nyonyodawa
Member
- Nov 11, 2024
- 42
- 133
Naandika kwa masikitiko makubwa sana kutoka moyoni mwangu,naamini baadhi ya Viongozi wa Chadema kwa makusudi wamekubali kutapeliwa na wametapelika dhidi ya matapeli wa CCM
Hii inadhihilisha ni jinsi gani wako kimaslai zaidi kuliko kuwa kalibu na wananchi wao, waliokipenda chama kwa moyo mmoja
Sasa cha kufanya Tundu Lissu huu ni mda muafaka wa kujitoa Chadema na kuunda chama chako,utaondoka na wafuasi wote wa Chadema na wangine watatoka CCM
Tumechokwa kukatishwa matumaini yetu na ahadi za uongo
Hii inadhihilisha ni jinsi gani wako kimaslai zaidi kuliko kuwa kalibu na wananchi wao, waliokipenda chama kwa moyo mmoja
Sasa cha kufanya Tundu Lissu huu ni mda muafaka wa kujitoa Chadema na kuunda chama chako,utaondoka na wafuasi wote wa Chadema na wangine watatoka CCM
Tumechokwa kukatishwa matumaini yetu na ahadi za uongo