Tundu Lissu aongezewe ulinzi wa kiroho, ni mbeba ajenda za Taifa letu pendwa la Tanzania

Tundu Lissu aongezewe ulinzi wa kiroho, ni mbeba ajenda za Taifa letu pendwa la Tanzania

Gabeji

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
1,530
Reaction score
1,903
Poleni na hongereni na kutafuta mkate wa kila siku.

Leo Tundu Lisu ameuthibitishia uma wa Watanzania na Dunia kwa ujumla kuwa yeye yupo serious katika kuleta ukombozi wa mara ya pili dhidi ya utawala wa CCM na serikali yake , ambae ni mkoloni mweusi.

Ninaomba watanzania wote wenye moyo wa kizalendo, bila kujali dini ,itikadi, kabila, kanda, tumwombeee sana huyu mbeba ajenda za kitaifa Tundu antipas Lisu, tumwongezee ulinzi wa kiroho.

Mungu anampango na taifa hili la Tanzania, lilojaa tele utajiri wa kutupwa, madini, misitu,mito, maziwa, milima, mabonde, bahari, mabwawa, wanyama, aridhi yenye rutuba, cha ajabu na cha kushangaza sana watanzania tangu uhuru 1961 mpaka leo hii wanaishi maisha ya ufukara mkubwa sana kwa sababu ya kukosa viongozi wazalendo, kukosa viongozi wadirifu, kukosa viongozi wenye maono, ndani ya serikali ya CCM, kwa mda zaidi ya miaka 60. Taifa limekuwa shamba la bibi.

Mwaka huu 2025 Mungu ametuletea huyu mwamba, tumwombeee sana, I'li Mungu atimize maono yake kupitia yeye.

Watanzania wazalendo tumuunge mkono, kwa pamoja, kwa uchache, mh, Warioba, mh,Ndugai, askofu Bagonza, Askofu Mwamakula, Askofu, Gwajima, Mpina, Msukuma, na wengine wote walichoka na mfumo wa serikali ya CCM tuungane kwa pamoja I'li tumpe nguvu Tundu Lisu.

Mungu ibariki Tanzania. By mwinjilist wenu Gabeji.
 
Poleni na hongereni na kutafuta mkate wa kila siku.
Leo Tundu Lisu ameuthitishia uma wa watanzania na Dunia kwa ujumla kuwa yeye yupo serious ktk kuleta ukombozi wa mara ya pili zidi ya utawala wa ccm na serikali yake , ambae ni mkoloni mweusi.
Ninaomba watanzania wote wenye moyo wa kizalendo, bila kujali dini ,itikadi, kabila, kanda, tumwombeee sana huyu mbeba ajenda za kitaifa Tundu antipas Lisu, tumwongezee ulinzi wa kiroho.

Mungu anampango na taifa hili la Tanzania, lilojaa tele utajiri wa kutupwa, madini, misitu,mito, maziwa, milima, mabonde, bahari, mabwawa, wanyama, aridhi yenye rutuba, cha ajabu na cha kushangaza sana watanzania tangu uhuru 1961 mpaka leo hii wanaishi maisha ya ufukala mkubwa sana kwa sbb ya kukosa viongozi wazalendo, kukosa viongozi wadirifu, kukosa viongozi wenye maono, ndani ya serikali ya ccm, kwa mda zaidi ya miaka 60. Taifa limekuwa shamba la bibi.

Mwaka huu 2025 Mungu ametuletea huyu mwamba, tumwombeee sana, I'li Mungu atimize maono yake kupitia yeye.
Watanzania wazalendo tumuunge mkono, kwa pamoja, kwa uchache, mh, warioba, mh,Ndugai, askofu bagonza, askofu mwamakula, askofu, Gwajima, Mpina, msukuma, na wengine wote walichoka na mfumo wa serikali ya ccm tuungane kwa pamoja I'li tumpe nguvu Tundu Lisu.
Mungu ibariki Tanzania. By mwinjilist wenu Gabeji.
agenda ya kuomba kuchangiwa pocket money na pesa ya kuongoza chama right?

mengine amepotosha uma tu kwa pumba za kutosha :BASED:
 
gentleman,
kibaraka ni mnufaika mkubwa wa kuombaomba kuchangiwa na anao wataga maskini dah! :BASED:
Ni kweli unalipwa kushinda humu jf ili kupotosha.

Lakini please hebu tupumzishe kidogo. Naamini hata wanaokutuma unawakera!!

Umasikini ni janga kwenu mlio wengi
 
Ni kweli unalipwa kushinda humu jf ili kupotosha.

Lakini please hebu tupumzishe kidogo. Naamini hata wanaokutuma unawakera!!

Umasikini ni janga kwenu mlio wengi
kusema na kueleza ukweli hapahitaji malipo na wala hapachoshi,

vip gentleman ,
nawahenyenta sana eee kwa ukweli mtupu?

jamaa limezunguka weeeee kumbe linataka kuomba pesa tu za pocket money dah 🐒
 
Ni kweli unalipwa kushinda humu jf ili kupotosha.

Lakini please hebu tupumzishe kidogo. Naamini hata wanaokutuma unawakera!!

Umasikini ni janga kwenu mlio wengi
Kuna huwa wanazisaliti mpaka nafsi zao kama huyu tlah tlah, mpaka anakela, hajielewi amefungwa ufahamu , tutakusaidia taratibu
 
Poleni na hongereni na kutafuta mkate wa kila siku.

Leo Tundu Lisu ameuthibitishia uma wa Watanzania na Dunia kwa ujumla kuwa yeye yupo serious katika kuleta ukombozi wa mara ya pili dhidi ya utawala wa CCM na serikali yake , ambae ni mkoloni mweusi.

Ninaomba watanzania wote wenye moyo wa kizalendo, bila kujali dini ,itikadi, kabila, kanda, tumwombeee sana huyu mbeba ajenda za kitaifa Tundu antipas Lisu, tumwongezee ulinzi wa kiroho.

Mungu anampango na taifa hili la Tanzania, lilojaa tele utajiri wa kutupwa, madini, misitu,mito, maziwa, milima, mabonde, bahari, mabwawa, wanyama, aridhi yenye rutuba, cha ajabu na cha kushangaza sana watanzania tangu uhuru 1961 mpaka leo hii wanaishi maisha ya ufukara mkubwa sana kwa sababu ya kukosa viongozi wazalendo, kukosa viongozi wadirifu, kukosa viongozi wenye maono, ndani ya serikali ya CCM, kwa mda zaidi ya miaka 60. Taifa limekuwa shamba la bibi.

Mwaka huu 2025 Mungu ametuletea huyu mwamba, tumwombeee sana, I'li Mungu atimize maono yake kupitia yeye.

Watanzania wazalendo tumuunge mkono, kwa pamoja, kwa uchache, mh, Warioba, mh,Ndugai, askofu Bagonza, Askofu Mwamakula, Askofu, Gwajima, Mpina, Msukuma, na wengine wote walichoka na mfumo wa serikali ya CCM tuungane kwa pamoja I'li tumpe nguvu Tundu Lisu.

Mungu ibariki Tanzania. By mwinjilist wenu Gabeji.
Naunga mkono Hoja
 
Iko hivi, Kila kiongozi ana mchango wake katika Maendeleo Ya Nchi.

Tunamuhitaji Lisu afanye mageuzi ya Mfumo wa Utawala ili kuimarisha utawala wa Kisheria, Ku empower Taasisi mbali mbali ili ziweze kutekele,a wajibu wake kisheria.

Baada ya hapo, Ndo waje wengine, Wachape kazi za maendeleo
 
Iko hivi, Kila kiongozi ana mchango wake katika Maendeleo Ya Nchi.

Tunamuhitaji Lisu afanye mageuzi ya Mfumo wa Utawala ili kuimarisha utawala wa Kisheria, Ku empower Taasisi mbali mbali ili ziweze kutekele,a wajibu wake kisheria.

Baada ya hapo, Ndo waje wengine, Wachape kazi za maendele

Iko hivi, Kila kiongozi ana mchango wake katika Maendeleo Ya Nchi.

Tunamuhitaji Lisu afanye mageuzi ya Mfumo wa Utawala ili kuimarisha utawala wa Kisheria, Ku empower Taasisi mbali mbali ili ziweze kutekele,a wajibu wake kisheria.

Baada ya hapo, Ndo waje wengine, Wachape kazi za maendeleo
Kabisa mkuu, naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom