Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kiongozi anapodanganya umma nini kifanyike?4R ilikuwa ni Laghai bora tumeshtuka.
Mama ndio anaandaa meza mbele za watekaji wetu, tena Ana wasevu hadi divai.Akizungumza baada ya kuwasili Nchini leo, Amedai kwamba hicho kinachoitwa 4R Kinachonadiwa na Rais Samia na Wapambe Wake ni uongo mtupu, Hakuna cha 4R wala nini.
Ujumbe wake huu hapa
View attachment 3093088View attachment 3093090
Toa Maoni yako
Tukianza kuuandika uongo wao tokea Awamu ya kwanza mpaka leo Awamu ya sita.Kiongozi anapodanganya umma nini kifanyike?
Ukombozi wa wa-Tanzania na hatma ya wa-Tanzania ipo mikononi mwao wenyewe, wala haipo Marekani au kwingineko kokote kule.Akizungumza baada ya kuwasili Nchini leo, Amedai kwamba hicho kinachoitwa 4R Kinachonadiwa na Rais Samia na Wapambe Wake ni uongo mtupu, Hakuna cha 4R wala nini.
Ujumbe wake huu hapa
View attachment 3093088View attachment 3093090
Toa Maoni yako
Fuatilia vita vya Urusi na Ukraine halafu urudi tenaUkombozi wa wa-Tanzania na hatma ya wa-Tanzania ipo mikononi mwao wenyewe, wala haipo Marekani au kwingineko kokote kule.
LISU ALILIONA HILI TANGU 2021Akizungumza baada ya kuwasili Nchini leo, Amedai kwamba hicho kinachoitwa 4R Kinachonadiwa na Rais Samia na Wapambe Wake ni uongo mtupu, Hakuna cha 4R wala nini.
Ujumbe wake huu hapa
View attachment 3093088View attachment 3093090
Toa Maoni yako
Aiseeeeee!!!
message sent, delivered and received kwa maneno ya mwendazake...Lissu anasema kuwa 4r zilikuwa ni uongo leo na uongo kesho. Je ni kweli yuko sahihi?
Shida ndio hii
Sasa kama ni uongo inatuhusu nini!Akizungumza baada ya kuwasili Nchini leo, Amedai kwamba hicho kinachoitwa 4R Kinachonadiwa na Rais Samia na Wapambe Wake ni uongo mtupu, Hakuna cha 4R wala nini.
Ujumbe wake huu hapa
View attachment 3093088View attachment 3093090
Toa Maoni yako
MmedanganywaSasa kama ni uongo inatuhusu nini!