Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
- Thread starter
-
- #21
Anaujua vizuri Mziki wa Magufuli halembi kabisa wala haigizagiBasi hapo ukajiona Bongeee la mjanja kuandika Magufuliphobia...
Kumbe ni BONGE LA KILAAAAAAAZA ,
Tutoleee Utahira wako hapa, kaa kimya kama hujui vitu.
UsichanganyikiweWewe unayemsifia na kujikomba kwa Bwana wako magu Fool umelitaja mara ngapi ?? milioni au trilioni ??
Wewe Lisu umemtaja mara ngapi?Magufuliphobia ni ugonjwa unaomtesa tundu Lisu unamsumbua sana, dalili za ugonjwa huu ni kuchanganyikiwa unapoona miradi mikubwa ya maji na barabara.
Magufuliphobia imemfanya Tundu Lissu alitaje jina la Magufuli mara nyingi zaidi kwa siku
Mgonjwa huyu anayeugua Magufuliphobia anaweweseka anapoona hawezi kushawishi kitu hicho
Dawa ya Magufuliphobia kwa mgonjwa ni kumpa dozi ya kuleta maendeleo kwa kasi zaidi
Hahahaaaa hii kaliMagufuliphobia ni ugonjwa unaomtesa tundu Lisu unamsumbua sana, dalili za ugonjwa huu ni kuchanganyikiwa unapoona miradi mikubwa ya maji na barabara.
Magufuliphobia imemfanya Tundu Lissu alitaje jina la Magufuli mara nyingi zaidi kwa siku
Mgonjwa huyu anayeugua Magufuliphobia anaweweseka anapoona hawezi kushawishi kitu hicho
Dawa ya Magufuliphobia kwa mgonjwa ni kumpa dozi ya kuleta maendeleo kwa kasi zaidi
Mbona umepanic Sana!!!???Tundu Lissu anaumwa Magufuliphobia? Kwa sababu anamtajataja Magufuli? Dont be stupid, usitumie maneno usiyoyajua. Unajua phobia maana yake? Ngoja nikupe tu kamfano. Magufuli ndiye anaumwa ugonjwa wa Lissuphobia.
Analiogopa hilo jina kama ukoma. Hathubutu kulitaja hata mara moja. Achana na lugha za watu...hivi nyie washamba na limbukeni mna tatizo gani na lugha? Si ajabu hata lugha yako ya kuzaliwa huijui. Lissu hana tatizo kulitaja hilo jina na hiyo si phobia, tafuta mtu akupe neno sahihi.
Sasa kama unakula na kulala kwa shemeji yako alikoolewa dadaako utaelewa miundombinu ni nini?Miundombinu ya kiwango gani mtoto wa mama wewe? Umeshatembea hata nchi za jirani ukaona miundombinu au ushamba ndyo unakusumbua?
tatizo la vitoto vinavyolelewa na shemeji.Tunashukuru kwa ushamba wetu lakini miundo mbini ya kiwango ndio hiyo hiyo inawekwa na washamba sasa sijui hapo mshamba ni nani
Usichanganyikiwe
Hebu tudokeze kidogo umepiga kasi ya maendeleo kwa kutumia unit gani vile ?Magufuliphobia ni ugonjwa unaomtesa tundu Lisu unamsumbua sana, dalili za ugonjwa huu ni kuchanganyikiwa unapoona miradi mikubwa ya maji na barabara.
Magufuliphobia imemfanya Tundu Lissu alitaje jina la Magufuli mara nyingi zaidi kwa siku
Mgonjwa huyu anayeugua Magufuliphobia anaweweseka anapoona hawezi kushawishi kitu hicho
Dawa ya Magufuliphobia kwa mgonjwa ni kumpa dozi ya kuleta maendeleo kwa kasi zaidi
Magufuliphobia ni ugonjwa unaomtesa tundu Lisu unamsumbua sana, dalili za ugonjwa huu ni kuchanganyikiwa unapoona miradi mikubwa ya maji na barabara.
Magufuliphobia imemfanya Tundu Lissu alitaje jina la Magufuli mara nyingi zaidi kwa siku
Mgonjwa huyu anayeugua Magufuliphobia anaweweseka anapoona hawezi kushawishi kitu hicho
Dawa ya Magufuliphobia kwa mgonjwa ni kumpa dozi ya kuleta maendeleo kwa kasi zaidi
Chadema ni Shetani kwa CCM: MZEE WASIRA
Sikiliza maneno ya Mzee Steven Wassira utaelewa kwanini lazima CCM Mpya waitaje CHADEMA na CHADEMA wamtaje Magufuli kwa sababu CCM ni chama dola na siyo chama cha kisiasa hivyo CCM Mpya ndiyo Magufuli.
"Imamu au Mchungaji hawezi kumaliza ibada bila kumtaja shetani ambaye ndiyo mpizani wao" mwisho wa kumnukuu mzee Wasira.
Na katika siasa ni hivyo hivyo katika siasa za ushindani, siasa haikamiliki bila kumtaja mpinzani wako.
Ndugu yangu, ushawasikia jamaa wa mboga mboga yani wanalitaja hilo jina zaidi neno Mungu, akiongea sentensi hajamaliza lazima hilo jina alitaje usimsakame lissu,Magufuliphobia ni ugonjwa unaomtesa tundu Lisu unamsumbua sana, dalili za ugonjwa huu ni kuchanganyikiwa unapoona miradi mikubwa ya maji na barabara.
Magufuliphobia imemfanya Tundu Lissu alitaje jina la Magufuli mara nyingi zaidi kwa siku
Mgonjwa huyu anayeugua Magufuliphobia anaweweseka anapoona hawezi kushawishi kitu hicho
Dawa ya Magufuliphobia kwa mgonjwa ni kumpa dozi ya kuleta maendeleo kwa kasi zaidi