Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anahutubia kwa Kilugha, NEC wamekaa Kimya, Je, wanamuogopa? Sheria inasemaje?

7. Katukana nchi huko ughaibuni
 
Afazali bana umeamua kuwaanika🤣
 

Jiwe si alimuita Tundu Lissu msaliti?

na akasema wasaliti hawastahili kuishi, wanastahili kuuwawa.

Sasa kwanini Jiwe ajisikie vibaya, au aone aibu, akiambiwa kwamba yeye ndiye aliyeamuru Tundu Lissu auwawe?

Jiulize ni nani aliyeagiza walinzi wa area D waondolewe ili kupisha magaidi waliotumwa kumuua Tundu Lissu?

cc Richard, tindo
 
Ni hilo tu au una ajenda nyingine? MANA AMEKOPI NA KUPEST TU HAPO.
 
Tuliokuwepo mkutanoni ndio tuliomba aongee kilugha na tulielewa,maana kiswahili hatufahamu vizuri na Kiingereza ndio hivyo tena.
 
Kweli CCM ya Polepole imeishiwa. Hii nayo ni hoja kweli ya kujadili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…