LGE2024 Tundu Lissu awataja wanaostahili kuongoza CHADEMA

LGE2024 Tundu Lissu awataja wanaostahili kuongoza CHADEMA

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kwani lazima aseme kum la m**ako ndo ujue hili tusi? Kumkosea heshima kafanya sana tu,we umejiunga lini humu?
Nimejiunga lini? Bwege wewe hata kuona huoni? Taja Tusi alilotukana. Kama kiongozi wa nchi hii hata kama alikuwa na mazuri yake hata mabaya yatazungumzwa, ugua pole.
 
Mbowe angemuacha tu baada ya kuchapwa Dodoma
 
Nimejiunga lini? Bwege wewe hata kuona huoni? Taja Tusi alilotukana. Kama kiongozi wa nchi hii hata kama alikuwa na mazuri yake hata mabaya yatazungumzwa, ugua pole.
We nyau mi siongeagi na mbwa,km umeelekezwa kula mavi utakula mavi tu hata upewe nyama utafata mavi maana ni chakula ulichozoea.
Ww a
Nimejiunga lini? Bwege wewe hata kuona huoni? Taja Tusi alilotukana. Kama kiongozi wa nchi hii hata kama alikuwa na mazuri yake hata mabaya yatazungumzwa, ugua pole.
Sijibishani na wapumbu km wewe na sikublock tupeane vishoka hapa
 
Wakati kamtukana hata huyo baba wa taifa,unaongea nini empty head.
Alisema ukweli kuhusu huyo rais wa awamu ya kwanza. Ifahamike rais kwa kwanza hakuwa Mungu, ila chawa mnataka tuamini ukweli mchungu dhidi ya Nyerere huita matusi ili kufunika ukweli.
 
We nyau mi siongeagi na mbwa,km umeelekezwa kula mavi utakula mavi tu hata upewe nyama utafata mavi maana ni chakula ulichozoea.
Ww a

Sijibishani na wapumbu km wewe na sikublock tupeane vishoka hapa
Tatizo jinsia yako ni KE ndo maana. Fala flan.
 
Kiongozi Mkuu wa chama chochote cha Upinzani Tanzania kwa hali ya kisiasa ya nchi yetu ni pamoja kuwa na vision (maono) ni LAZIMA awe na financial muscular - bila hivyo watakata mirija midogo aliyonayo ya kiuchumi kisha hatakuwa na option nyingine bali ni kukiuza chama na kuwa chama rafiki wa CCM - deal done.

Mifano ni mingi tu - karibu vyama vyote ukiondoa CDM ni vyama ya Upinzani ambavyo ni rafiki wa CCM.

Kwa hiyo CDM muelewe hilo; financial muscular ni muhimu sana sana.. na ndiyo maana mataifa makubwa hupati uongozi wa juu wa mataifa yao kama wewe ni tia maji tia maji mtaji mdomo.
 
Anaeogopwa na Chadema wote hata pale anapowakemea na kuwasuta hadharani.
Anaogopwa na ccm mpka kutakakumtoa roho kwa kushindwa ni kujibu hoja zake mliona suluhu ni risasi.
 
Lissu ni mwamba wa sheria Tanzania, walishindwa kumtia hatiani wakaona risasi ndio bora na Mungu akaingilia kati
 
Back
Top Bottom