figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Yule aliyewafokea watu kisukuma NEC hawakumuona.Salaam Wakuu,
Kwenye Kampeni za Uchaguzi, Wagombea wanalazimishwa kuongea Kiswahili au wawe na Mkalimani pale penye ulazima.
Sasa inakuaje Lissu Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA anaongea kilugha halafu Tume ya Uchaguzi(NEC) inachekelea?.
Lissu afungiwe tena siku saba ili ajue hatutaki ukabila.
Hotuba ya Lissu Singida ifanyiwe review.
Mia.
View attachment 1596946
Kwahiyo nyinyi ni wafuata upepo au?Hakuna haja ya kuheshimu sheria kama wengine wanazivunja na wanaachwa!
1.Kapigwa risasi 16Kwa namna unavyomdhalisha Rais wetu sidhani kama anaweza kukukabidhi nchi.kumbuka kampeni ni kama interview wakati wa interview lazima uwe mnyenyekevu.Mimi kama mimi ningekuwa Rais ukanidhalilisha kwa namna hii hata kwa mtutu siwezi kukupa nchi.
Wewe unasema eti Rais ni Muuaji!! Hivi kweli mwanasheria nguli kama wewe unaweza kusema kuwa Rais ni Muuaji wakati huna clear evidence?? Lugha yako hii na mahubiri yako haya yanaligawa ttaifa.NEC mnatakiwa kumfungia milele huyu.hafanyi kapeni kwa ajiri ya kutafuta kura bali kwa sasa anafanya vita ya maneno na naweza kuiita cold war.
Jamani tukumbuke kuwa sisi ni binadamu ,tunapita .kesho upo kesho kutwa haipo.leo utakuwa Rais kesho utakuwa raia wa kawaida.Tukumbuke watoto wetu na wajukuu wetu.yunataka kutengeneza taifa mithiri ya Somalia,burundi,Rwanda, Libya, Syria, Iraq etc.
Hata hio akili ya kupima anaweza asiwe nayo.Hakikisha mwaka huu hauishi bila kupima afya ya akili!
Huwezi kupewa jina zuri wakati matendo yako ni maovu,hivyo kwa kawaida utapewa jina linaloendana na matendo yako maovu.1.Kapigwa risasi 16
2.Hakuna uchunguzi
3.Kazuiwa kuombewa
4.Aliyevaa T-shirt za kumuombea alikamatwa.
5.Kanyimwa haki yake ya Kibunge ya kutibiwa kwa gharama za Bunge.
6.Kavuliwa ubunge na Spika akiwa kwenye matibabu.
Hayo yote yamefanywa chini ya mtu ambaye mnataka aitwe Malaika? Muuaji atakuwa nani sasa kama siyo muuaji?
Halafu mkuu, hotuba yake si ya kilugha ni ya Kiswahili ila anachomekea maneno ya kilugha ka mtu awekavyo maneno ya Kiingereza, mfanosgufuli.Kwahiyo hizo sheria za nec zinamhusu Tundu tu?
Acheni kujitoa ufahamu , hujamsikia baba jeje, kahutubia mara ngapi kilugha kanda zile kwenye kampeni zake na hao nec wapo kimya?
Lisu anajua kuchokoza, anafaata kama huyo baba J. Then mmuguse sasa !
Kwa taarifa yako ni kwamba nec hawacheki ila hawajui waanzie wapi maana kama ni upuuzi kauanzisha aliyewapa mamulaka na hawaja kemea , baba jeje na Lisu kwenye kampeni wapo sawa kama wote wagombea.
Hivi nani kawaroga nyie ?