Pre GE2025 Tundu Lissu awataja viongozi wa CHADEMA ambao hawajatubu kwa Mbowe na anawashughulikia ndani ya Chama

Pre GE2025 Tundu Lissu awataja viongozi wa CHADEMA ambao hawajatubu kwa Mbowe na anawashughulikia ndani ya Chama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakati wa dhoruba baharia wenu Lisu alikimbilia Kwa waliomtuma.Baada ya Mbowe kupambana na kutuliza chombo eti hafai Bali anafaa aliyekimbia Nchi [emoji38][emoji38]

Upuuzi huu unaweza fanya na wajinga wa Chadema
Usilolinua ni kua Mbowe alikimbilia Dubai baada ya kifo cha magufuli ndo akarudi

Lissu alienda kwa ajili ya matibabu hakukimbia labda kama kipindi hicho ulikua kijijini
 
Tundu Lissu amewataja baadhi ya viongozi na Wanachama wa CHADEMA ambao hawajatubu kwa Mwenyekiti wa Chama, Freeman Mbowe na anawashughulikia ipasavyo ndani ya Chama.

"Tukikutana hivi kwenye vikao hatupigani ngumi, hatuko kama tulivyokuwa mwanzoni. Mwenyekiti aliyekwenda gerezani, sio Mwenyekiti aliyetoka gerezani na huyo sio mimi peke yangu ninayesema hivyo, mimi sasa ni mhaini wa sasa, kulikuwa na mhaini anaitwa Peter Msigwa, kulikuwa na mhaini anaitwa John Heche, kulikuwa na mhaini anaitwa Godbless Lema, kulikuwa na mhaini anaitwa Gaston Garubindi, kulikuwa na mhaini anaitwa Ezekia Wenje kabla hajaenda kufanya Sala ya kitubio na kutubu dhambi zake kwa Baba yetu.....akisema nimekosa mimi, nimekosa sana ndio dhambi zake zikafutwa hao wengine niliowataja hawajatubu na wamekuwa wakishughulikiwa kweli kweli"
Soma, Pia: Mbowe amvaa Dkt. Slaa kisa Tundu Lissu, adai "mpiga debe wa CCM hapaswi kutufundisha CHADEMA"
Lisu nakuombea ushindwe uchaguzi
 
Tundu Lissu amewataja baadhi ya viongozi na Wanachama wa CHADEMA ambao hawajatubu kwa Mwenyekiti wa Chama, Freeman Mbowe na anawashughulikia ipasavyo ndani ya Chama.

"Tukikutana hivi kwenye vikao hatupigani ngumi, hatuko kama tulivyokuwa mwanzoni. Mwenyekiti aliyekwenda gerezani, sio Mwenyekiti aliyetoka gerezani na huyo sio mimi peke yangu ninayesema hivyo, mimi sasa ni mhaini wa sasa, kulikuwa na mhaini anaitwa Peter Msigwa, kulikuwa na mhaini anaitwa John Heche, kulikuwa na mhaini anaitwa Godbless Lema, kulikuwa na mhaini anaitwa Gaston Garubindi, kulikuwa na mhaini anaitwa Ezekia Wenje kabla hajaenda kufanya Sala ya kitubio na kutubu dhambi zake kwa Baba yetu.....akisema nimekosa mimi, nimekosa sana ndio dhambi zake zikafutwa hao wengine niliowataja hawajatubu na wamekuwa wakishughulikiwa kweli kweli"
Soma, Pia: Mbowe amvaa Dkt. Slaa kisa Tundu Lissu, adai "mpiga debe wa CCM hapaswi kutufundisha CHADEMA"

Hiyo list ya wahaini ndiyo tunayoihitaji madarakani.

fazili, Fortilo, Ngong'o na wenzenu habari ndiyo hiyo.

imhotep, JokaKuu, binti kiziwi waliomo na wasiokuwamo, au nasema uongo?
 
Huu mchezo ni ushindi mkubwa sana kwa CCM,huu mwaka CHADEMA wasipobadilika,wasije kupiga kelele kuwa CCM imewaibia kura.
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Umejua je? Kwani wewe ni nabii?
Awewahi fanikiwa nini kwenye siasa za upinzani toka 1995,?

Singida anakotoka wabunge wa upinzani alikuwa yeye na dada ake ea viti maalumu

Wenzake wote wanaongeza Majimbo na kuhakikisha wanagawana na CCM das kwa das . Yeye ni SM pekee.

Dodoma ndio hakuna hata jimbo moja.

Ana kitu chochote cha kuonyesha? Au anaiibanza kwenye mafanikio ya wengine.
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Awewahi fanikiwa nini kwenye siasa za upinzani toka 1995,?

Singida anakotoka wabunge wa upinzani alikuwa yeye na dada ake ea viti maalumu

Wenzake wote wanaongeza Majimbo na kuhakikisha wanagawana na CCM das kwa das . Yeye ni SM pekee.

Dodoma ndio hakuna hata jimbo moja.

Ana kitu chochote cha kuonyesha? Au anaiibanza kwenye mafanikio ya wengine.
Fanikio la lisu ni Moja tuu!!! Sema ukilitaja unageukwa!!!
 
TAL alisema CHADEMA ikiacha misingi yake, ataondoka kwasababu chadema siyo mama wala baba yake, hayo yoote inaonyesha chadema iliisha acha reli muda mrefu sana tena naye akiwa makamu mwenyekiti, mwanasheria wa chama, lakini nashangaa mpaka sasa anasubiri nini humo ndani ya chama?
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Back
Top Bottom