Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anatumia ngekewa au kamzizi kukiangamiza CCM na kushawishi watu kumfuata?

Haya mauzauza unayoandikaga sijui ukiwaga peke yako chumbani Kuna mtu huwa anathubutu kuingia ndani ?
 
Ninaona leo mmejaribu kujibu hoja ya kugawa majimbo na hoja ya vitambulisho. Lakini kule kwa mtoto wa dada kuwa Paymaster General, na Mayanga Constructions hamkugusa kabisa.
Majibu atayapata mwenyewe pale atakapofika huko chato
 
Ninaona leo mmejaribu kujibu hoja ya kugawa majimbo na hoja ya vitambulisho. Lakini kule kwa mtoto wa dada kuwa Paymaster General, na Mayanga Constructions hamkugusa kabisa.
Inakatisha tamaa,Lakini tutashinda kwa mbinu
 
Uchawi upo jamaa anatumia Ngekewa kutoka China

Itapungua nguvu kuelekea oktoba

Oktoba ngekewa hazina nguvu
 
Ili kweli Tundu Lissu 16 bullets then still Alive , anatumia uchawi kama si hivyo yuko na Mungu
 
Eeh sasa tujadili ushirikina tena??
 
Dah aisee!! this is powerful
 
Kuna watu wanadhani Polisi na wanajeshi watawasaidia. Haitatokea hii.
 
Anayejiita MWENDAWAZIMU katika UONGO wake.


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…