Uchaguzi 2020 Tundu Lissu atashindwa saa 3 asubuhi

Magufuli atashindwa saa 2.5 asubuhi
Hiyo ni sawa na saa mbili na nusu au saa mbili na dakika tano? iweke wazi wasijeanza kusema ulichoandika hakikutimia, kwa utata wa muda tu
 
Lumumba wengi wenu mna akili za kuvukia barabara tu!😁😁Hamna hoja kabisaa!
 
Kwa hiyo tunamwaga damu kwa ajili ya kugombea uongozi? hii ni aibu kubwa kwa taifaletu lililo asisiwa na JKNyerere
 
Saa tatu asubuhi mboma mbalisana.mpaka sasakeshashindwa.
 
Misconception
 
Huu ndio ukweli...

Mpeni Lissu nchi yetu ikombolewe kutoka kwa mabeberu ccn
 
Mkuu unaongelea urais? Lissu hanasifa, asubiri 2025
 
I agree with you but Kwanini NEC hawapokei form zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…