LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Haahaa kule ni fomu moja tu nduguManeno haya akayatamke CCM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haahaa kule ni fomu moja tu nduguManeno haya akayatamke CCM.
Sasa hapo nani atakuwa kashindwa Mbowe au CDM kama chama.You're really under estimating the capacity of Tundu Lissu to turn tables. Utaiona nguvu yake kampeni zikianza Mbowe mwenyewe atatangaza kujitoa. Maana hata akishinda kihalali majority wataamini kamuibia Lissu ma hivyo kupasua chama na hakitoweza recover mapema.
Unaijua CCM wewe? Lini Mwenyekiti wa CCM Taifa akang'ang'ania madaraka?Maneno haya akayatamke CCM.
Mcherengwa naye kaoa kwa Saa100.Tundu Lissu nadhani ndio aelimishwe huu ukweli mchungu sana, na kila siku tunasema Chadema ni SACCOS YA MBOWE, iko hivi CHADEMA ni Mali binafsi ya Familia ya Mzee Mtei na Mbowe kaoa kwa Mzee Mtei, yaani Mbowe ni mkwe wa Mzee Mtei,, hivyo CHADEMA ni Mali binafsi ya Mbowe family, so kuachia urithi kwa njia ya Demokrasia hilo halipo, kwani Chadema hakuna demokrasia, ni uhuni tu kama kucheza kamari.
Mbowe kila mwana Chadema akitaka kugombea Uenyekiti anamwita msaliti, tena anatumia hadi maneno ya kuwa sumu haionywi, kuanzia Zitto, Mzee Sumaye, etc wote waliondoka CDM sbb hakuna Chama ni Mali binafsi au Saccos ya Mbowe & Family, niwaambie tu, kwa asilimia 100% Tundu Lissu anaondoka CHADEMA na soon atatangaza, kama wewe ni mwana siasa makini huwezi kuwa mwana CHADEMA, ni genge la wahuni tu, Chadema sio Chama cha siasa, ni Saccos ya Mbowe, hivi hamuelewi hadi lini nyie watu?
CCM ndio CHAMA PEKEE cha Siasa nchini Tanzania.
Nimewahi kusema kitu kama hiki alipopewa jukumu la kugombea uraisi. Lisu ni mtu mzuri lakini hafiti kuwa kiongozi wa juu kabisaLissu ni sawa ‘Santino (Sonny) Carleone’, mtoto wa kwanza wa Don Carleone; kwenye ‘The Godfather’ movie.
Sonny alikuwa anaandaliwa kuwa head of the family, shida yake ilikuwa mihemko apigi hesabu za revenge zake familia inapopata changamoto.
Hiyo character yake ya mihemko ndio maadui wakaitumia kumuwekewa mtego rahisi wakielewa atakurupuka na atanasa tu na kumuua.
Same Lissu has become too ambitious, lakini hana leadership qualities bado, ni hasira zake tu za Magufuli, kuwachukia wote waliochukua offer ya viti maalum na desperation yake ya kutaka kuona social disobedience kwenye kuitoa CCM.
Huo uchaguzi wa ndani hawezi shinda na 2025 hatopewa nafasi ya kugombea uraisi. Hana busara ya kuwa kiongozi wa chama wala taifa. Ni mtu wa kusukumwa na hisia kuliko calculated moves.
Mbowe anampeleka Lissu kuwa diaspora wa kudumu au baada ya hapo atakuwa mwanaharakati tu.
Ni sawa,ila awe na uwezo wa kuishi Segerea!Mbowe naye kukaa kwenye nafasi hiyo inatosha,kura iamue nani anafaa kuwa mwenyekiti demokrasia ifanye kazi,Mbowe miaka yote hii hamna kipya labda Lissu atakuja na political ideology mpya
Acheni mihemko. Nani atamwua?Watamuua siku hiyohiyo.
Mcherengwa naye kaoa kwa Saa100.
Marwa naye kaoa kwa JK
Sifa ya uongozi ni kujenga sio kubomoa.Nimewahi kusema kitu kama hiki alipopewa jukumu la kugombea uraisi. Lisu ni mtu mzuri lakini hafiti kuwa kiongozi wa juu kabisa
Anayo haki ya kikatiba kugombea ? Katiba yao inasemaje ? Je ccm mwanachana wa kawaida anaweza kugombea nafasi mwenyekiti ?Huyu bwana mdg kaanza kulewa sifa
Huyu bwana mdg kaanza kulewa sifa