Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anahutubia kwa Kilugha, NEC wamekaa Kimya, Je, wanamuogopa? Sheria inasemaje?

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anahutubia kwa Kilugha, NEC wamekaa Kimya, Je, wanamuogopa? Sheria inasemaje?

1.Kapigwa risasi 16
2.Hakuna uchunguzi
3.Kazuiwa kuombewa
4.Aliyevaa T-shirt za kumuombea alikamatwa.
5.Kanyimwa haki yake ya Kibunge ya kutibiwa kwa gharama za Bunge.
6.Kavuliwa ubunge na Spika akiwa kwenye matibabu.

Hayo yote yamefanywa chini ya mtu ambaye mnataka aitwe Malaika? Muuaji atakuwa nani sasa kama siyo muuaji?
7. Katukana nchi huko ughaibuni
 
Ningekuona wa maana sana kama hayo maneno yako ungeyatamka kipindi akina Ben saanane, Azory na Ulimboka wanapofanyiwa hayo maovu

Lissu alivyopigwa risasi huo utu unaojaribu kuuongelea hapa uliuonesha sehemu yeyote ile, au ulifyata mkia.

Hivi kwa nini CCM mnakua wajinga namna hii. Hivi ni sheria kwani kwamba ukiwa CCM lazima uwe mjinga au?

Angalia watu kama Bia yetu stroke @YEHODOVA magu2016 digba sowey hao wote ukisoma maandiko yao unaona kabisaa kwamba hawana akili,angalau kidogo johnthebaptist na Pascal Mayalla
Afazali bana umeamua kuwaanika🤣
 
Kwa namna unavyomdhalisha Rais wetu sidhani kama anaweza kukukabidhi nchi.kumbuka kampeni ni kama interview wakati wa interview lazima uwe mnyenyekevu.Mimi kama mimi ningekuwa Rais ukanidhalilisha kwa namna hii hata kwa mtutu siwezi kukupa nchi.

Wewe unasema eti Rais ni Muuaji!! Hivi kweli mwanasheria nguli kama wewe unaweza kusema kuwa Rais ni Muuaji wakati huna clear evidence?? Lugha yako hii na mahubiri yako haya yanaligawa ttaifa.NEC mnatakiwa kumfungia milele huyu.hafanyi kapeni kwa ajiri ya kutafuta kura bali kwa sasa anafanya vita ya maneno na naweza kuiita cold war.

Jamani tukumbuke kuwa sisi ni binadamu ,tunapita .kesho upo kesho kutwa haipo.leo utakuwa Rais kesho utakuwa raia wa kawaida.Tukumbuke watoto wetu na wajukuu wetu.yunataka kutengeneza taifa mithiri ya Somalia,burundi,Rwanda, Libya, Syria, Iraq etc.

Jiwe si alimuita Tundu Lissu msaliti?

na akasema wasaliti hawastahili kuishi, wanastahili kuuwawa.

Sasa kwanini Jiwe ajisikie vibaya, au aone aibu, akiambiwa kwamba yeye ndiye aliyeamuru Tundu Lissu auwawe?

Jiulize ni nani aliyeagiza walinzi wa area D waondolewe ili kupisha magaidi waliotumwa kumuua Tundu Lissu?

cc Richard, tindo
 
Ni hilo tu au una ajenda nyingine? MANA AMEKOPI NA KUPEST TU HAPO.
 
Tuliokuwepo mkutanoni ndio tuliomba aongee kilugha na tulielewa,maana kiswahili hatufahamu vizuri na Kiingereza ndio hivyo tena.
 
Kweli CCM ya Polepole imeishiwa. Hii nayo ni hoja kweli ya kujadili?
 
Back
Top Bottom