Mnaleta zereu kwa wananchi aya kwenye uchaguzi wa taifa wajumbe ndo watawapigia kura waliopo kwenye mitandao wanaishi wapi? au unajua wanaishi kwenye mitandao?Usilojua ni kwamba mitandao siyo wajumbe 1,200 wa mkutano mkuu
Hapo wasemaje kiongozi
TAL katoa tahadhari pia..Ondoa hofu, hao wanaoelekeza toka juu hawatapiga kura wala kusimamia uchaguzi, wakati wanatoa hayo maelekezo hawakujua kama hila zao zitagundulika. Lissu atashinda kwa kishindo.
Kura ni za siri, ukila pesa ya mgombea ukamnyima kura hawezi kuja kukudai pesa yake.
Mianya inazibwa.TAL katoa tahadhari pia..
Pre GE2025 - Tundu Lissu: Wamepanga kuingiza kura feki uchaguzi wa ndani (CHADEMA)
Tundu Lissu Makamu akizungumza kupitia clubhouse leo Desemba 23 amesema kuwa "Nimepewa taarifa na mtu wa heshima sana kuhusu maandalizi ya vurugu kwenye uchaguzi. Kuna watu wanaandaliwa waje waingie ukumbini kama wanachama, kumbe wapo kwa kazi maalum ya kutorosha masanduku ya kura...www.jamiiforums.com
Mifumo imejaa rushwa tupuSanduku la kura ndiyo njia sahihi kabisa
Mifumo imejaa rushwa tupu
Mnaleta zereu kwa wananchi aya kwenye uchaguzi wa taifa wajumbe ndo watawapigia kura waliopo kwenye mitandao wanaishi wapi? au unajua wanaishi kwenye mitandao?
CCM imeleta mfumo wa kishetani kabisaNdiyo utaratibu uliokubalika kikatiba hamna namna mkuu
Hahahaha nyie timu Lissu vipi?Kura halali zitamchagua Lisu lakini kamati haramu itachakachua na kupora ushindi lisu na kumtangaza Mbowe kuwa
Tule mpunga...Na akitumia huo utemi wake tutaunga mkono CHAUMA kuliko kuwa na kiongozi ambaye amefikia ukomo wa mawazo na analazimisha kuwepo tu.
Ndivyo kura za mitandaoni zinavyodanganya. Unakumbuka kura za Trump mitandaoni?View attachment 3183324
Kwa mujibu wa kura za maoni zilizo fanywa na Jambo online TV matokeo yapo hiv:
Watoa maoni: 12,148
Tundu Lissu kapata kura 10,204 sawa na 84%
Freeman Mbowe kapata kura 1,944 sawa na 16%.
Haya ni maoni ya watanzania walio nje ya mfumo wa Chadema. Wajumbe wa mkutano mkuu wana nafasi ya kuyakubali au kuyakataa.