Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anahutubia kwa Kilugha, NEC wamekaa Kimya, Je, wanamuogopa? Sheria inasemaje?

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anahutubia kwa Kilugha, NEC wamekaa Kimya, Je, wanamuogopa? Sheria inasemaje?

Lissu aliwatulana sana polisi, sasa hivi namuona anajifanya kama yuko upande wao.

Hamna cha huruma kwa wasaliti wa nchi.
 
Mgombea wa uraisi amewadhalilisha wanawake weusi akiwemo mke wake tena live, ameongea adi Kirundi. Kweli ma CCM ni aidi ya mapumbavuu ni dawa yenu Lissu aendelee kuwapiga spana tuu mwanzo mwisho.
 
Kwahiyo hizo sheria za NEC zinamhusu Tundu tu?
Acheni kujitoa ufahamu , hujamsikia baba jeje, kahutubia mara ngapi kilugha kanda zile kwenye kampeni zake na hao NEC wapo kimya?

Lissu anajua kuchokoza, anafaata kama huyo baba J. Then mmuguse sasa !
Kwa taarifa yako ni kwamba NEC hawacheki ila hawajui waanzie wapi maana kama ni upuuzi kauanzisha aliyewapa mamulaka na hawaja kemea , baba jeje na Lissu kwenye kampeni wapo sawa kama wote wagombea.

Hivi nani kawaroga nyie ?
Huyo jamaa ni mjinga kabisa yy kamwona TL pekee anayegutubia kilugha wengine hawaoni, huyo jamaa anafuatilia kweli kampeni za uchaguzi au Yuko busy tu humu JF.
 
Mbona mgombea wetu Raisi Magufuli naye ndiye mkabila zaidi, naye angefungiwa tokea uchaguzi uanze.
 
..Jiwe si alimuita Tundu Lissu msaliti?

..na akasema wasaliti hawastahili kuishi, wanastahili kuuwawa.

..sasa kwanini Jiwe ajisikie vibaya, au aone aibu, akiambiwa kwamba yeye ndiye aliyeamuru Tundu Lissu auwawe?

.. jiulize ni nani aliyeagiza walinzi wa area D waondolewe ili kupisha magaidi waliotumwa kumuua Tundu Lissu?

cc Richard, tindo
Mkuu, nilikutupia video yenye maelezo ya kutosha kuhusu mipango ya Chadema walofanya pre-shambulio la Lissu.

Au ushasahau?
 
Kwa namna unavyomdhalisha Rais wetu sidhani kama anaweza kukukabidhi nchi.kumbuka kampeni ni kama interview wakati wa interview lazima uwe mnyenyekevu.Mimi kama mimi ningekuwa Rais ukanidhalilisha kwa namna hii hata kwa mtutu siwezi kukupa nchi.

Wewe unasema eti Rais ni Muuaji!! Hivi kweli mwanasheria nguli kama wewe unaweza kusema kuwa Rais ni Muuaji wakati huna clear evidence?? Lugha yako hii na mahubiri yako haya yanaligawa ttaifa.NEC mnatakiwa kumfungia milele huyu.hafanyi kapeni kwa ajiri ya kutafuta kura bali kwa sasa anafanya vita ya maneno na naweza kuiita cold war.

Jamani tukumbuke kuwa sisi ni binadamu ,tunapita .kesho upo kesho kutwa haipo.leo utakuwa Rais kesho utakuwa raia wa kawaida.Tukumbuke watoto wetu na wajukuu wetu.yunataka kutengeneza taifa mithiri ya Somalia,burundi,Rwanda, Libya, Syria, Iraq etc.
Uzuri ni kwamba anayeshutumiwa mauaji ni raisi tena yupo na anasikia, mahakama zipo tena mzigo wake umejichimbia zaidi huko mbona haendi mahakamani,hakanushi, hajibu yuko kimya wewe unapata wapi kiherehere cha kumtetetea?
 
Kama ni kilugha magi amekitwanga hasahasa. Time ilikuwa baridiiiii. Kwa Lissu ndo nongwaa
 
Ukiona mleta post analialia ujue maccm pumzi imekata
 
Wewe sijui ndio unaamka ulikua bado umelalia chaga za hapo Lumumba.

Pole sana, yule baba yenu ndio alikua wa kwanza kuvunja sheria hii na hakuna hatua alizochukuliwa hivyo Lissu kachoma sindano kwenye kidonda cha mzee.
 
Usilaumu

Usilaumu ulipoangukia,laumu ulipojikwaa. Haya ni matokeo ya elimu ya ngumbaru inayotolewa bure kwa Watanzania. Ili aeleweke lazima afanane nao.
 
Back
Top Bottom