Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Magufuliphobia ni ugonjwa unaomtesa tundu Lisu unamsumbua sana, dalili za ugonjwa huu ni kuchanganyikiwa unapoona miradi mikubwa ya maji na barabara.
Magufuliphobia imemfanya Tundu Lissu alitaje jina la Magufuli mara nyingi zaidi kwa siku
Mgonjwa huyu anayeugua Magufuliphobia anaweweseka anapoona hawezi kushawishi kitu hicho
Dawa ya Magufuliphobia kwa mgonjwa ni kumpa dozi ya kuleta maendeleo kwa kasi zaidi
Magufuliphobia imemfanya Tundu Lissu alitaje jina la Magufuli mara nyingi zaidi kwa siku
Mgonjwa huyu anayeugua Magufuliphobia anaweweseka anapoona hawezi kushawishi kitu hicho
Dawa ya Magufuliphobia kwa mgonjwa ni kumpa dozi ya kuleta maendeleo kwa kasi zaidi