Habari Jf ,Nionavyo mimi huyu mwamba huko CHADEMA ni kama anatumiwa kuhalalisha kinachodaiwa chama kinafanya kazi na mikutano kwa maelekezo kutoka Chama Tawala...
🤣🤣🤣 Mods watansaidia isomeke hivyokwenye heading hapo sio Tundi ni Tundu a.k.a Chiba.
Sukuma Gang mnahangaika sana na Lissu na Chadema kiasi mumesahau adui yenu ni nani haswa. Huyo Mbatia alishafuruswa NCCR kitambo tu.Habari Jf ,Nionavyo mimi huyu mwamba huko CHADEMA ni kama anatumiwa kuhalalisha kinachodaiwa chama kinafanya kazi na mikutano kwa maelekezo kutoka Chama Tawala .
Mlio karibu na lissu mshaurini aungane na Mbatia NCCR Mageuzi ,sisi wazalendo wa hili Taifa tutawaunga mkono .
Nasema NCCR Mageuzi sababu ni chama ambacho hakimilikiwi na Mtu mmoja .
Toka lini yuko CHADEMA ?Mbatia yupo Chadema ndg
Nccr walimtimua
Naona watoto wa kutoshaWananzengo wameanza kusema eti anahujumiwa....ila hakuna jipya kwa wanasiasa!
Yeye vs...
View attachment 2630515
View attachment 2630516
View attachment 2630517
Mzee wa anga.....
View attachment 2630518
View attachment 2630520
Kwani lisu amesharudi Ubelgiji??? Si mlikuwa mnasema anaongoza chama akiwa ubelgiji?Habari JF, nionavyo mimi huyo mwamba huko CHADEMA ni kama anatumiwa kuhalalisha kinachodaiwa chama kinafanya kazi na mikutano kwa maelekezo kutoka Chama Tawala.
Mlio karibu na Lissu mshaurini aungane na Mbatia NCCR Mageuzi, sisi wazalendo wa hili Taifa tutawaunga mkono.
Nasema NCCR Mageuzi sababu ni chama ambacho hakimilikiwi na Mtu mmoja.
Wewe nani amekuomba utoe ushauri?Habari JF,
Nionavyo mimi huyu mwamba huko CHADEMA ni kama anatumiwa kuhalalisha kinachodaiwa chama kinafanya kazi na mikutano kwa maelekezo kutoka Chama Tawala.
Mlio karibu na Lissu mshaurini aungane na Mbatia NCCR Mageuzi, sisi wazalendo wa hili Taifa tutawaunga mkono.
Nasema NCCR Mageuzi sababu ni chama ambacho hakimilikiwi na Mtu mmoja.
Makapteni wa kupiganisha vita kazini...Wananzengo wameanza kusema eti anahujumiwa....ila hakuna jipya kwa wanasiasa!
Yeye vs...
View attachment 2630515
View attachment 2630516
View attachment 2630517
Mzee wa anga.....
View attachment 2630518
View attachment 2630520
Aisee. Chadema hata vitisheti vikofia kofia hawana vya saizi zao?. SicNaona watoto wa kutosha
Mwenyekiti anatuangushaAisee. Chadema hata vitisheti vikofia kofia hawana vya saizi zao?. Sic
...halafu vichwa vya habari ndio...
"Uwanja Umefurika"
"Wananchi wadai Katiba mpya" kweli? Watoto??
Inaweza saidiaLissu aje Umoja Party apambane Bernard Kalimani na Mpina.