Najua unajua kwamba yeye na wazungu wake wanaotaka kunyonya afrika hawajaana hadi leo. Hapo alipo anakuwa ughali wa wazungu.Unataka kusema nini haswa.? Kwamba lissu ni maaliti! Unatakiwa kupimwa akili yako
Nimeshituka pia.Wanasiasa wengi wasahaulifu, sasa kama walimwita Lowasa na fisadi na kumtangaza hafai, ushahidi wanao kwa miaka mitano ila ndano ya dk tano wakadai Lowasa msafi na wakampa nafasi ya kuwakilisha UKAWA.
Si shangai yeye mwenyewe kuongea ndio
haya tuma salamu kwa matga wenzako 550 popote walipo.Hapa tunajadili hoja tu.. Hili swali lako linafaa pale bichi kidimbwi.
mataga pori hii anzisha thread yake mpya kabisa mmfarijiane.Wanasiasa wengi wasahaulifu, sasa kama walimwita Lowasa na fisadi na kumtangaza hafai, ushahidi wanao kwa miaka mitano ila ndano ya dk tano wakadai Lowasa msafi na wakampa nafasi ya kuwakilisha UKAWA.
Si shangai yeye mwenyewe kuongea ndio
Yeye mwenyewe Tundu Lissu ni bonge la msaliti, alituambia Lowassa ni fisadi wa kufa mtu halafu baadae anakuja kutuambia tumpe Lowassa kura za Urais.Moja kati ya maelezo ya Lissu wakati akihojiwa na kituo cha Habari huko nchini Kenya alieleza kwamba atakae fanya usaliti hata uwe mkubwa aina gani tutakushughulikia.
Maelezezo haya yalitokana na kile kinachoonekana kwamba wale wabunge 19 wamesaliti chadema na wameshawashughulikia.
Haraka haraka nikapata mshituko kwamba, Usaliti anaupimaje?
Pili, Kipindi cha Nyuma alisemekana alisaliti serikali ya JMP hasa kwenye makinikia na badae ikasemekana hata kushughulikiwa kwake kulitokana na hayoo makininikia.
Kama yeye anashughulikia wenzake, je Ilikuwa sahihi hata yeye kudhughulikiwa?
Hii ni shombo waliyojipaka Chadema halafu wanajitia hamnazoWanasiasa wengi wasahaulifu, sasa kama walimwita Lowasa na fisadi na kumtangaza hafai, ushahidi wanao kwa miaka mitano ila ndano ya dk tano wakadai Lowasa msafi na wakampa nafasi ya kuwakilisha UKAWA.
Si shangai yeye mwenyewe kuongea ndio
Wazee wa sigara kali, mtaendelea kuwashwa mbele na nyuma sababu hamjielewi.mataga pori hii anzisha thread yake mpya kabisa mmfarijiane.
umezaliwa mwaka 1989 ehh 🤣 🤣 🤣Wazee wa sigara kali, mtaendelea kuwashwa mbele na nyuma sababu hamjielewi.
Mafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.
Ccm itaendelea kupeta
Ye mbona ni msaliti namba moja, na katumwa na waliomuoa?Moja kati ya maelezo ya Lissu wakati akihojiwa na kituo cha Habari huko nchini Kenya alieleza kwamba atakae fanya usaliti hata uwe mkubwa aina gani tutakushughulikia.
Maelezezo haya yalitokana na kile kinachoonekana kwamba wale wabunge 19 wamesaliti Chadema na wameshawashughulikia.
Haraka haraka nikapata mshituko kwamba, Usaliti anaupimaje?
Pili, Kipindi cha Nyuma alisemekana alisaliti serikali ya JMP hasa kwenye makinikia na badae ikasemekana hata kushughulikiwa kwake kulitokana na hayo makininikia.
Kama yeye anashughulikia wenzake, je Ilikuwa sahihi hata yeye kudhughulikiwa?