Pre GE2025 Tundu Lissu atagombea Urais lakini atashindwa ila ataiwezesha CHADEMA kupata Wabunge wengi wa kufanikisha Freeman Mbowe kuwa Waziri Mkuu

Pre GE2025 Tundu Lissu atagombea Urais lakini atashindwa ila ataiwezesha CHADEMA kupata Wabunge wengi wa kufanikisha Freeman Mbowe kuwa Waziri Mkuu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tunza sana huu Unabii na usidanganyike na No Reforms No Election

Chadema itashiriki uchaguzi na itajipatia Wabunge wengi tu na huenda ikatoa Waziri mkuu ambaye ni Freeman Mbowe

Ni ngumu sana kuielewa hii kwa sasa bila msaada wa roho mtakatifu

Mlale unono πŸ˜€πŸ˜€
Roho mtakatifu kafikaje huku?
 
Tunza sana huu Unabii na usidanganyike na No Reforms No Election

Chadema itashiriki uchaguzi na itajipatia Wabunge wengi tu na huenda ikatoa Waziri mkuu ambaye ni Freeman Mbowe

Ni ngumu sana kuielewa hii kwa sasa bila msaada wa roho mtakatifu

Mlale unono πŸ˜€πŸ˜€
Leo umeandika point
 
Tunza sana huu Unabii na usidanganyike na No Reforms No Election

Chadema itashiriki uchaguzi na itajipatia Wabunge wengi tu na huenda ikatoa Waziri mkuu ambaye ni Freeman Mbowe

Ni ngumu sana kuielewa hii kwa sasa bila msaada wa roho mtakatifu

Mlale unono πŸ˜€πŸ˜€
Unajua umeandika kimasihara na kuishia kucheka lakini trust me umeweka hoja ya msingi sana. Na sisi watumishi wa Mungu hili tulishaliona.
 
Tunza sana huu Unabii na usidanganyike na No Reforms No Election

Chadema itashiriki uchaguzi na itajipatia Wabunge wengi tu na huenda ikatoa Waziri mkuu ambaye ni Freeman Mbowe

Ni ngumu sana kuielewa hii kwa sasa bila msaada wa roho mtakatifu

Mlale unono πŸ˜€πŸ˜€
Haka ka bangi kakikutoka walawi utakuja kufuta huu uzi!
 
Ushaamka mkuu..?! Mbowe waziri mkuu?! Labda kuwe na serikali ya umoja wa kitaifa kama Zanzibar
 
Tunza sana huu Unabii na usidanganyike na No Reforms No Election

Chadema itashiriki uchaguzi na itajipatia Wabunge wengi tu na huenda ikatoa Waziri mkuu ambaye ni Freeman Mbowe

Ni ngumu sana kuielewa hii kwa sasa bila msaada wa roho mtakatifu

Mlale unono πŸ˜€πŸ˜€
Wewe mtu mzima unaheshimika humu, bado tu una mawazo ya Mbowe kwamba atakuwa waziri mkuu ndani ya masaa 72? Ebu acha kuweweseka mzee.
 
Tunza sana huu Unabii na usidanganyike na No Reforms No Election

Chadema itashiriki uchaguzi na itajipatia Wabunge wengi tu na huenda ikatoa Waziri mkuu ambaye ni Freeman Mbowe

Ni ngumu sana kuielewa hii kwa sasa bila msaada wa roho mtakatifu

Mlale unono πŸ˜€πŸ˜€
Unabii Tanzania umekuwa kama betting!
 
Tunza sana huu Unabii na usidanganyike na No Reforms No Election

Chadema itashiriki uchaguzi na itajipatia Wabunge wengi tu na huenda ikatoa Waziri mkuu ambaye ni Freeman Mbowe

Ni ngumu sana kuielewa hii kwa sasa bila msaada wa roho mtakatifu

Mlale unono πŸ˜€πŸ˜€
Sawa John kwa dua ya kheri,bora shamba la bibi litapona kutoka makucha ya fisi
 
Back
Top Bottom