianza kwa mashambulizi binafsi na moja ya kauli yake ni kuwa hatakuwa rais wa kukimbia matatizo na kwenda kijijini kwao kujificha (kwa akili yake anataka kuaminisha wafuasi wake kuwa Magufuli alikimbia na hakujihusisha na chochote kwenye sakata la corona kama ambavyo walikuwa wanasema)

Lissu ni mtu wa kuendeshwa na mihemko zaidi kuliko utulivu wa akili. Si mtu wa kusoma alama za nyakati au majira au mazingira. Atakachofanya atakuwa anamshambulia Magufuli kisha anawaombea wabunge kura.

Kwa hali ya sasa ukimgusa Magufuli umegusa mwananchi mmoja mmoja. Kama sio mama lishe basi bodaboda, kama sio mama mjamzito au mzazi basi mkulima, kama sio mfugaji basi mwenye kiwanda.

Kitendo cha kumshambulia Magufuli ni dhahiri atakuwa amewatoa watu kwenye reli na hivyo kuwapotezea watu shauku ya kumsikiliza na zaidi kumpuuza.

Muda utasema.
Lissu yuaja.
Hofu yenu ndio yakufanya uweweseke.
 
Ieleweke tu kuwa Lissu hagombei urais ili awe kiongozi, maana anajua wazi hatapenya na hata heka heka za kampeni kwa hali yake hatoweza.

Anachotafuta Lissu ni platform ya kumshambulia Magufuli na serikali kwa kigezo cha kampeni.

Alipotangaza nia alianza kwa mashambulizi binafsi na moja ya kauli yake ni kuwa hatakuwa rais wa kukimbia matatizo na kwenda kijijini kwao kujificha (kwa akili yake anataka kuaminisha wafuasi wake kuwa Magufuli alikimbia na hakujihusisha na chochote kwenye sakata la corona kama ambavyo walikuwa wanasema)

Lissu ni mtu wa kuendeshwa na mihemko zaidi kuliko utulivu wa akili. Si mtu wa kusoma alama za nyakati au majira au mazingira. Atakachofanya atakuwa anamshambulia Magufuli kisha anawaombea wabunge kura.

Kwa hali ya sasa ukimgusa Magufuli umegusa mwananchi mmoja mmoja. Kama sio mama lishe basi bodaboda, kama sio mama mjamzito au mzazi basi mkulima, kama sio mfugaji basi mwenye kiwanda.

Kitendo cha kumshambulia Magufuli ni dhahiri atakuwa amewatoa watu kwenye reli na hivyo kuwapotezea watu shauku ya kumsikiliza na zaidi kumpuuza.

Muda utasema.
Magu ni moja ya laana kubwa tumepata nchi hii! Wengi wanaomba hata angepotea leo!
 
Ieleweke tu kuwa Lissu hagombei urais ili awe kiongozi, maana anajua wazi hatapenya na hata heka heka za kampeni kwa hali yake hatoweza.

Anachotafuta Lissu ni platform ya kumshambulia Magufuli na serikali kwa kigezo cha kampeni.

Alipotangaza nia alianza kwa mashambulizi binafsi na moja ya kauli yake ni kuwa hatakuwa rais wa kukimbia matatizo na kwenda kijijini kwao kujificha (kwa akili yake anataka kuaminisha wafuasi wake kuwa Magufuli alikimbia na hakujihusisha na chochote kwenye sakata la corona kama ambavyo walikuwa wanasema)

Lissu ni mtu wa kuendeshwa na mihemko zaidi kuliko utulivu wa akili. Si mtu wa kusoma alama za nyakati au majira au mazingira. Atakachofanya atakuwa anamshambulia Magufuli kisha anawaombea wabunge kura.

Kwa hali ya sasa ukimgusa Magufuli umegusa mwananchi mmoja mmoja. Kama sio mama lishe basi bodaboda, kama sio mama mjamzito au mzazi basi mkulima, kama sio mfugaji basi mwenye kiwanda.

Kitendo cha kumshambulia Magufuli ni dhahiri atakuwa amewatoa watu kwenye reli na hivyo kuwapotezea watu shauku ya kumsikiliza na zaidi kumpuuza.

Muda utasema.

Mpangieni cha kusema (mwandikieni hotuba mnayotaka ili aisome hiyo tu kila anapoenda) Napo mtamwelewa tu.
 
Kama ni hivyo basi wali waliounga Juhudi wote wangeshinda kura za maoni.
 
sheiza,

Huu ndio ukweli, dogo Lissu hana ushawishi zaidi yakupoteza kura tarajiwa. Ila natamani sana kumuona kwenye kampeni ili ajue watanzania niwaelewa kuliko alivyodhani. Ni bahati mbaya tu kuwa atafikia Segerea.
Mwatia huruma mna njozi mfu kama za Lijualikali vile.
 
Unataka kutuambia una akili kuliko Tundu Lissu!

Tundu lisu ni boya tu, kwa sasa hawezi kujiamini tena kama yeye mwenyewe.
Andhani kumshambulia magufuli ndo atapata wafuasi lakini atajichimbia.
 
Ieleweke tu kuwa Lissu hagombei urais ili awe kiongozi, maana anajua wazi hatapenya na hata heka heka za kampeni kwa hali yake hatoweza.

Anachotafuta Lissu ni platform ya kumshambulia Magufuli na serikali kwa kigezo cha kampeni.

Alipotangaza nia alianza kwa mashambulizi binafsi na moja ya kauli yake ni kuwa hatakuwa rais wa kukimbia matatizo na kwenda kijijini kwao kujificha (kwa akili yake anataka kuaminisha wafuasi wake kuwa Magufuli alikimbia na hakujihusisha na chochote kwenye sakata la corona kama ambavyo walikuwa wanasema)

Lissu ni mtu wa kuendeshwa na mihemko zaidi kuliko utulivu wa akili. Si mtu wa kusoma alama za nyakati au majira au mazingira. Atakachofanya atakuwa anamshambulia Magufuli kisha anawaombea wabunge kura.

Kwa hali ya sasa ukimgusa Magufuli umegusa mwananchi mmoja mmoja. Kama sio mama lishe basi bodaboda, kama sio mama mjamzito au mzazi basi mkulima, kama sio mfugaji basi mwenye kiwanda.

Kitendo cha kumshambulia Magufuli ni dhahiri atakuwa amewatoa watu kwenye reli na hivyo kuwapotezea watu shauku ya kumsikiliza na zaidi kumpuuza.

Muda utasema.


Unawazungumzia hawa wananchi ambao wanakula mlo mmoja kwa siku wa ugali na matembele tena kwa kubahatisha?

Mimi siku hizi ndugu na jamaa wakinipigia simu kutaka msaada nawachana live nyinyi si mnamshàbikia Magufuli,endeleeni kumchagua huku mjini watu hatuna pesa kwa Sera mbaya za uchumi za Magufuli, bahati mzuri wrote wananielewa na kusema hawatamchagua mwaka huu.
 
Ieleweke tu kuwa Lissu hagombei urais ili awe kiongozi, maana anajua wazi hatapenya na hata heka heka za kampeni kwa hali yake hatoweza.

Anachotafuta Lissu ni platform ya kumshambulia Magufuli na serikali kwa kigezo cha kampeni.

Alipotangaza nia alianza kwa mashambulizi binafsi na moja ya kauli yake ni kuwa hatakuwa rais wa kukimbia matatizo na kwenda kijijini kwao kujificha (kwa akili yake anataka kuaminisha wafuasi wake kuwa Magufuli alikimbia na hakujihusisha na chochote kwenye sakata la corona kama ambavyo walikuwa wanasema)

Lissu ni mtu wa kuendeshwa na mihemko zaidi kuliko utulivu wa akili. Si mtu wa kusoma alama za nyakati au majira au mazingira. Atakachofanya atakuwa anamshambulia Magufuli kisha anawaombea wabunge kura.

Kwa hali ya sasa ukimgusa Magufuli umegusa mwananchi mmoja mmoja. Kama sio mama lishe basi bodaboda, kama sio mama mjamzito au mzazi basi mkulima, kama sio mfugaji basi mwenye kiwanda.

Kitendo cha kumshambulia Magufuli ni dhahiri atakuwa amewatoa watu kwenye reli na hivyo kuwapotezea watu shauku ya kumsikiliza na zaidi kumpuuza.

Muda utasema.
sawa kabisa hana uwezo wa kutubadilisha tua he kumpenda rais wetu wa wanyonge
 
Lissu hawezi kuongea ukweli ata mara moja mtu aleyeathirika kisaikolojia anaanzaje kuongea ukweli too much emotional like lily bih
Nyie watu mbona mnaanza kumshambulia Lissu kwa maneno hata kabla ya kutua nchini??
Mbona aliposhambuliwa kwa risasi Boss wako hajasema lolote??
Mbona waliompiga risasi hawakamatwi, Polisi wameshindwa kuwatambua??
Aliyengoa CCTV cameras kwenye eneo la tukio na kuondoa walinzi ni nani??
Usijifanye zezeta wa Lumumba, Watanzania wana akili wanajua pumba na mchele!!
 
Hapo tu bado hajaingia nchi mwake sasa akiingia si ndo mtaanza kunya kunya et nyie waimba mapambio
Wanashangaza sana hawa watu. Yani kila mda ni post tu na threads za kumkatisha tamaa Lissu, kumtisha Lissu na kumponda Lissu.
Na hapa ndo kasema tu anakuja wao wanakuwa hivi. Sasa akitua hapa nchini kubadili upepo wa kisiasa itakuwaje????

Si itakuwa mtafutano hapa nchini
 
Unawazungumzia hawa wananchi ambao wanakula mlo mmoja kwa siku wa ugali na matembele tena kwa kubahatisha?

Mimi siku hizi ndugu na jamaa wakinipigia simu kutaka msaada nawachana live nyinyi si mnamshàbikia Magufuli,endeleeni kumchagua huku mjini watu hatuna pesa kwa Sera mbaya za uchumi za Magufuli, bahati mzuri wrote wananielewa na kusema hawatamchagua mwaka huu.
Enzi za kikwete ndio ulikuwa na hela? Mbona mlikuwa mnamtukana. Akili za baadhi ya wabongo bwana.
 
Hivi unawaona watanzania bado wajinga kiasi kile?
Uchambuzi wa kishabiki, kimhemuko na hauna credibility hata kidogo.

Kwa bahati mbaya, Magufuli siyo maarufu kama unavyodhani kwa sehemu kubwa ya population ya nchi.

Hilo hata usalama wanajua na wamwemambia. Mnao sensetionalize umaarufu wake ni nyie wachumia tumbo msio na haya wala huruma kwa mustakabali wa nchi hii.
Unafikiri kimuhemko. Tulia tafakari.
 
Enzi za kikwete ndio ulikuwa na hela? Mbona mlikuwa mnamtukana. Akili za baadhi ya wabongo bwana.

Tunawaelimisha watu huku na wanatuelewa kweli kweli. Husicheze na njaa,watu wana njaa kweli kweli.
 
Back
Top Bottom