Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anatumia ngekewa au kamzizi kukiangamiza CCM na kushawishi watu kumfuata?

Tatizo Magu alijiona kama mungu mtu. Aliona miaka mitano ni mingi sana. Sasa mwache na yeye aisome namba
Tatizo ni kwamba Plan zake za kujiongezea miaka imefeli,sasa Ile kustuka 2020 hii hapa, sasa anataka wale wale ambao kutwa alikuwa anawatukana wapumbavu ndio anataka wamuibie kura ili aendelee kuwaita wapumbavu na kudukua simu zao na wapenzi wao, hapo ndipo kwenye mtihani.
 
PhD ya maganda ya korosho harafu saa 8 alipoihoji akapotea, shame
 
Moja ya tatizo kubwa la Watanzania ni kujieleza.

Kumbuka TL ni wakili na moja kati ya kazi yake kutetea wateja wake mahakamani, kwa hiyo anatumia muda wake mwingi wa kazi kushawishi Mahakama kuhusu suala lilikuwepo.
 
Jiwe ajibu Kuhusu kufilisi mifuko ya jamii

Kupora haki za wafanyakazi wanyonge

Fao la kujitoa
 
Maneno mazito haya.... Mshana km mshana
 
Hii ndo shida kuu ya magufuli! Huwezi kuwanyanyasa na kuwatesa watu alafu utegemee wao ndo wakubebe kwenye uchaguzi!! Never on earth!

Ni ngumu sana kumbeba mtu ambaye ni unpredictable maana hata ukimbeba anaweza kuja kukugeuka akishapata anachokitaka
 
Hayo mawe aliyoyarusha Lissu huko kibondo ni mazito sana
 
Tueleze vigezo vinavyotakiwa kwa kupatikana kiongozi wa nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…