Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anahutubia kwa Kilugha, NEC wamekaa Kimya, Je, wanamuogopa? Sheria inasemaje?

Lissu aliwatulana sana polisi, sasa hivi namuona anajifanya kama yuko upande wao.

Hamna cha huruma kwa wasaliti wa nchi.
 
Mgombea wa uraisi amewadhalilisha wanawake weusi akiwemo mke wake tena live, ameongea adi Kirundi. Kweli ma CCM ni aidi ya mapumbavuu ni dawa yenu Lissu aendelee kuwapiga spana tuu mwanzo mwisho.
 
Huyo jamaa ni mjinga kabisa yy kamwona TL pekee anayegutubia kilugha wengine hawaoni, huyo jamaa anafuatilia kweli kampeni za uchaguzi au Yuko busy tu humu JF.
 
Mbona mgombea wetu Raisi Magufuli naye ndiye mkabila zaidi, naye angefungiwa tokea uchaguzi uanze.
 
Mkuu, nilikutupia video yenye maelezo ya kutosha kuhusu mipango ya Chadema walofanya pre-shambulio la Lissu.

Au ushasahau?
 
Unatafuta tu matusi pumbavu, wakati Magufuli anahutubia Kisukuma Kwao Chato mlijua Lissu Hana kwao?
 
Uzuri ni kwamba anayeshutumiwa mauaji ni raisi tena yupo na anasikia, mahakama zipo tena mzigo wake umejichimbia zaidi huko mbona haendi mahakamani,hakanushi, hajibu yuko kimya wewe unapata wapi kiherehere cha kumtetetea?
 
Kama ni kilugha magi amekitwanga hasahasa. Time ilikuwa baridiiiii. Kwa Lissu ndo nongwaa
 
Ukiona mleta post analialia ujue maccm pumzi imekata
 
Wewe sijui ndio unaamka ulikua bado umelalia chaga za hapo Lumumba.

Pole sana, yule baba yenu ndio alikua wa kwanza kuvunja sheria hii na hakuna hatua alizochukuliwa hivyo Lissu kachoma sindano kwenye kidonda cha mzee.
 
Usilaumu

Usilaumu ulipoangukia,laumu ulipojikwaa. Haya ni matokeo ya elimu ya ngumbaru inayotolewa bure kwa Watanzania. Ili aeleweke lazima afanane nao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…