How?? Funguka fafanua!! TV Zinapiga kura??π€π€π€π€£π€£π€£π΄π΄Uchaguzi wote kuwa live ktk TV za nje na ndani.
Hii ndio itampigia lissu kisiasa
Kwa mfano, kura ya Heche kumpigia Lissu itaonyeshwa kapigiwa nani? Mara kampigia Mbowe akitoka anasema kampigia lissuHow?? Funguka fafanua!! TV Zinapiga kura??π€π€π€π€£π€£π€£π΄π΄
Bbc ya wapi? Dw , voa?Wahi Milembe TV za nje zitahusikaje?!
GarbageUchaguzi wote kuwa live ktk TV za nje na ndani.
Hii ndio itampigia lissu kisiasa
Hatari na nusu.250m/1200 πππ
Lissu atimkie ccmHatari na nusu.
Huyu mgonjwa wa malaria anafikiri watu wote duniani ni wajinga kama yeye na mbowe.
Siyo 380m/1200?250m/1200 πππ
Lissu 25 zilizobaki zote Mbowe. Hakuna chizi ndani ya chadema wampe lissu chamaSiyo 380m/1200?
kikubwa wizi usifanyike na watanzania wote waone jinsi atakavyoshindwa ki halali. Mashabiki wake wataridhika na yeye ataridhika kushindwaUchaguzi wote kuwa live ktk TV za nje na ndani.
Hii ndio itampigia lissu kisiasa
Inaamaana umakamo aliupata kwa wizi?kikubwa wizi usifanyike na watanzania wote waone jinsi atakavyoshindwa ki halali. Mashabiki wake wataridhika na yeye ataridhika kushindwa
Ni sawa na 208 333,333π250m/1200 πππ
Hizo mbona ziko miaka yote kwenye chaguzi zote.Bbc ya wapi? Dw , voa?
umakamu haukuwa ma ushindani mkubwa kama huu wa uenyekiti. Huu ni sawa na uchaguzi mkuu wa, joto lake liko juu sana haijawahi kutokea miongoni mwa vyama vya siasaInaamaana umakamo aliupata kwa wizi?
Malaria Sugu haijawahi kumuacha mtu salamaLissu atimkie ccm
Hizo mbona ziko miaka yote kwenye chaguzi zote.
[TV zote zitakuwa live: kwa mfano kura ya Heche baada ya kupiga atainyoesha live kampigia naniumakamu haukuwa ma ushindani mkubwa kama huu wa uenyekiti. Huu ni sawa na uchaguzi mkuu wa, joto lake liko juu sana haijawahi kutokea miongoni mwa vyama vya siasa