Tundu Lissu awataja Majaji wa Kikwete wasio na Sifa (Kazi ndio inaanza)

Hahahahahaha ila kweli aaisee
 
alimtolea mfano Jaji Mwendwa Malecela kuwa tangu ateuliwe mwaka 2006 hajawahi kusikiliza kesi hata moja. Badala yake Lissu alidai kuwa jaji huyo huenda matibabu India tu.
hapa nimekuelewa Lissu.
 

Dah JF ni kiboko. Kila kitu ukitaka unakipata see this was 2012.
 
Mungu Mbariki mtumishi wako Tundu Lissu .
 
Si ajabu hao ni ndugu zake au waliwahi kuwa washikaji zamani Raisi wetu ni zaidi ya umjuavyo yeye kufuata katiba kuendesha nchi kwake ni tusi ,ashukuru watanzania wapole kama kondoo nchi zingine angekiona
We unajua anamzungumzia nani lkn au unkurupka na chuki zako kujibu
 
Lisu is a very intelligent person , ishu zake nyingi anazoziibua mwanzoni wapuudhi wanamuona mzushi ila mwishoni lisu anaibuka mshindi.
Mungu akubariki na akupatie Maisha marefu sana wewe ni tunu kwenye nchi yetu.
Unafaa kuwa rais wa nchi hii kwa kweli
 
Labda anabalance gender na dini, au ushemeji, au kulipa fadhila.
 
Kikwete ni janga la taifa, yeye na Chenge ni mapacha. Huyu mtu akamatwe na kunyongwa tu, hana faida na taifa letu.
 
Lissu ni hazina,

Lissu apewe nchi jamani huyu bwana mdogo ni mzalendo hakuna mfanowe!
 
Lissu siku zote watu wanaompinga huwa hawakatai hoja zake, huwa wanaleta tu maneno ya hovyo hovyo. They never go to the core of the arguments
 
Hoja hapa sio kwamba watu wanalalamika au hawalalamiki, hoja ni kwamba sheria imekiukwa bila kujali utendaji.
Sasa hivi nchini kuna sakati la kuwatimua makazini wenye vyeti feki, kwanza wote walilalamikiwa? Wengine ni watenda kazi wazr lkn bado sheria imekiukwa.
Sio lazima ukosoe.
 
Tuwe na TUME safi za KITAALUMA. Watu waombe kazi hizi. Ifanyike vetting ya hali ya juu. Interview ziwe wazi kabisa. Wenzetu hapa Kenya sasa hata JAjiMkuu anaomba kazi kwa uwazi kabisa hadi TV zinaonyesha "live" mahojiano. Kenya wanatuacha sana.


Tundu Lissu njoo huku utupe mwongozo wa uteuzi wa majaji unasemaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…