Uzuri wakitaka ushahidi wa boss wao watapewaKwahiyo hizo sheria za NEC zinamhusu Tundu tu?
Acheni kujitoa ufahamu , hujamsikia baba jeje, kahutubia mara ngapi kilugha kanda zile kwenye kampeni zake na hao NEC wapo kimya?
Lissu anajua kuchokoza, anafaata kama huyo baba J. Then mmuguse sasa !
Kwa taarifa yako ni kwamba NEC hawacheki ila hawajui waanzie wapi maana kama ni upuuzi kauanzisha aliyewapa mamulaka na hawaja kemea , baba jeje na Lissu kwenye kampeni wapo sawa kama wote wagombea.
Hivi nani kawaroga nyie ?
Uzuri wako unanivutia sana , naku imagine ukichora saba halafu mkuyenge wa mwanachadema unakupitia kunakoLissu aliwatulana sana polisi, sasa hivi namuona anajifanya kama yuko upande wao...
Hamna cha huruma kwa wasaliti wa nchi...
1.Kapigwa risasi 16
2.Hakuna uchunguzi
3.Kazuiwa kuombewa
4.Aliyevaa T-shirt za kumuombea alikamatwa.
5.Kanyimwa haki yake ya Kibunge ya kutibiwa kwa gharama za Bunge.
6.Kavuliwa ubunge na Spika akiwa kwenye matibabu.
Hayo yote yamefanywa chini ya mtu ambaye mnataka aitwe Malaika? Muuaji atakuwa nani sasa kama siyo muuaji?
We nawe huna Lolote huenda hata kujiandikisha hujajiandikisja. Ubaguzi gani umefanyika wewe.
Acheni kumtetea, amesema mwenyewe kuwa shida zikipelekwa kwake na wanawake weupe atawapa full attention.We nawe huna Lolote huenda hata kujiandikisha hujajiandikisja. Ubaguzi gani umefanyika wewe.
Hahaaaaa kwahiyo huo ndo ubaguzi. Mmekosa kazi walahi nasema. Yaani mmekosa kazi haswaaaaaaaa.Acheni kumtetea, amesema mwenyewe kuwa shida zikipelekwa kwake na wanawake weupe atawapa full attention.
Lissu hajatubagua sisi endangered spices.
Anayetaka kuigeuza Tanzania kuwa Somalia ni yule mpuuzi mmoja anayedai wananchi wakichagua wagombea wa upinzani hatawapa maendeleo wakati kodi zao anakusanya na anazitumbua kujenga huko kwao. Takataka hii ondoa hapa.Kwa namna unavyomdhalisha Rais wetu sidhani kama anaweza kukukabidhi nchi.kumbuka kampeni ni kama interview wakati wa interview lazima uwe mnyenyekevu.Mimi kama mimi ningekuwa Rais ukanidhalilisha kwa namna hii hata kwa mtutu siwezi kukupa nchi.
Wewe unasema eti Rais ni Muuaji!! Hivi kweli mwanasheria nguli kama wewe unaweza kusema kuwa Rais ni Muuaji wakati huna clear evidence?? Lugha yako hii na mahubiri yako haya yanaligawa ttaifa.NEC mnatakiwa kumfungia milele huyu.hafanyi kapeni kwa ajiri ya kutafuta kura bali kwa sasa anafanya vita ya maneno na naweza kuiita cold war.
Jamani tukumbuke kuwa sisi ni binadamu ,tunapita .kesho upo kesho kutwa haipo.leo utakuwa Rais kesho utakuwa raia wa kawaida.Tukumbuke watoto wetu na wajukuu wetu.yunataka kutengeneza taifa mithiri ya Somalia,burundi,Rwanda, Libya, Syria, Iraq etc.
Kama umewafanyia mema wa Tz kuna haja ganj ya kujidhalilisha namna hii!? Kwani ni lazima wewe uwe Rais?Vibaraka wa mhutu mnskazi kweli ya kujitoa ufahamu ili mkono uende kinywani , mtafanyaje ndio mnategemea kuishi kwa kusifu na kuabudu kuponda upinzani . Wakati Jiwe anaporosha kichato Mwanza na wilaya zake hukumuona ? Kwa jinsi CCM mlivyo na Hali mbaya kwenye kampeni Mara mpige magoti , mara mlale mnaehuka Sasa hivi muanze kuvua nguo , anzeni dozi za bipolar disorder .View attachment 1597328View attachment 1597329View attachment 1597330View attachment 1597331View attachment 1597332
Kwani pombe na makufuri ni majina mazuri?Huwe zi kupewa jina zuri wakati matendo yako ni maovu,hivyo kwa kawaida utapewa jina linaloendana na matendo yako maovu.
Mtukufu Magufuli huongea kisukuma sana ingawa ni mrundi toka Burundi.Lissu fundi sana, anajua namna ya kuwachokonoa. NEC wanategwa hapa, wakileta fyoko watapewa clips za Msukuma alivyokuwa anabonga kilugha
Ujumbe wako unamfaa zaidi Magu na si Lissu! Taifa ameligawa zamani sana sisi sasa hivi tunamsaidia tu kumega mega.Kwa namna unavyomdhalisha Rais wetu sidhani kama anaweza kukukabidhi nchi.kumbuka kampeni ni kama interview wakati wa interview lazima uwe mnyenyekevu.Mimi kama mimi ningekuwa Rais ukanidhalilisha kwa namna hii hata kwa mtutu siwezi kukupa nchi.
Wewe unasema eti Rais ni Muuaji!! Hivi kweli mwanasheria nguli kama wewe unaweza kusema kuwa Rais ni Muuaji wakati huna clear evidence?? Lugha yako hii na mahubiri yako haya yanaligawa ttaifa.NEC mnatakiwa kumfungia milele huyu.hafanyi kapeni kwa ajiri ya kutafuta kura bali kwa sasa anafanya vita ya maneno na naweza kuiita cold war.
Jamani tukumbuke kuwa sisi ni binadamu ,tunapita .kesho upo kesho kutwa haipo.leo utakuwa Rais kesho utakuwa raia wa kawaida.Tukumbuke watoto wetu na wajukuu wetu.yunataka kutengeneza taifa mithiri ya Somalia,burundi,Rwanda, Libya, Syria, Iraq etc.
Ulisikia wapi, lini na saa ngapi?Kuna mgombea alihutubia kisukuma sijui ni nani..ngoja waje wajibu!
Crimea, Jane lowassaNingekuona wa maana sana kama hayo maneno yako ungeyatamka kipindi akina Ben saanane, Azory na Ulimboka wanapofanyiwa hayo maovu
Lissu alivyopigwa risasi huo utu unaojaribu kuuongelea hapa uliuonesha sehemu yeyote ile, au ulifyata mkia.
Hivi kwa nini CCM mnakua wajinga namna hii. Hivi ni sheria kwani kwamba ukiwa CCM lazima uwe mjinga au?
Angalia watu kama Bia yetu stroke @YEHODOVA magu2016 digba sowey hao wote ukisoma maandiko yao unaona kabisaa kwamba hawana akili,angalau kidogo johnthebaptist na Pascal Mayalla